eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Penalty mind game tu
Mkuu tatizo linakuja kwenye kumchezesha huyo kipa, kutabiri anachowaza mwenzio tabu aisee 😂

Hatimae nimeikamilisha.
IMG-20250509-WA0007.jpg
 
Mkuu Mill broh heshima kwako...
Nimepigiwa simu game ya mwisho ndo maana umeona nimetoka nilifanya makosa sikuzima main card leo🙏

GTmSHC_XYAE9wNa.jpeg

Leo umeninyoosha kama kawaida 🤣🤣🤣 hakuna cha haram Football leo
Razorblade nitafata ushauri wako tuwe tunamkimbia huyu tutamuachia NEGAN 😃😃😃😃
Screenshot_20250509-182406.png

Screenshot_20250509-182412.png

Ukipata time tena mkuu tutapasha tena🙏
 
Mkuu Mill broh heshima kwako...
Nimepigiwa simu game ya mwisho ndo maana umeona nimetoka nilifanya makosa sikuzima main card leo🙏

View attachment 3328938
Leo umeninyoosha kama kawaida 🤣🤣🤣 hakuna cha haram Football leo
Razorblade nitafata ushauri wako tuwe tunamkimbia huyu tutamuachia NEGAN 😃😃😃😃
View attachment 3328939
View attachment 3328940
Ukipata time tena mkuu tutapasha tena🙏
Mill broh tumepiga mechi 2 kanifunga zote😃 yupo vizuri kwa counter attack anashambulia kwa kasi.

Sema yupo serious na kazi huyo kila akitangulia kufunga goal 1 aliniwekea full blue😃 hapa najifua tena turudiane.
 
Mill broh tumepiga mechi 2 kanifunga zote😃 yupo vizuri kwa counter attack anashambulia kwa kasi.

Sema yupo serious na kazi huyo kila akitangulia kufunga goal 1 aliniwekea full blue😃 hapa najifua tena turudiane.
Me yorke ananisumbua kila game ananiweka.

Na Vini nae speed pale mbele ananiacha mno

Anyway ngoja tujifue tuu
 
Back
Top Bottom