Edward Lowassa hatoruhisiwa kugombea Urais!

Edward Lowassa hatoruhisiwa kugombea Urais!

Inaonekana basi lowasa ni ni mtu safi sana,ccm wanamchafua kwanini watumie nguvu nyingi mpaka hata kuhusisha mataifa makubwa c wasubiri wananchi waamue hatma ya kiongoz wanayemtaka
 
Mnaweweseka..
Ccm mmeona mziki wa Leo ufipa????hiyo trela.
Picha bado..
Haki ya mungu mwaka huu tuta wawowa
 
Eti CCM anawasauri CHADEMA na kuwapa mbinu za ushindi?? Hii mpya sijawahi kuona. Sasa kama mnajua Lowasa akigombea atawekewa pingamizi si mkae kimya ili CDM wakosee nyie mpete.

KWELI MNA HALI MBAYA AISEE
 
Isije kuwa hizi taharifa anazo (kama ni za kweli)
Ndo maana kakimbilia UKAWA ili wam protect japo kwa kuandamana Kisutu...very smart...
 
Eti CCM anawashauri CHADEMA na kuwapa mbinu za ushindi?? Hii mpya sijawahi kuona. Sasa kama mnajua Lowasa akigombea atawekewa pingamizi si mkae kimya ili CDM wakosee nyie mpete.

KWELI MNA HALI MBAYA AISEE
 
Am just Curious: hivi hawa viongozi wakuu wastaafu hawana kinga dhidi ya mashtaka???
 
Mbona ccm wanahaaha ..Lowassa walikuwa hawampendi Nadhani wangefurahi kaondoka.....Kama chadema walivyofurahi Zitto kuondoka
 
ndg. Informer umedhihirisha uwongo wako kwa kuishusha hadhi TISS,
yaani swala nyeti kama hili ulilolileta,raisi alishiriki/alishirikishwa kwa njia ya skype?.skype serious!!!.bora hata ungetumia neno "video call" ili tusijue mlitumia application gani kum-link up.!!.namna hii vijana wa paul kagame waliopo humu JF kama akina murutongore mchambawima1 Koba na MUKAMASIMBA wakisoma hii si wata idharau sana TISS.
 
Last edited by a moderator:
Mtasema mengi sana, but mwisho wa siku ikulu hii hapa...mjiandae kisaikolojia...
 
Umenikosha sana ulipo sema chama cha kishetani c.c.m kinajua na ndicho kimeshirikiana na tiss kumhujumu lowassa..!!??
 
Tangu lini ccm wakakitakia mema na kukishauri mbinu za ushindi chadema???? Tunashukuru umejidhihirisha kuwa we mpinzani kwa kusema mme-........tumekubali asiruhusiwe we hofu yako nini???
 
Ni upuuzi kujadiri mada ya upuuzi,nami ni bora niwe mpuuzi kwa muda kumjibu huyu mTISS fake,.....mi nashangaa great thinkers mnapopoteza muda kujadili hii maada,first of all toka lini CCM imekua na mapenzi na CDM na UKAWA,au upinzani,leo mpuuzi fulani eti anatoa siri kwa adui na bado anamtisha huyo adui,siri ya kumkomoa mtu huwa haifichuliwi,ila inafichwa ili mpate surprise siku ya tukio,hizi ni propaganda kila sehemu hujitokeza kipindi kama hichi cha kuelekea uchaguzi,ni mpuuzi pekee ndie anaeweza kuamini kuwa CCM wanaweza kufurahia kuondoka kwa Lowasa!mpuuzeni huyu mleta mada hapa,CDM pale kuna vichwa vina akili sana,hawawezi kukurupuka for this extent....!
 
Kwa taarifa yako mtoa mada,Lowasa anaijua TISS kimatakomatako shut up your mouth!
 
Back
Top Bottom