steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 9,665
- 10,433
Huyo lowassa alikuwa wapi kama huko huko kwa hao waliotufikisha hapa?
mnatetemeka,teh teh teh teh teh
Huyo lowassa alikuwa wapi kama huko huko kwa hao waliotufikisha hapa?
Heshima kwenu wana JF.
Nimefatilia kwa karibu sana sana hotuba ya Mhe. Mgombea u Rais kupitia UKAWA aliyoitoa hapa LAPF kwenye kongamano la wanawake BAWACHA na kubaini jambo moja kubwa sana.
Kauli mbiu ya kongamano ni "LOWASA NA HATMA ZA CHANGAMOTO ZA WANAWAKE TANZANIA"
Nimesikitika kuwa nilitegemea kwenye hotuba Yake ataweza kuelezea mikakati ya ukombozi huo wa mwanamke. Nasikitika kuwa sikuona mahali popote akiongelea changamoto hizo na jinsi ya kuzitatua.
Ameishia kuimba Wimbo wa Mhe. Magufuli "Alinselema Hadija, mchaka mchaka chinja" na kuzungumza mambo ya MAHABA!!!!!!!!
Nasikitika kusema mimi kama mwanamke nimeondoka na kiu yanguuuu!!!!!!!!!! Ngoja nimsubiri mzee original wa Alinselema. I hope atatuondolea kiu hii!!!!!! Tunataka kuona SERA za ukweli za kumkomboa mwanamke, sio MAIGIZO.
Naomba kuwasilisha.
Queen Esther
Heshima kwenu wana JF.
Nimefatilia kwa karibu sana sana hotuba ya Mhe. Mgombea u Rais kupitia UKAWA aliyoitoa hapa LAPF kwenye kongamano la wanawake BAWACHA na kubaini jambo moja kubwa sana.
Kauli mbiu ya kongamano ni "LOWASA NA HATMA ZA CHANGAMOTO ZA WANAWAKE TANZANIA"
Nimesikitika kuwa nilitegemea kwenye hotuba Yake ataweza kuelezea mikakati ya ukombozi huo wa mwanamke. Nasikitika kuwa sikuona mahali popote akiongelea changamoto hizo na jinsi ya kuzitatua.
Ameishia kuimba Wimbo wa Mhe. Magufuli "Alinselema Hadija, mchaka mchaka chinja" na kuzungumza mambo ya MAHABA!!!!!!!!
Nasikitika kusema mimi kama mwanamke nimeondoka na kiu yanguuuu!!!!!!!!!! Ngoja nimsubiri mzee original wa Alinselema. I hope atatuondolea kiu hii!!!!!! Tunataka kuona SERA za ukweli za kumkomboa mwanamke, sio MAIGIZO.
Naomba kuwasilisha.
Queen Esther
daaah failure...et aongee nn..unapopewa nafac km ile ina maana ww ndo mtatuz so lazma useme utawasaidiaje tena kwa mikakat ip...aseee ww hata 'MENKWA' elimu jitambue...bwana manywele meupe hana la maana kapotea kwel nywele cyo akil jaman au ndo kuzeeka nywele ndo kazeeka na akil.
Heshima kwenu wana JF.
Nimefatilia kwa karibu sana sana hotuba ya Mhe. Mgombea u Rais kupitia UKAWA aliyoitoa hapa LAPF kwenye kongamano la wanawake BAWACHA na kubaini jambo moja kubwa sana.
Kauli mbiu ya kongamano ni "LOWASA NA HATMA ZA CHANGAMOTO ZA WANAWAKE TANZANIA"
Nimesikitika kuwa nilitegemea kwenye hotuba Yake ataweza kuelezea mikakati ya ukombozi huo wa mwanamke. Nasikitika kuwa sikuona mahali popote akiongelea changamoto hizo na jinsi ya kuzitatua.
Ameishia kuimba Wimbo wa Mhe. Magufuli "Alinselema Hadija, mchaka mchaka chinja" na kuzungumza mambo ya MAHABA!!!!!!!!
Nasikitika kusema mimi kama mwanamke nimeondoka na kiu yanguuuu!!!!!!!!!! Ngoja nimsubiri mzee original wa Alinselema. I hope atatuondolea kiu hii!!!!!! Tunataka kuona SERA za ukweli za kumkomboa mwanamke, sio MAIGIZO.
Naomba kuwasilisha.
Queen Esther
Ivi nyie mlitegemea Lowassa aanze kuongea uongo kama mlivyozoea. Huyo ndio Lowassa,io ndio Chadema hao ndio Ukawa. Kwanza mkutano ulikuwa ni wa Bawacha Lowassa alikaribishwa na katika kukaribishwa kwake yeye aliwaomba akina mama KURA. Kuomba kura sio lazima useme nitawagaia kila mama mifuko ya viroba, cjui mjirodheshe, mara ooh nitafungua mahakama ya mafisadi. Yote hayo yapo katika katiba ya Tanzania wala haliitaji kusema ingia madaraka na kuvitekeleza. Unataka awe kama Tezi dume nitawanunulia meli, nitawajengea uwanja wa ndege. Kiongozi utakiwi kuongea sana onyesha kwa vitendo hapa kwa Chadema/Ukawa hakuna maneno mengi. NI UTEKELEZAJI TU SUBIRI KUANZIA TAREHE 26/10/15
Usitudanga'anye Mama Rigina Alifanya kazi gani!?Lowasa Si Mtu wa maneno mengi ni mtu wa vitendo!
Kweli kabisa mzee huyu msinii kweli kweli...amekusanya wanawake waje wamuimbie happy birthday
Janet Magufuli ni kati ya wanawake wachache ambao nina hakika akiwa First Lady hatasumbua.
Siku zote nina mfananisha mama Janet Magufuli na Mama Maria Nyerere. Huyo atakuwa mama wa wa TZ wote na Mhe. Magufuli baba wa TZ wote.
Mhe. Magufuli na mkewe Madame Janet Mambo ya kuchanganya kazi na familia hawataki. Kama umeisikiliza speech na mama Akilimali Leo amemuonya Madame Regina aachane na hayo Ma NGO na ajikite kuwasaidia wanawake na watoto.
Fanya analysis basi kabla ya kuponda.
Queen Esther
Kuntakit usiwadhililishe BAWACHA hasa Madame Halima Mdee Mkt na matangazo Yake kwenye media zote.
Queen Esther
Kuntakit usiwadhililishe BAWACHA hasa Madame Halima Mdee Mkt na matangazo Yake kwenye media zote.
Queen Esther
Changamoto tunazijua sanaa hata kipindi yeye akiwa waziri na PM zilikuwepo pia. Maswali ni kua Je anahistoria gani na changamoto za wanawake? Na pia hajaeleza ni kwa kivipi atazitatua, na hatumpigii kura mke wake. #HapaKaziTu #Magufuli for president.Nadhani umemsikiliza mama Regina Lowasa alivyotoa hotuba ya changamoto za wanawake, Lowasa kamwachia mkewe ajimwage yeye kawapa kazi moja wanawake ya kumtafutia kura
Happy Birthday hahahahaaaaaa!!!!! Yaani wanawake wameacha vibiashara vyao masikini kuja kusikiliza happy birthday.
Hawana hamu wamekomaje????? Hawarudii tennnnaaaaa!!!!!
Queen Esther