eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Nilitaka usipate goli mkuu, kabla ya mechi nilitaka nikwambie ushindi wako pekee leo ni kupata goli 😂.

Nilikuwekea mbappe mbavuni kukuonyesha kuwa huo mfumo wako utakuwa ukifungwa sana kutokea pembeni.
Nimekumbuka after kucheza nikiwa nimeamia kwenye 4222 ulinifunga game moja tatu moja ya pili tukadraw sijui 😃
 
Mlete matokeo na video ikiwezekana😃 wewe focus na Amrabat tu😃
Tiktok nadhani huwa wana option ya kustream game za hivi itabid tutafute namna ya kufanya hichi kitu siku moja moja wawili wanapiga game wengine tunawachek😃😃😃
 
Kaka kama kumbukumbu zangu zipo vizuri mfumo huu tumechezea mchezo wa mwisho achana na ya leo usiku...

Unakumbuka kilichotokea😃😃View attachment 3331725
Kwahiyo hukumbuki siku niliyokuambia twende uwanjani nikakuonyeshe udhaifu wa mfumo wako 😂

Mkuu huo mfumo si umefanya marekebisho kidogo tu ni uleule 4-2-2-2
 
Kwahiyo hukumbuki siku niliyokuambia twende uwanjani nikakuonyeshe udhaifu wa mfumo wako 😂

Mkuu huo mfumo si umefanya marekebisho kidogo tu ni uleule 4-2-2-2
Last two meetings hujanifunga mkuu na nimekuoutplay game nyingi
 
Kuna moja nimeona sijajua ni DLS au efootball,wameifanyia modding ina mpaka timu za bongo
Binafsi sijajua mkuu...

Ungetupia picha zake ningejua ni game lipi


Vip hauna mzigo mpya wa VPN?? 😃😃😃
 
Amrabat me simuwazi atakutana na mtakatifu Pedri Gonzalez😃😃


Razorblade sijaimprove ila nimepata right AMF Pedri angalia ninvyocheza siku hizi ananipa kile ninachotaka😃😃
Huyo pedri hachezi mwenyewe mkuu ni wewe ndo unaemchezesha ila kama hutaki kukubali kuwa umeimprove basi sina usemi tena.
 
Back
Top Bottom