Efm radio mnakera na miziki ya mnanda

Efm radio mnakera na miziki ya mnanda

Sijui ni aina gani ya muziki huu? station kubwa kufululiza kupiga nyimbo hizi badala ya kupiga nyimbo za maana mmeweka vinyimbo vya hovyo anachoimba hakieleweki tunasikia vifilimbi tu hovyo kabisa. Dj gani kakaa huyo hivyo vi miziki vina mahali pake.

Wenzio ndo tunapenda hizi original from Uswazi... Kichwa Cha Nyoka .... Kuluthumu... Kondakta - Jagwa
 
Wenzio ndo tunapenda hizi original from Uswazi... Kichwa Cha Nyoka .... Kuluthumu... Kondakta - Jagwa


hahaha haya bana ila sio zipigwe radion muda mrefu watafute namna nyingine.
 
huo mziki una kipindi chake maalum kuanzia saa 2 usiku mpaka saa5 usiku siyo kwamba unapigwa ovyo kama mleta mada anavyolalamika, tukumbuke hata bongo fleva wakat inaanza ilionekana na mziki wa kihuni, lakini leo ni muziki unaopendwa na kila rika. Efm wanajaribu kuinua hii aina ya muzik kutoka kufikiriwa ni muziki wa kihuni na kuufanya kua ni aina ya muziki wa kawaida kama dansi, bongo fleva nk
 
hahaha haya bana ila sio zipigwe radion muda mrefu watafute namna nyingine.

Radika pata muda kidogo sikiliza hizi nyimbo, mimi pia mwanzoni niliona kelele lakini nilipotulia na kusikiliza kuna ujumbe mzuri sana. Tangu hapo nimekuwa mpenzi mkubwa, sema tu ukienda jamaa wanapiga live pesa na kila kitu uache nyumbani... kuna wezi balaa, kinanda kikikolea..

 
Sijui ni aina gani ya muziki huu? station kubwa kufululiza kupiga nyimbo hizi badala ya kupiga nyimbo za maana mmeweka vinyimbo vya hovyo anachoimba hakieleweki tunasikia vifilimbi tu hovyo kabisa. Dj gani kakaa huyo hivyo vi miziki vina mahali pake.

Bonge LA shooooooow pale mlimani city usikoose!!!
 

Attachments

  • 1462889332589.jpg
    1462889332589.jpg
    22.6 KB · Views: 64
Mnanda ndio muziki unaoelezea maisha halisi ya Watanzania wa hali ya chini.

Kama huutaki si lazima kusikiliza redio hiyo.

How can you hate on S Kide giving you "vitu adimu kama ndala za kuku" ?

Sikiliza wimbo kama "Kazi ya Mkaa", how can you hate on this?

 
bila kupepesa macho ww ni mwanaume wa dar mnapenda sana love song
 
Hawa wanaume wa mikoani shida tupu,ninauhakika huyu mtoa mada hapa mjini hajafikisha hata klismasi tano.Target ya Efm ni watu wa uswazi na kwa taarifa yako huku kwetu uswahilini singeli na mnanda ndo habari ya mujini.alaf sasa ndo muziki asilia wakitanzania,sio hayo mazuku rumba unayoyapenda wewe na r&b na siku si nyingi hao masupa staa wataanza kutumia mtindo huo kwenye nyimbo zao

Aya shiika ukuta mwanangu cheza singeliiii!!
 
Nilijuaga ni peke yangu ambaye hukerwa, cha ajabu hadi usiku ni hizo hizo zinapigwa
 
Mnanda ndio muziki unaoelezea maisha halisi ya Watanzania wa hali ya chini.

Kama huutaki si lazima kusikiliza redio hiyo.

How can you hate on S Kide giving you "vitu adimu kama ndala za kuku" ?

Sikiliza wimbo kama "Kazi ya Mkaa", how can you hate on this?


Just pure talent
 
Back
Top Bottom