Edward Lowassa ashiriki kampeni za Uhuru Kenyatta

Edward Lowassa ashiriki kampeni za Uhuru Kenyatta

Uchaguzi wa Kenya una taswira sawa Na uchaguzi utakao kuwa wa Tanzania mwaka 2020, Na kwa watu makini mtajaribu kuwaza yaliyoandikwa hapa,

Kwanza
Sababu KUU za kwanini Kenyatta ataendelea kuwa rais wa Kenya ,

1. Ni vigumu mno kwa nchi za Africa kwa rais kuongoza term Moja ya uongozi wakati ndo ana mamlaka yote Na kila kitu,

2. Tume ya uchaguzi Mara nyingi kwa Africa iko upande wa watawala, mtawala asiposhinda anashindishwa kwa lazima, hivyo hata LOWASA kuwa makini kajipange mwaka 2025 ugombee Na kina NCHEMBA,

3. Pamoja Na kwamba Kenya kuna changamoto ya rushwa, lakin Kenyatta kajitahidi sana kuleta maendeleo Na yanaonekana,

4. UPINZANI Mara nyingi ukishashindwa Mara ya kwanza watu hupoteza imani Nao, pili hata Ile desire ya mgombea kwenda ikulu Na kushawishika watu hupungua, maana agenda zake nyingi zinakuwa zimeshatekelezwa Na alomshinda ,pili wapiga kura hukata tamaa, hivyo raila odinga kamwe hatakuwa rais wa Kenya, ni kama ambavyo IPO hapa kwetu LOWASA ataishia kuwa rais wa mioyo ya watu,

Kila la heri JEMBE LA KENYA UHURU KENYATTA,

Tukutane tarehe 10.8.2017

By Samwel mathayo .
Hujui unachokiandika unafurahisha watu wikendi
 
Mleta Uzi ni mfuasi was Uhuru. Sio sahihi kufuata mapenzi ya mleta mada..tusubiri wakenya wachague
 
Katiba ya Kenya ni tofauti na yetu Kenya rais hana mamlaka yoyote siku ya kupiga kura ikifika etc jesh, police, tume ya uchaguzi na mengine yote hawezi ongoza tofauti na sisi
Kenyatta atashida kwa sababu gani sababu ni moja tu kama tunavyo jua kuna ukabila sio kwamba kabila lake ni kubwa hapana ila sababu ni moja tu kabila lake wana jitokeza kupiga kura wengi tofauti na rao wapo wengi ila siku ya kupiga kura wana toka wachache
 
Mara nyingi viongozi wa Afrika waliopo madarakani huwa hawashindi wanatangazwa kushinda na tume wakati wananchi wamewakataa.mfano ni Kenya kwenyewe Kibaki alitangazwa wakati hakuchaguliwa na wananchi,kilichofuata baada ya hapo ni mauaji yaliyofanywa na vyombo vya dola wakati wanawalazimisha wananchi kukubali mtu waliye mkataa.
 
Uchaguzi wa Kenya una taswira sawa Na uchaguzi utakao kuwa wa Tanzania mwaka 2020, Na kwa watu makini mtajaribu kuwaza yaliyoandikwa hapa,

Kwanza
Sababu KUU za kwanini Kenyatta ataendelea kuwa rais wa Kenya ,

1. Ni vigumu mno kwa nchi za Africa kwa rais kuongoza term Moja ya uongozi wakati ndo ana mamlaka yote Na kila kitu,

2. Tume ya uchaguzi Mara nyingi kwa Africa iko upande wa watawala, mtawala asiposhinda anashindishwa kwa lazima, hivyo hata LOWASA kuwa makini kajipange mwaka 2025 ugombee Na kina NCHEMBA,

3. Pamoja Na kwamba Kenya kuna changamoto ya rushwa, lakin Kenyatta kajitahidi sana kuleta maendeleo Na yanaonekana,

4. UPINZANI Mara nyingi ukishashindwa Mara ya kwanza watu hupoteza imani Nao, pili hata Ile desire ya mgombea kwenda ikulu Na kushawishika watu hupungua, maana agenda zake nyingi zinakuwa zimeshatekelezwa Na alomshinda ,pili wapiga kura hukata tamaa, hivyo raila odinga kamwe hatakuwa rais wa Kenya, ni kama ambavyo IPO hapa kwetu LOWASA ataishia kuwa rais wa mioyo ya watu,

Kila la heri JEMBE LA KENYA UHURU KENYATTA,

Tukutane tarehe 10.8.2017

By Samwel mathayo .
Noted!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara nyingi viongozi wa Afrika waliopo madarakani huwa hawashindi wanatangazwa kushinda na tume wakati wananchi wamewakataa.mfano ni Kenya kwenyewe Kibaki alitangazwa wakati hakuchaguliwa na wananchi,kilichofuata baada ya hapo ni mauaji yaliyofanywa na vyombo vya dola wakati wanawalazimisha wananchi kukubali mtu waliye mkataa.
Hayo ni kabla ya katiba mpya
 
Huo msalaba ambao Lowasa ameuvaa mgongoni unawakilisha nini na nani? Au ushiriki wake kwenye kampeni hizi ni kielelezo kuwa anamuunga mkono Kenyatta kama askofu (kanisa gani?) na wala siyo Chadema!
 
Naomba niweke mambo sawa hapa. Kwanza sidhani kama Lowassa kwenda kwake huko kaenda kwa niaba ya Chadema, hiyo sio kweli.

Ukweli ni kwamba, baada ya serikali ya Jubilee kuona Wamaasai wengi wameshtuka kuiunga mkono safari hii hasa ktk counties mbili za Kajiado na Narok zenye Wamaasai wengi, ndio sasa wanahaha kujaribu kuwashawishi waiunge tena mkono chama chao cha Jubilee.

Ktk uchaguzi uliyopita 2013 ktk County ya Kajiado Uhuru alipata kura 52.8% na Raila 44.8%; wakati Narok County Uhuru alipata 46.7% na Raila 50.6%, na safari hii hali ni mbaya mno kwa Uhuru kwenye hizo Counties.

Hali imezidi kuwa tete kwa Jubilee ktk maeneo hayo pia kufuatia kifo cha ghafla cha aliyekuwa waziri wa usalama wa ndani Bw. Joseph Nkaissery ambaye wamaasai wengi hawajaridhika na namna alivyofariki.

Sasa kwenda kwa Lowassa ni mkakati tu wa Jubilee wa kujaribu kuokoa jahazi na kubembeleza kura za umasaini. Nothing more.
 
Kaenda kupiga picha tu huyu. Mtu asiyeweza hata kuongea sera zake tu, atasaidia nini kwa Wakenya?

Kenyatta hajitambui kwa nini alishindwa?

Hapa ni vibaka wa fedha na siasa wamekutana mitaani.
Kaukweli kachungu lakini

ploudly ngosha [emoji243][emoji243][emoji243]
 
Siasa ina wenyewe na wenyewe ni wananchi vilaza.
Naona kama EL ameenda kumharibia UK kwa namna Chadema walivyomchafua Mzee wa watu EL. Nakumbuka katika kampeni za KE, wagombea wa nafasi mbalimbali walipanda jukwani kwa nyakati tofauti wakisema watafanya kama Magufuli iwapo watapewa nafasi ya kuongoza. Hapa walikuwa na maana ya utumbuaji majipu na kumpambana na ufisadi.
Kama ndio hivyo, Je EL ameweza kujisafisha kiasi hicho cha kufanya wananchi wengi wa Kenya kumuelewa na kumkubali ili UK apate kura zao?
Mwenye kujua kwa undani siasa anaweza kunisaidia hapa kwamba EL anatambulika vp huko Kenya.
Pamoja naye EL alikuwepo Mbunge wa Monduli ndugu Julius Kalanga, huyu naona alienda kujifunza, kupata uzoefu na kufahamiana na watu wa mataifa mengine na sio kwenda kumpa support katika uchaguzi wa nchini humo. Huyu amepata faida ziadi kuliko UK na EL ambaye ameongeza "adui" wa ndani na nje bila gharama.
 
Naangalia kampeni za mwisho,naona kwa raila kuna mafuriko ya watu kuliko kwa uhuru,
japo sitaki raila apite maana yuko unreliable sana
 
Back
Top Bottom