Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,415
- 27,295
😃😃Naanza pvp kesho...Mtarudi tu kwenye PvP 😂.
😃😃Naanza pvp kesho...Mtarudi tu kwenye PvP 😂.
Mitano tena 😂.😃😃Naanza pvp kesho...
Mtandao wao unazingua sana tu.Mkuu napambana tangu saa nne kamili na halotel hawa
Mtandao wao unazingua siwezi uliizia salio wala kupiga menu ya kujiunga vifurushi
Upo tuguse?Nimehamia tigo sasa nipo fresh twende
Jau sana huu mtandao leoMtandao wao unazingua sana tu.
Nipo twendeUpo tuguse?
Siyo leo tu mkuu kwangu imekuwa hivyo kila siku.Jau sana huu mtandao leo
Hama kakaSiyo leo tu mkuu kwangu imekuwa hivyo kila siku.
Unaubonda mkuu.Hama kaka
Mbona umesepa mapema wakati game zimenoga....Upo tuguse?
Charge mkuu.Mbona umesepa mapema wakati game zimenoga....
Huyu Drogba wako wa 102 na booster striker instincts nishasema atanisumbua sanaUnaubonda mkuu.
Watu wanasema ni mchezaji hewa huyo 😂.Huyu Drogba wako wa 102 na booster striker instincts nishasema atanisumbua sana
Pre season hukuenda bure kaka 😃😃 nimekula chuma tatu safi kabisa...Unaubonda mkuu.
Mtu akishakuwa na striker instincts namuogopa maana anajua kujiposition plus yeye ni pocher happ kazini kuna kaziWatu wanasema ni mchezaji hewa huyo 😂.
Nilitaka usipate goli mkuu, kabla ya mechi nilitaka nikwambie ushindi wako pekee leo ni kupata goli 😂.Pre season hukuenda bure kaka 😃😃 nimekula chuma tatu safi kabisa...
Mazoea ya kucheza na Ai 🙌🙌🙌
Huyo ni fox in the box.Mtu akishakuwa na striker instincts namuogopa maana anajua kujiposition plus yeye ni pocher happ kazini kuna kazi