EAC Chief warns Tanzania on regional Integration

EAC Chief warns Tanzania on regional Integration

Nadhani wakati umefika kwa waziri Sitta kuanza kutoa elimu kwa watanzania kuhusu Jumuia ya Afrika mashariki, naona wengi hamuelewi hii kitu ni nini?? Sasa Mnyarwanda atapewaje Ardhi ya Tanzania?? Ebu jaribu wewe nenda kijiji cha Budalabujinga halafu kawaambie WAKUPE ARDHI kama inawezekana. There is nothing like kugawana ardhi kwenye muungano wa afrika mashariki. Mmekuwa waoga mno kwa kuwa hamjishugulishi hata kujua tunaungana kwenye nini. Tatizo kubwa lililotufikisha hapa ni mfumo wetu wa kielimu, tunajiona wanyonge kwenye kila kitu. Sisi wengine tunasema waache hao wana afrika mashariki waje, tutawaonesha kuwa Tanzania is the next Super Power in East Africa, we will take the battle to their markets and they will eat, drink, wear and sleep everything from Tanzania while we get rich

[TUNAPOSEMA ARDHI NI PAMOJA NA KUISHI NA HAWA WATU. HAWA WANANUNUA ARDHI THEN WANAISHI HAPA TATIZO KUBWA NI KWAMBA HAWAJUI KUISHI NA WATU, KENYANS NI UKABILA WA HALI TA JUU KIKUYU ANAKAA NA KIKUYU, LUO NA LUO UKIENDA KWA KAGAME HIVYOHIVYO SASA HUO UTAMADUNI UKILETWA HAPA HAKUTAKALIKA. WAPO WAKENYA PALE ARUSHA WAMENUNUA ARDHI NI WAKOROFI HASWA SASA WAKIJAZANA HAPA TZ TUMEKWISHA ]
 
why did tz join in the first place,maana hapa sielewi kwanini ionekane tz inaburuzwa tu..nadhani tz imeshiriki katika kutengeneza protocol sasa iweje ionekane kama inaburuzwa...kwanini haijaangalia maslahi yake wakati wa kuandaa hizo protocol? tz is not competitive whatsoever,ni kama wale watoto wa matajili wa zamani...watoto wa matajiri zamani walikuwa characterized na ukilaza i.e walikuwa vilaza kwa kuwa home mambo safi watarithi mali tu..laikini dunia ya sasa haipo hivo....tunashuhudia matajiri wanalazimisha watoto wao kusoma maana zile mali si zao wanahimizwa watafute za kwao wenyewe....badala ya kuona EAC kama opportunity tunaiona na tunafanywa kuiona kama challenge huu ndo ukilaza ninaousema...ni hatari kwa dunia ya sasa to "think locally and act locally" ....haitatusaidia sana kukaa oooh ardhi yetu ndo wametolea macho,sisi tunategemea nini kutoka kwao?kumbukeni economical development we are not better than kenya,rwanda,uganda...despite the land and everything we own,,,,,ni aibu kuonekana tunalia tunaonewa wakati wao ilibidi ndo waonekane kulia lia....hii ni kwasababu hatuoni manufaa ya soko kwa kuwa hakuna tunachoenda kuuza huko, free movt of labour...are we educated better enough to compete in the eac labour market?ndo maana tunakuwa reluctant kutekeleza makubaliano tuloyafanya wenyewe....ni aibu

Wee kichefuchefu sisi Watanzania tulikuwepo EAC kabla ya Rwanda na Burundi. Kulikuwa shwari; mbona mnaleta hoja ya vioja wakati nyinyi wachache mnataka EAC kwa nguvu.

Kwa kweli watawala wa sasa wa Tanzania wasipoangali hili suala litachukua maisha ya mtu. Walionywa hawkusikia, sasa wanatendwa wamenyamaza. Tanzania was there before EAC. It decided postpone its independence to accommodate the community. Sasa wanaharamu, wauaji wabaguzi wa kikabila wako madarakani wanataka kumuamrisha kila mtu. Ujinga na upuuzi huu uishie huko huko.

NI WAKATI MUAFAKA KUWAACHIA EAC YAO. Waondoke wakatengeneze jumuiya yao.
 
Nadhani wakati umefika kwa waziri Sitta kuanza kutoa elimu kwa watanzania kuhusu Jumuia ya Afrika mashariki, naona wengi hamuelewi hii kitu ni nini?? Sasa Mnyarwanda atapewaje Ardhi ya Tanzania?? Ebu jaribu wewe nenda kijiji cha Budalabujinga halafu kawaambie WAKUPE ARDHI kama inawezekana. There is nothing like kugawana ardhi kwenye muungano wa afrika mashariki. Mmekuwa waoga mno kwa kuwa hamjishugulishi hata kujua tunaungana kwenye nini. Tatizo kubwa lililotufikisha hapa ni mfumo wetu wa kielimu, tunajiona wanyonge kwenye kila kitu. Sisi wengine tunasema waache hao wana afrika mashariki waje, tutawaonesha kuwa Tanzania is the next Super Power in East Africa, we will take the battle to their markets and they will eat, drink, wear and sleep everything from Tanzania while we get rich

[TUNAPOSEMA ARDHI NI PAMOJA NA KUISHI NA HAWA WATU. HAWA WANANUNUA ARDHI THEN WANAISHI HAPA TATIZO KUBWA NI KWAMBA HAWAJUI KUISHI NA WATU, KENYANS NI UKABILA WA HALI TA JUU KIKUYU ANAKAA NA KIKUYU, LUO NA LUO UKIENDA KWA KAGAME HIVYOHIVYO SASA HUO UTAMADUNI UKILETWA HAPA HAKUTAKALIKA. WAPO WAKENYA PALE ARUSHA WAMENUNUA ARDHI NI WAKOROFI HASWA SASA WAKIJAZANA HAPA TZ TUMEKWISHA ]
We nani kakwambia siku hizi mtu anaishi na mtu mwingine? Kila mtu anaishi na familia yake, mfano pita Mikocheni hakuna nyumba hata moja ambayo haina geti, which means kila mtu anajali mambo yake. Sasa wewe kama unafikiri Jumuia ya Afrika mashariki ni kwa ajili ya URAFIKI unahitaji elimu ya ziada.
 
Wanayo EAC yao wameshajiundia KKK sasa huku TZ wanatafuta nini tena??
 
We nani kakwambia siku hizi mtu anaishi na mtu mwingine? Kila mtu anaishi na familia yake, mfano pita Mikocheni hakuna nyumba hata moja ambayo haina geti, which means kila mtu anajali mambo yake. Sasa wewe kama unafikiri Jumuia ya Afrika mashariki ni kwa ajili ya URAFIKI unahitaji elimu ya ziada.

[Daaah!!TUMEKWISHA, YAANI WEWE KUISHI NI KUKAA NDANI TA NYUMBA?? SIJUI UPELEKWE SHULE GANI UWEZE KUELIMIKA, NDIYO MAANA HUJIELEWI UNACHOCHANGIA HAPA.]
 
UK is a member of Schengen but "partial participant". I think as a country, we should be very clear on what we are not ready at a moment than not saying anything. I am not sure if as a country we are silent on some aspects of this regional integration, BUT I think we have not made it very clear to other partners. And if this has not yet been very clear to other partner countries, then we have not expressed it well.

We should study very well on what we are worried about while others are implementing to have better decisions in future. The Schengen was hardly established by five states before the treaty was adopted by EU. However; the adoption by other states was slow.

Nevertheless; the UK, Ireland and other few countries have hardly taken some parts in the Schengen arrangements by request to cooporate in some aspects. The point over here is that THEY WERE DISCUSSING AND NOT FORCING ONE ANOTHER.
 
Huyu EAC secretary General wa sasa majanga matupu, Wao washaamua kushirikiana waendelee waunde intergaration yao ya Kenya, uganda na rwanda.
Sisi hatutaki kuharakisha shirikisho la kisiasa halitakiwi kwanza, kinachotakiwa tushirikiane kwenye biashara, mambo ya soko moja, sarafu moja nk. Shirikisho la kisiasa na kuingilia sheria za nchi ingine la nini?
Kila nchi ibaki na sheria zake, cha muhimi tunashirikiana kwenye mambo ya msingi tu basi.

Kama EAC ndo uhuni hivi na katibu mkuu mhuni namna hii, Tanzania tuanze kuangalia utaratibu wa kujitoa EAC, EAC kwa sasa ni hatari kwa usalama na mustakabali wa taifa letu.



September 23
21:002013


THE EAST AFRICAN COMMUNITY ( EAC) HAS RAISED CONCERNS OVER TANZANIA’S COMMITMENT TO THE REGIONAL INTEGRATION PROCESS.



EAC Secretary General Dr Richard Sezibera hit out at those dilly-dallying over integration process, saying they were missing the point.

Dr Sezibera said Tanzania has faltered on a number of key issues agreed upon by EAC regional States including the liberation of its current accounts and waiving of work permit fees.

“We don’t have compelling powers over those countries which seem not to be co-operating with the process of regional integration but the EAC treaty provides for the Secretary-General to take a country that is lagging behind to court. But this is a long process,” Sezibera told reporters in Nairobi yesterday.

Long-term goal

“Those still putting barriers to trade and integration are missing the point. We need to integrate much faster,” he added.

Sezibera noted that some people were interested in the benefits of regional integration yet they were not ready to participate in achieving its long-term goal.
“I’m concerned that at the individual and regional level, many actors are interested in plucking the fruits of regional integration rather than growing the tree,” he said, adding that the fundamental aim is to have East Africa’s prosperity by integrating. Sezibera was speaking on the sidelines of the Second Annual Banking and Research conference organised by the Kenya Bankers Association in Nairobi yesterday.

Tanzania’s commitment to regional integration has been under sharp focus since Kenya, Uganda andTanzania agreed to revive the defunct EAC in 1997. Tanzania has been viewed as a reluctant party to the integration process.

It has on several occasions asked for more time to open up its economy to East African counterparts. It is also understood that Tanzania negotiated as a member of the Southern African Development Community, but transferred its allegiance to the EAC after pressure from European Union.
Early this month, Presidents Uhuru, Yoweri Museveni of Uganda and Paul Kagame of Rwanda met in Mombasa to discuss cross-border infrastructure projects without Tanzania’s input.Similarly, Tanzania and Burundi were conspicuously absent at an earlier meeting in June 2013 by the three presidents; Museveni, Kenyatta and Kagame in Entebbe which was dubbed as EAC’s first infrastructure summit.Tanzania’s objections to both land purchases and a common EAC passport in 2009 also raised fears over its government’s commitment to the regional integration efforts.

By JAMES ANYANZWA, The Standard
 
nngu007 Seriously tunamtaka Waziri Sitta ajenge hoja ya kumkataa huyu jamaa kuendelea kuwa SG wa EAC--openly biased fellow! Mbona Juma Mwapachu hakuwa hivi?

Tatizo watanzania tumezoea kubebana na ndo mana tunaogopa ushindani. Waje tu ili akili zetu zipanuke... Suala la ardhi sio sababu ya msingi kwa sababu sasa hivi ardhi ipo lakini wamiliki ni wachache, pia kila mtu anategemea kuajiriwa hakuna mipango ya kujiajiri wakija tutatia akili na kuchangamka zaid.
 
watanganyika walalamishi, na wapenda sana kudhulumu. wao muungano wa usawa hawautaki. kufata mikataba wanayokuabaliana wakiona wao hawapati kikubwa hukiuka.

sisi wazanzibar hucheka sana tunapowaona wamepata wababe wenzao EAC. maana ss wametukalia na kutuonea kila tukijipapatua bado KUBWA JINGA limetushikilia. tuacheni Hebu tupumue
 
Hivi hawa trio si tuliwaambia waendelee tu na ndoa yao ya mkeka!?. Mbona bado wanatufatafata!
 
Kwa taarifa yako wewe uliye ndani ya box ni kuwa uwezo wetu sisi wa uzalishaji kwa teknolojia duni sehemu nzuri kuuza ni nchi ambazo hazijaendelea sana kama Kenya, Uganda, Rwanda, Congo na nyinginezo za jirani. Kutengeneza bidhaa Tanzania ikaingia kwenye soko la Marekani si kazi ndogo. Tunatakiwa kujikita kwenye soko la nchi za hapa hapa jirani. Nchi yetu iko strategic kutumia soko la afrika mashariki na kati na Kenya ndio nchi yenye fursa nyingi.

Tatizo walimu wenu walikuwa wanawafundisha kujibu mitihani tu, hamuendi kujisomea pembeni na sasa dunia ina integrate nyie mmekuwa waoga kwa kuwa hamuwezi kushindana na watu wengine kwenye interview. Bakieni na uoga wenu, mbakie na umaskini wenu

mkuu kwani kufanya biashara na kenya au uganda ni lazima uruhusu wanainchi wa nchi hizo wahamie hapa, au wamiliki ardhi hapa tz, au ni lazima ujiunge na political federation!!!!
 
mkuu kwani kufanya biashara na kenya au uganda ni lazima uruhusu wanainchi wa nchi hizo wahamie hapa, au wamiliki ardhi hapa tz, au ni lazima ujiunge na political federation!!!!

Mkuu kwani jumuia ya afrika mashariki maana yake ni kuwa wananchi wa Kenya na Uganda wanahamia Tanzania na kumiliki ardhi hapa Tanzania. Sheria za Tanzania zinakataza ardhi kumilikiwa na wageni, hadi hapo hiyo sheria itakapofutwa ndio nitapata mashaka kuhusu wao kumiliki. Lakini vitu kama kuondoa vikwazo vya kubiashara na vikwazo vya kusafiri ni mabongolala tu ndio watakao shangilia kwa kuwa hata hizi fursa zilizopo sasa kabla ya jumuia ya afrika mashariki watu hawazitumii zaidi ya kulalamika tu na kukataa jumuia...

Cha ajabu ni kwamba kuna mizungu, miarabu na mihindi kibao inamiliki ardhi ya kufuru hapa Tanzania kinyume cha sheria baada ya kutoa rushwa lakini hakuna mtu anayeongelea, nyie mko busy na wakenya tu. Lazima tupambane na kuwashinda wakenye na sio kuwaogopa, think out of the box
 
aisee naomba 2rejee mikataba iliopitishwa na eac.hi habar ya ardh ipo na n janga kwetu kama tukiruhusu mapema.hati miliki kwanza,vitambulsho vya taifa,na elimu kwa asilimia 75,na miundombinu na sera za ndan kuimarishwa.anaeutaka huo muungano akakaenao huko.
 
mkuu kwani kufanya biashara na kenya au uganda ni lazima uruhusu wanainchi wa nchi hizo wahamie hapa, au wamiliki ardhi hapa tz, au ni lazima ujiunge na political federation!!!!


Hizi shule mnafaulu vipi kwa akili hizi? Kwa ufupi anasema kwasababu sisi tunayo ardhi kubwa,basi tuitumie kikamilifu,tulime tuzilishe nchi majirani. Kwamba soko la mazao yetu ya kilimo lipo,lakini hatufanyi juhudi ya kulima na kuwauzia wenzetu,tunakalia ooh wanataka ardhi yetu! Akili za kipimbi hizi!
 
wavuta bangi hao kaka koba umewasahau?unaona ameishaingiza rwanda,baadaye kagame,kabla haijafika mwisho hii thread watakuwa wametaja na m23.....chuki itawatafuna wenyewe...
jina lako tu limekaa kinyarwanda najua wewe na sezbera wote ni watumwa wa kagame na tanzania tulikosea sana kuruhusu nchi kama rwanda ambazo bado zipo vitan rejea m23 ni kikosi cha kagame cha kuwaua wakongo ili apanue nchi ndogo ya rwanda na kuipata kivu ya kusini na kaskazini hima empire,,,mwambie kagame tunajua bila tanzania hakuna east afrca community so hamuwez kutulazmisha ndoa isiyo na maslahi kwetu wote kenya,rwanda, na uganda hamna ardhi na resource sasa mtagawana nini tanzania si shamba la bibi
 
Soko la ndani linatutosha tuachane na huo muungano wa eac wa mashaka watusi wanataka wajtanue na tusi empre yao kweli mtkila alinena haya tukamzarau tuts empre jengen rwanda na uganda na mkiingia drc tunawachapa
 
Wee kichefuchefu sisi Watanzania tulikuwepo EAC kabla ya Rwanda na Burundi. Kulikuwa shwari; mbona mnaleta hoja ya vioja wakati nyinyi wachache mnataka EAC kwa nguvu.
Kwa kweli watawala wa sasa wa Tanzania wasipoangali hili suala litachukua maisha ya mtu. Walionywa hawkusikia, sasa wanatendwa wamenyamaza. Tanzania was there before EAC. It decided postpone its independence to accommodate the community. Sasa wanaharamu, wauaji wabaguzi wa kikabila wako madarakani wanataka kumuamrisha kila mtu. Ujinga na upuuzi huu uishie huko huko.

NI WAKATI MUAFAKA KUWAACHIA EAC YAO. Waondoke wakatengeneze jumuiya yao.

Acha kuwaza kama mbumbumbu,ukongwe wetu ktk EAC unatusaidia nini kama hatuna maamuzi kama nchi nini tunataka ktk ushirikiano wa EAC?

Naamini ukimwuliza JK ama SS ni nini mpango mkakati wa Tanzania ktk EAC ujibiwa majibu ya ajabu kabisa! Sasa badala ya sisi kujadili watawala wetu kwanini wameshindwa,na sisi tunatumbukia ktk kundi la kushindwa!

Nimekua nawaambia watu wa CDM,na hasa Mawaziri kivuli wa sekta husika,hizj ni ndizo fursa muhimu kujitangaza mngekua watawala mgefanya nini Tanzania kufaidika na ushirikiano wa EAC. Juzi juzi hapa Muhongo katoa kauli ya dharau kuhusu uwekezaji wa wazawa ktk sekta ya mafuta na gesi,sikusikia kauli yoyote toka CDM! Mnata Mungu awape nini tena?!
 
Back
Top Bottom