Muheza 1
Senior Member
- Aug 2, 2017
- 133
- 152
When you see such kind of move, think twice, there is a high possibilities Uhuru is in danger zone. My friend, don't just jump into conclusion, there is something wrong there with Kenyatta's chance of success, that is why he wanted political reinforcement at the final stage.
Mnampangia cha kusupport??Akae atulie hivyo hivyo, mambo ya Wakenya hayamhusu ajali ya kwao Tanzania
![]()
...hivi ni mwenyekiti gani ana gombewa na mahawara zake viti maalum !?Hivi rais gani alimpasua mtoto wake wa kumzaa nimesahau kidogo nasikia akanywa sumu mtoto
Kenyatta akichukua tena nchi sijui hizi nchi mbili zitakuwa na uhusiano wa namna gani maana naona Kenyatta kaamua kuonesha wazi kuwa yupo na mpinzani wa Magu
Ushaidi ni kitu chema sio unazi hata wakudiliki kutukana wengine siasa chafu.Chadema ni kama malaya.anayejiuza leo kiko na odinga kesho kiko na Kenyatta loo!!!
Wakuu,
Hili suala silo la kushangiliwa wala kupongezwa... Ni suala la hatari kimahusiano kati ya nchi zetu mbili.
Lilipaswa kufanywa na wao wenywew bila kuingiliwa wala kusaidiwa na nguvu kutoka nje. Kitendo hiki kitazua hasira miongoni mwa wananchi wanaomuunga mkono Odinga na kama Uhuru atashinda basi kuna chuki itajengeka dhidi ya Lowassa na chama chake. Naye atalipwa hayahaya come 2020.
Ikumbukwe pia usalama miongoni mwa wananchi wa Kenya ni mdogo na ni watu wa "Liwalo na Liwee",lolote litakalo tokea juu ya uchaguzi huu litahusishwa na Watz.
Sioni Afya katika hili..... Isipokuwa bado litazidi kumharibia EL kama atagombea tena Uchaguzi ujao.
Wizara ya Mambo nchi za nje si vibaya ikilitolea tamko na msimamo wa TanzaniaNauliza tu, jambo hili huwa linakubalika kidiplomasia hasa wakati wa uchaguzi? Naomba kuelewesha, japo najaribu pia kujiuliza kama hiyo picha ni ya hivi karibuni na lengo lilikuwa ni kumsupport Uhuru kweli? Isije ikawa ni picha ya tukio lingine, kisha inaletwa hapa jukwaani sasa ili kupiga propaganda na kupotosha kama ilivyo kawaida ya mitandao ya kijamii.
Jaribu kutumia lugha ya kistaarabu basi HIDAYA bado utaeleweka tu.Chadema ni kama malaya.anayejiuza leo kiko na odinga kesho kiko na Kenyatta loo!!!