Edward Lowassa hatoruhisiwa kugombea Urais!

Edward Lowassa hatoruhisiwa kugombea Urais!

Pole sana kwa kulialia ccm bye bye wananchi ndio wameamua akuna Wa kupinga sasa ni nguvu ya umma jiandaeni kuwa wapinzani tu akuna jinsi
 
masi dada yawezekana kuna kitu flan usichokijua kuhusu TISS na mtu kuingia ikulu..
Lowasa tunajua mnamkubali lakn hawezi kuingia ikulu kwanamna yoyote ile
Hivi hicho si ndio kinaitwa mfumo ambao umelikataa hilo jiwe kule kwingine!?
Atakuwa aware bila shaka, ufanyaji kazi wa mfumo na ccm iliyo moja ni tofauti na ufanyaji kazi na ccm vipande vipande.

 
Kuruhusiwa kugombea na kuwa Rais ni vitu viwili tofauti
 
masi dada yawezekana kuna kitu flan usichokijua kuhusu TISS na mtu kuingia ikulu..
Lowasa tunajua mnamkubali lakn hawezi kuingia ikulu kwanamna yoyote ile

Mtasababisha umwagaji wa DAMU hii NCHI sio ya CCM peke yake
 
Last edited by a moderator:
Informer

HAPA NI LAZIMA MTAPE TAPE HAKUNA UJANJA, MTOA POST UNACHEZA KIRONALDO!!!

HADANGANYIKI MTU HAPA

LOWASSA GO GO GO BABA!!

MANENO MINGI MINGI HAITAKOSEKANA

ii
 
Last edited by a moderator:
Informer

Mkuu wa nchi anaongea na Serikali kwa kupitia Skype? This is a disaster, maana Skype is not a secured system of communication. Hawezi kupiga simu? Mkuu nadhani hapa umeongea kwa muhemko.

Naomba karudie kusoma katiba ya Tanzania uone kama kuna pingamizi zozote za Lowassa kugombea, Kama kwenye CDM kuna kifungu cha sheria kinachozuia mtu kuhamia na kugombea hiyo ni simple technical issue ambayo inakuwa amended na watu.

Mimi humu nimekuwa naisema CDM tangu mwaka 2007 na Finally sasa wamesikia, Dr. Slaa hana siasa za kushinda uraisi, tafuta mabandiko yangu ya kale ambapo nilieleza why Slaa can't win. Mboe amefanya maamuzi sahahi, for the first time in my life nakubaliana na Mboe. This is what upinzani need, kelele za ufisadi won't give you a president.
 
Last edited by a moderator:
Sasa wewe hutaki ccm ishinde?

Inakuwaje leo utake kutuaminisha unacheza upande wa Ukawa?

Hata hivyo, ninaamini kumzuia Lowasa asigombee uraisi ni kuwachochea wafuasi wake gadhabu ya kuwapa adhabu iliyokubwa zaidi kwa nguvu kubwa.

Dr. Slaa ana uwezo mkubwa wa kuongoza nchi kuliko unavyodhani na ndiyo maana ameridhia mchakato huu uendelee kwa kuwa anajua kinachofanyika ndani ya UKAWA.
 
Kila mtu anajifanya anafahamu ukweli mtakatifu na anajua zaidi kuliko wengine. Hayo ni maoni yako tu na si zaidi wala chochote! Pumbaaf!
 
Haya maji.nga nayo yanaweweseka kisengerema kweli kweli...... Msipate pressure tukutaneni Oktoba 25, ila nawambieni Magufuli akipata asilimia 45 ni mwanaume
 
Informer

Mkuu kama TISS wangekuwa wanafanya kazi hiyo sijui nani CCM angepona saa hizi. Kama unayosema ni kweli kuwa hata serikali za UK na USA zinfanya hivyo, basi ujue labda zaidi ya nusu ya baraza la mawaziri lingekuwa kwenye hati hati. Ukizungumzia ufisadi unatakiwa kuwa makini sana, unaweza kushangaa kuwa unazungumzia EPA, ESCROW, etc etc.
 
Last edited by a moderator:
Kwani Tiss ni akina nani?
Ndio wanapiga Kura?
TISS hii nchi ni Yao? (komamayo-e)

Then nadhan hujui hata lowasa ana Tiss wanaomuunga mkono, na kabla ya kutoka kwenda CDM walimshauri pia, na hujui kuwa CDM nao wana infiltrates wao ndani ya Tiss na CCM, walikaa usku na mchana kuchambua mambo, wasn't a one night stand decision.......kumkaribisha Lowasa
 
Back
Top Bottom