Angalia unachokisema,wanasema kama hujui ni busara kukaa kimya kuliko kumsingizia au kumkandamiza mnyonge.Kuna mtu alikuwa anakula godtime kama Makonda,jalibu kujifunza hata Kwa mifanoMboe analipia uovu wake.
kuna uovu mwingi aliufanya kwa siri na wazi sasa ulimwengu unamfumdisha.
ni vyema ktk kipindi hiki anacho pitia akatubia.