eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Mie nilivyoanza kucheza hili game niliweka smart assist moja kwa moja.
Ipo damuni wewe huwezi acha😃😃
GqYO_M8XsAA6mgF.jpeg
 
Zimebaki points 10 kwenda dvn 1 halafu dakika ya 89 unakosa goli 😂
View attachment 3329188
Kuna game leo kanifunga Mill broh kuna muda mbappe kapewa pasi kadrible toka katikati ya uwanja hakuna mtu anamkimbiza kafika golin nataka kupiga message ikingia mtandao ukagoma nikakosa goli aseee nilitukana matusi yote🤣🤣🤣
 
Kuna game leo kanifunga Mill broh kuna muda mbappe kapewa pasi kadrible toka katikati ya uwanja hakuna mtu anamkimbiza kafika golin nataka kupiga message ikingia mtandao ukagoma nikakosa goli aseee nilitukana matusi yote🤣🤣🤣
Daah! 😂
 
Ndo maana nimesema ipo damuni kwako 😃 me naona kama nilishazoea kucheza bila smart assist
Moja ya kitu nilichojifunza ukicheza bila smart assist ni lazima ujue kupiga pasi sahihi kwa wakati sahihi, namaanisha lazima ujue kwenye eneo gani inahitajika kugusa button ya pass na eneo gani inahijika kugusa button ya through.
 
Moja ya kitu nilichojifunza ukicheza bila smart assist ni lazima ujue kupiga pasi sahihi kwa wakati sahihi, namaanisha lazima ujue kwenye eneo gani inahitajika kugusa button ya pass na eneo gani inahijika kugusa button ya through.
Eeh kaka me ni changamoto hicho adi leo...😃😃..
 
Back
Top Bottom