Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,415
- 27,296
Hiyo amua kuanzia leo situmii ukimix me naona hakuna kitu unafanya...Nimejaribu mara kadhaa na nitaendelea kufanya hivyo ili niachane na matumizi ya smart assist, ila hawa AI naona wako faster sana 😂
Mfano me nimetoka kucheza na mtu hapa napata shida kwel kufunga kwa sababu nishazosa smart assist kaka