eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Ndiyomaana kwangu Tony Adams nimempa instruction ya anchor na Beckham nimempa defensive.

Adams hana speed kwahiyo hatopanda juu zaidi na Beckham atarudi chini kumsaidia Rodri wakati huo Rodri nimempa deep line.
Unajua kazi ya Anchoring pale kwenye instructions lakn😂😂au twende match ukaona ninavyompita Tony adams...

Anchoring kama sijakosea inamzui mchezaji kwenda sehemu ya mtu mwingine 😃😃kwa hiyo yeye anamove vertically tuu
 
Kaka nipo huku Sengerema kila mtandao naotumia ni jau tu. Hapa toka juzi nacheza Division AI pale, ila kuna maeneo nikikaa 4G inasoma japo tukicheza haitomaliza 90'.

Uhakika wa kucheza friendly mpaka jumatano hivi nitakuwa nimeondoka huku.
Aah sawaa mkuu hakuna neno👏
 
😂😂 kaka nimebadili username saivi Gilberto_ tu. Mana mwanzo nilikuwa nataka niweke Gilberto kavukavu tu JF wakanikataa nikaamua nijiite Guilberto.

Nirudi kwenye hiyo mada 😂, wewe mwenyewe ulisema twende nikakukamie uwanjani na mi nikasema okay tukakamiane huo moto uliokutana nao mpaka ukaanza kuniambia natumia pads 😂😂💔
Nimeona sema kwenye suggestions nikiandika tu Gu inaleta Guilberto kwahiyo naselect tu chap hapa kwemye keyboard yangu 😃😃😃
 
Unajua kazi ya Anchoring pale kwenye instructions lakn😂😂au twende match ukaona ninavyompita Tony adams...

Anchoring kama sijakosea inamzui mchezaji kwenda sehemu ya mtu mwingine 😃😃kwa hiyo yeye anamove vertically tuu
Kumpa istruction ya anchoring hainamaa huwezi kupita ila ninapomuhitaji kwenye line ya defense anakuwepo na hachoshwi kwa sababu haitamlazimu kufukuzana na mpinzani.

Anchoring instruction inamfanya mchezaji abaki katikati ya uwanja bila kuwa na hekaheka za kujihusisha na kushambulia.
 
TUwe tunampa Id zetu Gilberto ana spine kwa simu yake sawaa mkuu 🤣🤣🤣
Epic za bure lakini 😂 sijawahi kuwa na bahati kwenye zile epic za wachezaji 150 pale 🤧.. nilimuoteaga mmoja tu yule Lamine Yamal aliletwa na kina Neymar big time baada ya hapo hata niweke coins 900 sipati kitu ko hata huwa sihangaiki nazo.
 
Unajua kazi ya Anchoring pale kwenye instructions lakn😂😂au twende match ukaona ninavyompita Tony adams...

Anchoring kama sijakosea inamzui mchezaji kwenda sehemu ya mtu mwingine 😃😃kwa hiyo yeye anamove vertically tuu
Kwa mi navyojua, kwenye game Anchorman ni yule ambae huwa hahami position yake, ko hilo eneo lote la katikati ni yeye tu analotawala. Afu pale kwenye individual instruction ukimpa anchoring tena 🔥🙌
 
Halafu mpango wa kupata simu nyingine umefeli kaka 😂
images (27).jpeg
 
Ulichukua ngapi kaka? 😂
Buku mbili kaka nimetumia 1600 leo nimechukua hiyo pack ya Man city wamekuja kunipa Rodri mwisho na Nimemunua Bellingham wa 800 kwa ajili ya kupata Nominating character zile za 5 nimebakiza mia nne😃😃😃nataka niende tena nikamchek jamaa anipe nyingine...


Sema nasikia konami wameanza kufungia walioiba kwa hiyo Id yangu ipo matatani😃😃
 
Kwa mi navyojua, kwenye game Anchorman ni yule ambae huwa hahami position yake, ko hilo eneo lote la katikati ni yeye tu analotawala. Afu pale kwenye individual instruction ukimpa anchoring tena 🔥🙌
Screenshot_20250602-163249.png


NEGAN mkuu tusaidie maelezo mazuri hapa naona kila mtu kaelewa kivyake... Razorblade ndo kabisa hajatoka na kitu...
Hii Anchoring inafanyaje kazi??
 
View attachment 3353723

NEGAN mkuu tusaidie maelezo mazuri hapa naona kila mtu kaelewa kivyake... Razorblade ndo kabisa hajatoka na kitu...
Hii Anchoring inafanyaje kazi??
Kwanza hiyo ni attacking instruction inafanya kazi ukiwa na mpira tu haina effect ukiwa huna mpira una defend.

Kazi yake mchezaji mwenye anchoring instruction ana baki kwenye position yake uwanjani hazururi kulia au kushoto ana make vertical movement tu(mbele nyuma) sio kulia kushoto.
 
Kwanza hiyo ni attacking instruction inafanya kazi ukiwa na mpira tu haina effect ukiwa huna mpira una defend.

Kazi yake mchezaji mwenye anchoring instruction ana baki kwenye position yake uwanjani hazururi kulia au kushoto ana make vertical movement tu(mbele nyuma) sio kulia kushoto.
Aah shukran Mkuu🙏

Alafu ile app ambayo inakupa stats za wachezaji ni ipi kaka niinstal hapa!!??
 
Back
Top Bottom