eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

View attachment 3353723

NEGAN mkuu tusaidie maelezo mazuri hapa naona kila mtu kaelewa kivyake... Razorblade ndo kabisa hajatoka na kitu...
Hii Anchoring inafanyaje kazi??
Maelezo niliyokupa hukuridhika nayo ila nadhani kwa jibu hili umeelewa kwanini Adams nimempa anchoring 😂
Kazi yake mchezaji mwenye anchoring instruction ana baki kwenye position yake uwanjani hazururi kulia au kushoto ana make vertical movement tu(mbele nyuma) sio kulia kushoto.
 
Maelezo niliyokupa hukuridhika nayo ila nadhani kwa jibu hili umeelewa kwanini Adams nimempa anchoring 😂
Ndugu Chambuzi

Adams siku hizi ni foward😃😃😃ugonjwa simu umeanza kukuingia na wewe kaka🤣🤣🤣

Instructions inafanya kazi kwa fowards mzee maana lengo lake ni wakati wa kushambulia sasa tony adams anakuwa inverted Midfielder ama😂😂😂😂
 
Nyie watani wa jadi😀
Huyu saiv ni kama rivalry ya Man U na Leeds 🤣🤣🤣leeds yuko zake championship huko😂😂😂


Nikicheza nae ananiharibia kiwango changu tuu namfunga nyingi najiona mwamba kumbe amna kitu nabenbwa na device
 
Ndugu Chambuzi

Adams siku hizi ni foward😃😃😃ugonjwa simu umeanza kukuingia na wewe kaka🤣🤣🤣

Instructions inafanya kazi kwa fowards mzee maana lengo lake ni wakati wa kushambulia sasa tony adams anakuwa inverted Midfielder ama😂😂😂😂
Kaka unakariri sasa, kwa hili acha nikae kimya 😂

Nenda kasome tena hiyo instruction ya Anchor.
 
Kaka unakariri sasa, kwa hili acha nikae kimya 😂

Nenda kasome tena hiyo instruction ya Anchor.
Sasa wakati wa kushambulia kaka position ya Tony adams inakusaidia nini wakati anakuwa nyuma 😂😂😂humpi pass sio counter target ndo maana nikakuuliza au anakuwa inverted Midfielder 🤣🤣🤣🤣
 
Buku mbili kaka nimetumia 1600 leo nimechukua hiyo pack ya Man city wamekuja kunipa Rodri mwisho na Nimemunua Bellingham wa 800 kwa ajili ya kupata Nominating character zile za 5 nimebakiza mia nne😃😃😃nataka niende tena nikamchek jamaa anipe nyingine...


Sema nasikia konami wameanza kufungia walioiba kwa hiyo Id yangu ipo matatani😃😃
Hamna kitu kama hicho 😂 hawawezi kufungia labda wadaiwe TiGo(Yas) ndo watamalizana na KONAMI
 
Nyie
Nyie mnabishana na maelekezo yapo wazi 😁
Tatizo la papaa wembe hataki kunitambua mimi kama pro kwenye maswala ya analysis na formation building in Konami formerly know as PES ananichukulia mimi Amrabat sijui box to box🤣🤣🤣🤣
 
Huyo leo anakaza fuvu sijui kimemkuta nini 😂

Picha ya maelezo aliyoweka imejieleza, huenda hajui example ni nini 😂
Mbona Negan kasema ifanya kazi wakati wa kushambulia sasa wewe umempa beki ndo najiuliza Tony adams anchoring inamsaidia nini... Wewe umempa ili asipande mbele 🤣🤣🤣🤣ukijua anakuwa Anchorman sijui
 
Mbona Negan kasema ifanya kazi wakati wa kushambulia sasa wewe umempa beki ndo najiuliza Tony adams anchoring inamsaidia nini... Wewe umempa ili asipande mbele 🤣🤣🤣🤣ukijua anakuwa Anchorman sijui
Kumbe hapa unapiga kelele tu na hata huyo NEGAN hujamuelewa, mimi kwangu inafanya kazi kama navyotaka.

Tuishie hapa mkuu, wewe umeelewa zaidi.
 
Back
Top Bottom