Country-boy
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 330
- 122
lowasa inaonesha kuna watu wanamuogopa vibaya! kwa mimi nijuavyo, mtu kama hana madhara kwako hawezi kukuumiza kichwa
simshabikii EL, ila wewe TISS gani umeshindwa kugundua kuwa US wanamsapoti EL
tiss wamejipa majukum mazito hata wasiyoweza
:bowl:HAPA NI LAZIMA MTAPE TAPE HAKUNA UJANJA, MTOA POST UNACHEZA KIRONALDO!!!
HADANGANYIKI MTU HAPA
LOWASSA GO GO GO BABA!!
MANENO MINGI MINGI HAITAKOSEKANA
ii
H20 is a genius.kwa hisani ya H20
Kufuatia mwamba wa Kaskazini kuhamia upinzani, breaking news hiyo iliwastua sana Mkulu na Maza na hivi ndivyo ilivyokuwa.
Mkulu: Baby, vijana wamenitaarifu habari za nyumbani kuwa ni nzuri ila kuna mambo yamenistua
Maza: Jamani baba Wani vipi tena, kitu gani kimekustua?
Mkulu: Si huyu aliyekatwa, mwamba wa kaskazini?
Maza: Kafanya nini tena?, kashtaki mahakamani?
Mkulu: Hapana
Maza: Kaharibu tingatinga?
Mkulu: Hapana
Maza: Kafanyaje
Mkulu: Duh, kanichanganya kabisa. Si kahamia kule UKIWA
Maza: Yallllahh, toba. Eh, ya kweli hayo?
Mkulu: Kweli kabisa baby yaani hata hii PHD sina hamu nayo tena, sijui nimfanyeje aaarrrrgggggg.
Maza: Tulia mpenzi hata mie zimenishtua sana. Sasa itakuwaje
Mkulu: Atagombea
Maza: Yaani ile safari iliyoishia Dodoma imenza tena?
Mkulu: Ndiyo hivyo nasikia kajibu kuhusu Richm*nd eti oda zote zilitoka kwangu. Wallah sijui nifanyeje? Hata wale
vijana wangu akina Nepi hawataweza kujibu mapigo na Kinanda sijui yuko wapi, kwanza nasikia tingatinga
linajiendesha lenyewe. Hii ni hatare manake linaweza kuparamia nyumba za watu na kuleta maafa sana.
Maza: Itabidi tukatishe safari haraka hali isije kuwa mbaya zaidi.
Mkulu: Baby achana nao tule nchi si unaona tumekuja na huyu bwana mdogo Ally, manake alipania sana hii safari.
Tumalize ziara yetu then tutalikabiliana nalo huko huko tukifika. Ila nitawaambia waitishe press conference ili
kuwashukuru wana habari walivyoshiriki kuripoti mkutano wetu kule makao makuu.
Maza: Yani Reg*ina awe festi ledi? Kweli mwaka huu ni wa hasara kabisa. Kama ni kilimo hapo mkulima kala mbegu.
Duh yule dogo wetu Member aliharibiwa mambo yake na huyu wa kaskazini. Na sasa tingatinga naye
anatishiwa? Maskini Shosti wangu Jenet anaweza kuukosa ufesti ledi eeehh?
Mkulu: Usijali nitajua la kufanya. Saaasa lile goli la mkono sidhani kama kuna mshambuliaji yeyote kwenye timu ya
Umoja ni Ushindi ataweza kulifunga. Huyu Nepi ye ni maneno tu, kama ni mshambuliaji atakuwa ni yule
Torres wakati akiwaChelsea. Kinanda ni sawa na Drogba wa sasa, yaani wote wamechoka.
Maza: Ina maana mafuriko hayazuiliki kwa mkono? Hata hili tingatinga nalo haliwezi kuchimba mitaro na kuelekeza
maji mtoni?
Mkulu: Baby nimeshakwambia tingatinga bila dereva haliendi, aaahh! Mwaka wa hasara huuu. Ngoja nimalize mhula
wangu niikapumzike Mzoga kuleeee. Ila hata huko lazima akatwe tu hamna jinsi
Maza: Umekumbuka usemi wa PM mtoto wa mkulima wa kukatwa eeeeh.
Mkulu: Nammiss sana mzee wa kulia lia. Yaani hata alivyokatwa alilia maskini duh! kweli mwaka huuu kazi ipo
Maza: Kwani bebi si uliongea na wa Kaskazini kwamba lazima wote waliokatwa wajiunge na tingatinga?
Mkulu:Achana naye sijui amekula maharage ya wapi yule? anaongeaongea ovyo tu, nazidi kumdharau, wala si rafiki
yangu tena, eti nimehusika na Rich, eti alitaka kuikatilia mbali Rich nikatoa oda. To hell I dont care. Tulale
baby:
Maza: Ok baba wani, mpenzi wangu usijali, ila lifanyie kazi hilo, tutaumbukaje? Lala mpenzi, I love you. Mwaaaaaa!
Am just Curious: hivi hawa viongozi wakuu wastaafu hawana kinga dhidi ya mashtaka???
Siasa za msimu huu zishakata appetite yangu ya bata...........sina hamu.........
na kama wewe ni mmoja wao,basi TISS inabidi isafishwe ili kuondoa mapopoma.mana hakuna namna nyingine.Huna unachokijua na Kazi ya hao jamaa ni ya KUTUKUKA ndani na nje ya nchi. Vinginevyo wasingekubalika sana Israel, China, Uingereza na Marekani hadi wanaamua kufanya exchange programs na TISS. Hivi mzungu huwa anamkubali mwafrika tu mjinga mjinga? Chezea IDARA au TAASISI zote hapa Tanzania ila IHESHIMU TISS.
CCM acheni vitisho bana....
Kama lowassa hafai CCM iweje mnaanza kulia lia kama mapaka shume.
Lowasa katemwa na CCM, Mbowe kalamba mshiko, Lowasa hata kuongea sawa wala kutembea sawa hawezi, tazama hata anapopungia watu mkono, vidole havifunguki.
Kama nyinyi mmemchukuwa mgonjwa ili awe Rais wa Tanzania basi mmepotea sana step, lakini kama mmempokea kumlia fedha zake tu, hapo nawapongeza mmedhihirisha kweli ni wachagga.
Mgonjwa mmoja aliyetemwa na CCM ni mbora kuliko chadema yote.