eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Mkuu naomba uniache, nina hasira za furaha šŸ˜‚

Konami walichonifanyia ni unyama sana, coins 800 zimeenda kwaajili ya Rodri šŸ˜‚
View attachment 3353179
Konami wezi sana, kutunza coin ni ngumu sana dadeqšŸ˜‚
1000099406.png
 
Bora kukosa speed lakini kwenye pasi iwe unyama, kuwa namba 6 hainamaana kazi yake iwe ni kukaba tu šŸ˜‚

Rodri yuko bora, speed atatumia za kwangu šŸ˜‚
Tchou ni mzito kama tank kugeuka ila ana speed rodri mwepesi na anajua kukaa na mali ila akikutana na good dribbler Rodri na ile speed ya kono kono šŸ˜€
 
Tchou ni mzito kama tank kugeuka ila ana speed rodri mwepesi na anajua kukaa na mali ila akikutana na good dribbler Rodri na ile speed ya kono kono šŸ˜€
Ndiyomaana kwangu Tony Adams nimempa instruction ya anchor na Beckham nimempa defensive.

Adams hana speed kwahiyo hatopanda juu zaidi na Beckham atarudi chini kumsaidia Rodri wakati huo Rodri nimempa deep line.
 
šŸ˜‚šŸ˜‚ kaka nimebadili username saivi Gilberto_ tu. Mana mwanzo nilikuwa nataka niweke Gilberto kavukavu tu JF wakanikataa nikaamua nijiite Guilberto.

Nirudi kwenye hiyo mada šŸ˜‚, wewe mwenyewe ulisema twende nikakukamie uwanjani na mi nikasema okay tukakamiane huo moto uliokutana nao mpaka ukaanza kuniambia natumia pads šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ’”
Mbona hujamtag mlengwa mkuu šŸ˜‚
 
Guilberto ukicheza nae ni kukamia tuu ukilegeza kidg umekufa tano
šŸ˜‚šŸ˜‚ kaka nimebadili username saivi Gilberto_ tu. Mana mwanzo nilikuwa nataka niweke Gilberto kavukavu tu JF wakanikataa nikaamua nijiite Guilberto.

Nirudi kwenye hiyo mada šŸ˜‚, wewe mwenyewe ulisema twende nikakukamie uwanjani na mi nikasema okay tukakamiane huo moto uliokutana nao mpaka ukaanza kuniambia natumia pads šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ’”
 
View attachment 3353481
Tulikubaliana kuspin mwisho coin 100 wasipokupa basišŸ˜‚šŸ’”šŸš®
Ninunue kocha wa long ball counter au quick counter then nimcheki mtanišŸ˜‚
🤣🤣🤣 Kuna mimi na Razorblade Nyota za Kunguni na panzi tumetumia Coin 800 hapo 🤣🤣🤣

Razorblade adi kawa Bankruptcy kabisa saiv ana negative pale konami wanamdai🤣🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom