dosho12
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 3,700
- 9,841
Em ongeza miaka 33 hapo ๐,mi ni muhenga
Ana utani na wewe, nakumbuka kipindi nafikisha miaka 30 kwenye birthday yangu ulisema ukiwa mkubwa unataka kuwa kama mimi ukiwa una miaka 7 ๐Kwamba aunt kanipita miaka 10๐ ๐ ๐
Hebu nipunguzie miaka 23 ni mingi ๐คฃ๐คฃ๐คฃ