Edward Lowassa ashiriki kampeni za Uhuru Kenyatta

Edward Lowassa ashiriki kampeni za Uhuru Kenyatta

Hicho wanachofanya Uhuru na Lowassa hakikubaliki. Hakina tofauti na kile wamerekani walicholalamikia Urusi kuingilia uchaguzi mkuu wao. Kama Lowassa ameenda kumpigia kampeni Uhuru, ingalikuwaje kama Magufuli naye angeenda kumpigia kampeni Raila? Hii mambo inaweza kuwafanya Wakenya kwenda kubatilisha matokeo ya uchaguzi mahakamani kama Uhuru atashinda.
Kwani aliwaambia waluo wamchague Kenyatta? Hamjui siasa za wenzenu
 
Kaenda kumuharibia Uhuru..lowasa hasafishiki east Africa nzima..anajulikana
 
Hivi nyie si mnapiga vita ukabila?! Yaani Lowassa kaenda kushawishi wanamasai kumpigia kura Uhuru!!!!! Huyu mzee hajifunzi tu na siasa zake za kibaguzi. Hajasahau ya walutheri!!

Sent from Moto G
Hivi nyie si mnapiga vita ukabila?! Yaani Lowassa kaenda kushawishi wanamasai kumpigia kura Uhuru!!!!! Huyu mzee hajifunzi tu na siasa zake za kibaguzi. Hajasahau ya walutheri!!

Sent from Moto G
Ushawishi haujawahi kuwa ukabila hata mara moja
 
Lowassa alishamalizwa baada ya JPM kuapishwa 2015. Sasa hivi anapitia njia aliyopitia Mrema kabla ya kuzikwa rasmi kisiasa. Only time will tell.
 
Nimeshangaa sana kwa mzee huyu kuamua kusafiri kwenda Kenya kuingilia uchaguzi wa wakenya....

Mimi naona badala ya kujiimarisha,anajimaliza kisisa.

Ni hatari sana kisiasa kuonesha wewe ni adui na unashiriki kudidimiza upinzani wa nchi nyingine.....

Chukulia kenya,8/8 ondinga akachaguliwa!!
..
haoni kuwa upinzani wa Tanzania utadumaa zaidi!,?maana hawatakuwa na sehemu yakukimbilia east afrika yote.

Tuhuma zake za hapa tanzania,pia wakenya wanazijua.....wataona kuwa kumbe na uhuru naye yupo kama lowasa...!?

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni hatari according to who? wewe ni kilaza kweli ... yani watu wote wa karibu naye wameshindwa mshauri mpaka wewe uje na maneno yako hapa? pambana na hali yako
 
Kaenda kumuharibia Uhuru..lowasa hasafishiki east Africa nzima..anajulikana

He seems not to be very smart politician, if you are smart you don't declare your preference in public something to do with other country internal affairs. It affect relations of the countries and your own position in the future.
 
Ni sheria za karibu kila nchi ndivyo zilivyo. Methinks.
Kwanza umesema sheria za kimataifa, ukidhani zinaitwa sheria za kimataifa kwasababu ni sheria za taifa la nje.

Hujui kwamba kuna sheria za kimataifa.

Hujui kwamba sheria za marekani siyo sheria za kimataifa.

Haufahamu tofauti kati ya sheria za kimataifa na sheria za mataifa.

Jipange upya
 
Back
Top Bottom