Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,153
- 10,394
Katika siku ambazo umecheza hovyo ni leo kaka hio formation nadhan umeona kati kulikuwa hakuna watu kabisa 😃😃😃 ushauri wangu ludi ulipo pazoea tuu messi sijamwona game zoteHii mechi sielewi nachocheza aisee.
Selikavu
Kama umecheza sana na Ai kuna uzito fulani unakuja😃😃😃Selikavu weka matokeo, umeongeza ujuzi pakubwa sana mkuu.
Nimekuwa mzito na sijui shida nini, wiki nzima nahisi kuna vitu vimepungua kwangu au sijui sababu sichezi friend match nyingi yani sielewi.
Mkuu shida siyo mfumo unajua kitu ambacho nyie mnaona kimebadirika hapo ni AMF kusogea juu tu.Katika siku ambazo umecheza hovyo ni leo kaka hio formation nadhan umeona kati kulikuwa hakuna watu kabisa 😃😃😃 ushauri wangu ludi ulipo pazoea tuu messi sijamwona game zote
NB: uliyonifunga nilikuwa naongea na simu concentration ilikuwa ndogo kaka
Ila nilitaka kukuonesha huu mfumo sio nishinde mechi zote...
Japo mwenyewe nimecheza mpira wa hovyo sana makosa nimefanya mengi mno
View attachment 3331422
Mbona umecheza vizuri tu mkuu, hata AI sichezi sana wiki karibia yote hii nawaachia wacheze wenyewe ni kama vile sijakuwa na mood nzuri na game wiki hii.Kama umecheza sana na Ai kuna uzito fulani unakuja😃😃😃
Matokeo ya leo siweki ni dhahama.. plus sijfeel kama nimeshinda naona kama tulikuwa tunacheza ndondo kaka mpira wangu haueleweki na wako vile vile
Amna mpira niliocheza leo ndo maana nimesema me pia nimecheza hovyo... Basi tuu umeshindwa kugeuza maboko yangu kuwa magoli😃😃Mkuu shida siyo mfumo unajua kitu ambacho nyie mnaona kimebadirika hapo ni AMF kusogea juu tu.
Kwanza nikupongeze umeongeza ujuzi pakubwa sana.
Pili hii wiki mechi zote nazocheza hata kwemye events najiona tofauti kabisa, kuna siku nilitaka kuuliza hapa shida ni nini lakini nikavunga.
Maboko ni mengi, pasi mbovu, katika mechi zote ni magoli machache sana ndo umepita kati.
Unanona nimecheza vizuri kwa sababu nimekufunga ila umepata chance nyingi sana kipa kaniokoa au umezembea kufunga...Mbona umecheza vizuri tu mkuu, hata AI sichezi sana wiki karibia yote hii nawaachia wacheze wenyewe ni kama vile sijakuwa na mood nzuri na game wiki hii.
Napenda kushinda nikiwa ndani ya box ndiyomaana, inabidi sasa niwe najaribu kupiga hata nikiwa nje ya box.Amna mpira niliocheza leo ndo maana nimesema me pia nimecheza hovyo... Basi tuu umeshindwa kugeuza maboko yangu kuwa magoli😃😃
Shoot bro... U never know what will happen...Napenda kushinda nikiwa ndani ya box ndiyomaana, inabidi sasa niwe najaribu kupiga hata nikiwa nje ya box.
Hata mimi nimeshangaa nikaishia kucheka tu 😂Unanona nimecheza vizuri kwa sababu nimekufunga ila umepata chance nyingi sana kipa kaniokoa au umezembea kufunga...
Mimi wa kufunga kwenye kona kwel😃😃
Kwanza ile ya kwanza nikajua utani,,, nashangaa na game nyingine nakupiga goli la kona nikaona hapa. Leo huyu hayupo form
Nilikuwa nacheza huku naangalia hapo kati lakini mapungufu yaliyokuwepo ni machache tu ya kimchezo, Amrabati anaifanya kazi vizuri sana.Shoot bro... U never know what will happen...
😃😃😃 Kaka nitakuonesha kuwa huo mfumo mgumu kwako kesho tenaNilikuwa nacheza huku naangalia hapo kati lakini mapungufu yaliyokuwepo ni machache tu ya kimchezo, Amrabati anaifanya kazi vizuri sana.
Mwanzo mgumu 😂Wewe ludi kwenye Quick Counter tuu 😃 LBC imekukataa
Nitakomaa nao tu, huu mfumo ni nafasi ya 2/3 kwenye top 5 ya mifumo bora kwenye update ya mwaka 2025.😃😃😃 Kaka nitakuonesha kuwa huo mfumo mgumu kwako kesho tena
Jana nimemwambia kuna shimo kubwa hapo kati ukim bait amrabat a press halafu ukapigq pass nyuma ya Amrabat unabaki na mabeki tu😃😃😃😃 Kaka nitakuonesha kuwa huo mfumo mgumu kwako kesho tena
Ulienda kuchek tutorial 😃😃Nitakomaa nao tu, huu mfumo ni nafasi ya 2/3 kwenye top 5 ya mifumo bora kwenye update ya mwaka 2025.
Na uzuri wake ni uleule naosema siku zote idadi kubwa kwenye kuzuia na kushambulia pia.
Ni mimi mwenyewe tu sijakuwa kwenye form nzuri na hii huenda ni kwa sababu ya kutocheza friend match mara kwa mara.
Mara ya mwisho nimecheza mechi ilikuwa na wewe na hapo pia kuna siku kadhaa zilipita bila friend match nilikuwa nikicheza dvn tu.
😃😃😃Jana basi tu alinikuta na mimi mbovu ila angekufa nyingi mno kama jamaa yake hapaJana nimemwambia kuna shimo kubwa hapo kati ukim bait amrabat a press halafu ukapigq pass nyuma ya Amrabat unabaki na mabeki tu😃
Mkuu huu ndo uleule mfumo ambao uliniambia nikiushika nitashinda sana sasa sijui wapi pamebadirika 😂.Jana nimemwambia kuna shimo kubwa hapo kati ukim bait amrabat a press halafu ukapigq pass nyuma ya Amrabat unabaki na mabeki tu😃