Edward Lowassa aumbuka Arumeru Mashariki

Hapo kwenye RED ndipo watu wengi humu huwa wanakutilia mashaka, kama swala ni mtu wa kaskazini kuwa Rais, hakuna hata mmoja mwenye sifa zaidi ya Dr Wilbroad Slaa, kwahiyo basi kama shida yako ni mtu wa kaskazini kuwa Rais nakuomba rasmi kuanzia sasa uanze kumfanyia kampeni shujaa wetu Dr Slaa. CCM ni chama ambacho kimeshakufa hakina tena uhalali wa kuendelea kuitawala Tanzania, miaka 50 waliyopewa sasa imetosha.
 
Sioni Lowassa anahusika vipi na hizo tuhuma za rushwa, acheni kumchafua mzee wa watu amejing'atua ametulia bado mnamfuata fuata!
 
Pasco,
Sioi anapita? Ma-AntiLowasa wamemkalia vibaya huyu kijana kwa "dhambi" ya kuoa bintiLowasa!
Kadri wanavyotumia nguvu kubwa kumpinga ndivyo wanavyompa promo ya more compassionate votes na akipigwa chini, CCM inakufa kifo cha mende kwa mgombea wa Chadema kujizokea kura za chuki dhidi ya dhambi ya ubaguzi CCM inayotaka kuifanya Arumeru!.
 
Dada yake Sion atakwenda CHADEMA tena? kutafuta Maslahi? kama Mwaka 2010? inaonyesha hiyo familia inaupenda Ubunge na Umaarufu... Dada Mwingine alikuwa Miss World Africa...

Kazi ipo... Lowassa Lazima atahojiwa Askofu mzima yuko Jela, kweli ni hatari siku za CCM zinahesabika, na yeye viongozi wa dini wataanza kumkimbia anakwenda kila sherehe za dini ili awaweke hao viongozi LUPANGO??
 

Unataka Slaa apewe kwa ukaskazini wake au uwezo wake??
 
Mkuu Matola nilidhani na wewe ni great thinker humu jf?!. Can't you read in btn the lines?!.
 
Kadri wanavyotumia nguvu kubwa kumpinga ndivyo wanavyompa promo ya more compassionate votes na akipigwa chini, CCM inakufa kifo cha mende kwa mgombea wa Chadema kujizokea kura za chuki dhidi ya dhambi ya ubaguzi CCM inayotaka kuifanya Arumeru!.
Pasco hebu twende taratibu, hakuna mtu yeyote makini anaesubili mpaka CCM wambwage mgombea fulani ndio waipigie kura CHADEMA, hapana hapo umepotoka, Watanzania tumeshakata shauri kwa sasa hakuna chama tunachokiamini zaidi ya CHADEMA. Period.
 

Kweli nimeamini jina Jina lako CHIZI1 linaendana na hii Thready yako! Bado unautamaduni wa kusikiliaza taarabu na mipasho ya kila mwisho wa mwezi wa huyo jamaa yako?
 
Askofu anayezungumziwa kukamatwa si wa kanisani ni askofu mfanya biashara wa mawe kwa hiyo askofu ni jina tu,hata Mathias ni mfanyabiashara wa mawe pia.

Atakuwa Askofu wa mererani yule waliyetaka kumfilisi kipindi cha Mrema.
Kama hao watu na wengineo kama ni kweli wako nyuma ya EL basi sishangazwi na pesa anazomwaga, hao watu iko na faranga.
 
Tumechoshwa na Porojo za CCM, ukitaka kufanya maamuzi magumu Jifunze hapa:

Malema expelled from ANC

Sapa | 29 February, 2012 22:09
Suspended ANC Youth League President Julius Malema.
Image by: SIPHIWE SIBEKO / Reuters

Save & Share




ANC Youth League president Julius Malema has been expelled from the ANC, the party's national disciplinary committee (NDC) chairman Derek Hanekom said on Wednesday evening.

"Cde Julius Malema is expelled from the ANC," the NDC said in a statement.
Malema could appeal this sanction within 14 days.
Youth league secretary general Sindiso Magaqa's membership was suspended for three years. This sanction was suspended for three years, but would kick in if he was found guilty of misconduct in terms of the ANC constitution during the period of suspension.
League spokesman Floyd Shivambu's membership was suspended for three years.
"This sanction is applicable to cde Shivambu's membership of the ANC Youth League. Consequently, he shall vacate his position as a member of the national executive committee of the ANC Youth League."
He could also appeal the sanction within 14 days.

Reply
Reply With Quote



 
Kadri wanavyotumia nguvu kubwa kumpinga ndivyo wanavyompa promo ya more compassionate votes na akipigwa chini, CCM inakufa kifo cha mende kwa mgombea wa Chadema kujizokea kura za chuki dhidi ya dhambi ya ubaguzi CCM inayotaka kuifanya Arumeru!.

Sitatarajii kutoka kwako uwe na pointi ambayo itanishawishi juu ya El.

Je nikweli EL Ni msafi kama mvi ZAKE?

Je ni kweli tunaitaji Mtu mwenye tuhuma lukuki za ufisdi apitishwe na CCM?

Naanza kuutilia shaka uwezo wako wa kufikiri.

Naomba ukaoge ndo urudi humu.
 
Pasco hebu twende taratibu, hakuna mtu yeyote makini anaesubili mpaka CCM wambwage mgombea fulani ndio waipigie kura CHADEMA, hapana hapo umepotoka, Watanzania tumeshakata shauri kwa sasa hakuna chama tunachokiamini zaidi ya CHADEMA. Period.
Mh! Sidhani. Hauna "mandate" ya kutusemea WATANZANIA woote. Halafu, AruMeru wana vigezo vyao kwenye mambo haya ya kuchaguana. Chama gani mgombea anatoka sio mojawapo ya vigezo hivo.
 
Askofu mwenyewe siku hizi kachoka kichizi si yule wazamani akimwaga fedha kama njugu Pallson Hotel.

Atakuwa Askofu wa mererani yule waliyetaka kumfilisi kipindi cha Mrema.
Kama hao watu na wengineo kama ni kweli wako nyuma ya EL basi sishangazwi na pesa anazomwaga, hao watu iko na faranga.
 

Kuna mfanya biahsara wa mawe anajiita Askofu (mwenye Pallson hotel) tusichanganye mambo

 
JK alinyamaza lakini kumbe bado wanaviziana...

Naona takukuru ni mojawapo ya marungu ya JK yaliyobaki?

Ngoja nimsubiri Pasco hapa.
 
Nilishasema, hakuna uchaguzi unaowashirikisha wanaCCM wasihonge. Na huu ni uchaguzi wa wao kwa wao. Vipi ule wa kupambana na wapinzani!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…