Timba mtu mbayaaaaaaa! Jumlisha ni kicheko! Weeeeee!
Huu mchezo hauhitaji hasiraSijui ni aina gani ya muziki huu? station kubwa kufululiza kupiga nyimbo hizi badala ya kupiga nyimbo za maana mmeweka vinyimbo vya hovyo anachoimba hakieleweki tunasikia vifilimbi tu hovyo kabisa. Dj gani kakaa huyo hivyo vi miziki vina mahali pake.
Muziki wa bongofleva kwa sasa una tatizo la kupoteza identity... Ukimsikiliza Ali Kiba, Diamond na Shetta ambao ndio hit makers sasa hivi ni kama unamsikiliza Wizkid, Davido au J Martin.
Watanzania taratibu wanaanza kuitafuta identity na radha yao halisi ya nyumbani na polepole huu muziki unaanza kuwaingia.
Weekend iliyopita nilikuwa club kubwa tu nikashangaa inapigwa singeli na club ikaripuka hii ni dalili njema kwa hii genre ambayo ni kama ilitupwa.
Ni muziki unaowakilisha maisha ya uswahilini.Ina maana visingeli ndo identity yetu?
haha kwetu mbagala ukija black unaondoka chotara......ukija na nywele unaondoka na kiparaaaaa weeeeeeeeeeeewe.,,,,,,,!!!!"---wapi ESKIDE....
hahah.... umeona sasa; unaanza vipi kukataa aina hii ya muziki....haha kwetu mbagala ukija black unaondoka chotara......ukija na nywele unaondoka na kiparaaaaa weeeeeeeeeeeewe.,,,,,,,!!!!
apo sasa yan mbna ata wa kishua wanausikiliza tu sio uswaz tenahahah.... umeona sasa; unaanza vipi kukataa aina hii ya muziki....
kisingeli kimekuwepo kabla ya efmwaanzilishi wa singeri ni E. fm chini ya dj timba mkuu apo ndiyo mahali pake pale Pana watu wa marketing na wanajua ni jins gan hizo nyimbo zinapendwa kitaa
Kondakta na bwana mgambo yuleee..kondakta kaja juu anasema haiwezekanii...wameruhusiwa jeahi na magerezaHahaha..malumbano na zogo kubwa katika basi lile...
af anakwambia huruhusiwi kubisha, hahahahKicheko amekuja na style ya kutafsiri nyimbo za kingereza kama yule Lifufu wa movie anatia chai mbaya humo.
radio ambayo huwez sikiliza na wazaz muwapo pamoja siyo radeoMi vimiziki vyao tu sivipend