Queen Esther
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 2,195
- 1,417
- Thread starter
- #301
I salute you.
Indeed you are a Great Thinker.
Thank you.
Queen Esther
Indeed you are a Great Thinker.
Thank you.
Queen Esther
Queen Esther mkuu ukizungumzia katiba hata JK aliikana bungeni na ndo ulikuwa msimamo wa ccm wote bt kama kwel wanawake wa TZ mnataka kujikomboa msisubl huruma ya maguful au lowassa ni kutaka katiba ya warioba irudi hapo ndo mtakuwa mmejikomboa kiukwel na ndo ajenda ya ukawa kurudsha ktba ya warioba kuliko kusubl maneno matam ya wanasiasa na kudanganywa na viti maalum na vyeo vya kupewa pambaneni ktba ya warioba irud kwan kule ndo kuna haki zenu zote leo ata aje cuf,chadema,ccm,act kutawala bt mtabaki wanawake kama strong institution na amtaitaji huruma ya chama au rais ili mambo yenu yaende vzr cdhan kama kuna m2 ambae atakuja kuwakata kiu wanawake kama unavyosema zaid ya mambo yenu haki zenu kuingizwa kwenye katiba leo ata akija kiongoz akasema kuanzia leo wanawake mtakuwa hv au vle au ntawapa hki au kile bt kama hakipo au havipo kwenye katiba avitatekelezeka na havitokuwa na nguvu wanawake msipiganie strong people piganien strong institution