Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,038
- 13,465
Muda wa kubeti,masela muda wa kubetii!!
Huu wimbo unafurahisha pale anaposema "tambua siku masela hazifanani" unawapa moyo sana wazee wa mikeka.Mda wa kubet........masela
Hawa ni wale walioshazoea kukaririshwa whats good and what is bad,wao vitu vya kizungu ndo vizuri ila vya asili yao wanavibagua.niggas cant recognise a diamond in the roughI know right?
And then someone is going to hate.
I am like, are we even from the same planet?
Mpogo ft juma nature-majanga[emoji445]Wenzio ndo tunapenda hizi original from Uswazi... Kichwa Cha Nyoka .... Kuluthumu... Kondakta - Jagwa
Hahaha..malumbano na zogo kubwa katika basi lile...daaah nilikua sijui kama hizo ngoma zinagongwa huko! acha nizifuate.....
mgambo anataka kupanda buree anadai nae ni chombo cha dola
Wenzio ndo tunapenda hizi original from Uswazi... Kichwa Cha Nyoka .... Kuluthumu... Kondakta - Jagwa
Kwa niaba ya wana...........huu mchezo hauitaji hasira.Sijui ni aina gani ya muziki huu? station kubwa kufululiza kupiga nyimbo hizi badala ya kupiga nyimbo za maana mmeweka vinyimbo vya hovyo anachoimba hakieleweki tunasikia vifilimbi tu hovyo kabisa. Dj gani kakaa huyo hivyo vi miziki vina mahali pake.