zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,220
Nimekuwa najiuliza kwanini CCM imekuwa kimya na tukio la Lowasa kuhamia CHADEMA-UKAWA. Leo nimepata jibu kwanini. Habari za uhakika toka jikoni CCM ni kwamba kuna mpango ushasukwa wa kumkata tena Lowasa. Ni hivi, Tume ya uchaguzi imekwisha kabidhiwa picha za mnato na video zinazomuonyesha Lowasa akianza kampeni kabla ya muda wa kampeni wakati wa kura za maoni za kutafuta mgombea uraisi wa CCM. Kwa maana hiyo basi, Magufuli ni kama hatakuwa na upinzani maana mgombea wa UKAWA atakatwa mara tu baada ya dirisha la kurudisha fomu za kutaka kuwa mgombea kufungwa. KWa maana hiyo, Magufuli atagombeaa na na wachovu kama Dovutwa nk. You heard it here first. UKAWA wasipojipanga na CCM isipojirudi naona kuna mmwagiko wa damu waja nchini. ATAKUBALI KUKATWA MARA MBILI??????
Mkuu kwani hizo kampeni ni kosa la jinai,