Zanzibar-Nyamwezi
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 1,244
- 766
Kumbe bado wanatuhitaji? Sisi hatutaki EAC. Tanzania get them out please!
Nadhani wakati umefika kwa waziri Sitta kuanza kutoa elimu kwa watanzania kuhusu Jumuia ya Afrika mashariki, naona wengi hamuelewi hii kitu ni nini?? Sasa Mnyarwanda atapewaje Ardhi ya Tanzania?? Ebu jaribu wewe nenda kijiji cha Budalabujinga halafu kawaambie WAKUPE ARDHI kama inawezekana. There is nothing like kugawana ardhi kwenye muungano wa afrika mashariki. Mmekuwa waoga mno kwa kuwa hamjishugulishi hata kujua tunaungana kwenye nini. Tatizo kubwa lililotufikisha hapa ni mfumo wetu wa kielimu, tunajiona wanyonge kwenye kila kitu. Sisi wengine tunasema waache hao wana afrika mashariki waje, tutawaonesha kuwa Tanzania is the next Super Power in East Africa, we will take the battle to their markets and they will eat, drink, wear and sleep everything from Tanzania while we get rich
[TUNAPOSEMA ARDHI NI PAMOJA NA KUISHI NA HAWA WATU. HAWA WANANUNUA ARDHI THEN WANAISHI HAPA TATIZO KUBWA NI KWAMBA HAWAJUI KUISHI NA WATU, KENYANS NI UKABILA WA HALI TA JUU KIKUYU ANAKAA NA KIKUYU, LUO NA LUO UKIENDA KWA KAGAME HIVYOHIVYO SASA HUO UTAMADUNI UKILETWA HAPA HAKUTAKALIKA. WAPO WAKENYA PALE ARUSHA WAMENUNUA ARDHI NI WAKOROFI HASWA SASA WAKIJAZANA HAPA TZ TUMEKWISHA ]
why did tz join in the first place,maana hapa sielewi kwanini ionekane tz inaburuzwa tu..nadhani tz imeshiriki katika kutengeneza protocol sasa iweje ionekane kama inaburuzwa...kwanini haijaangalia maslahi yake wakati wa kuandaa hizo protocol? tz is not competitive whatsoever,ni kama wale watoto wa matajili wa zamani...watoto wa matajiri zamani walikuwa characterized na ukilaza i.e walikuwa vilaza kwa kuwa home mambo safi watarithi mali tu..laikini dunia ya sasa haipo hivo....tunashuhudia matajiri wanalazimisha watoto wao kusoma maana zile mali si zao wanahimizwa watafute za kwao wenyewe....badala ya kuona EAC kama opportunity tunaiona na tunafanywa kuiona kama challenge huu ndo ukilaza ninaousema...ni hatari kwa dunia ya sasa to "think locally and act locally" ....haitatusaidia sana kukaa oooh ardhi yetu ndo wametolea macho,sisi tunategemea nini kutoka kwao?kumbukeni economical development we are not better than kenya,rwanda,uganda...despite the land and everything we own,,,,,ni aibu kuonekana tunalia tunaonewa wakati wao ilibidi ndo waonekane kulia lia....hii ni kwasababu hatuoni manufaa ya soko kwa kuwa hakuna tunachoenda kuuza huko, free movt of labour...are we educated better enough to compete in the eac labour market?ndo maana tunakuwa reluctant kutekeleza makubaliano tuloyafanya wenyewe....ni aibu
We nani kakwambia siku hizi mtu anaishi na mtu mwingine? Kila mtu anaishi na familia yake, mfano pita Mikocheni hakuna nyumba hata moja ambayo haina geti, which means kila mtu anajali mambo yake. Sasa wewe kama unafikiri Jumuia ya Afrika mashariki ni kwa ajili ya URAFIKI unahitaji elimu ya ziada.Nadhani wakati umefika kwa waziri Sitta kuanza kutoa elimu kwa watanzania kuhusu Jumuia ya Afrika mashariki, naona wengi hamuelewi hii kitu ni nini?? Sasa Mnyarwanda atapewaje Ardhi ya Tanzania?? Ebu jaribu wewe nenda kijiji cha Budalabujinga halafu kawaambie WAKUPE ARDHI kama inawezekana. There is nothing like kugawana ardhi kwenye muungano wa afrika mashariki. Mmekuwa waoga mno kwa kuwa hamjishugulishi hata kujua tunaungana kwenye nini. Tatizo kubwa lililotufikisha hapa ni mfumo wetu wa kielimu, tunajiona wanyonge kwenye kila kitu. Sisi wengine tunasema waache hao wana afrika mashariki waje, tutawaonesha kuwa Tanzania is the next Super Power in East Africa, we will take the battle to their markets and they will eat, drink, wear and sleep everything from Tanzania while we get rich
[TUNAPOSEMA ARDHI NI PAMOJA NA KUISHI NA HAWA WATU. HAWA WANANUNUA ARDHI THEN WANAISHI HAPA TATIZO KUBWA NI KWAMBA HAWAJUI KUISHI NA WATU, KENYANS NI UKABILA WA HALI TA JUU KIKUYU ANAKAA NA KIKUYU, LUO NA LUO UKIENDA KWA KAGAME HIVYOHIVYO SASA HUO UTAMADUNI UKILETWA HAPA HAKUTAKALIKA. WAPO WAKENYA PALE ARUSHA WAMENUNUA ARDHI NI WAKOROFI HASWA SASA WAKIJAZANA HAPA TZ TUMEKWISHA ]
We nani kakwambia siku hizi mtu anaishi na mtu mwingine? Kila mtu anaishi na familia yake, mfano pita Mikocheni hakuna nyumba hata moja ambayo haina geti, which means kila mtu anajali mambo yake. Sasa wewe kama unafikiri Jumuia ya Afrika mashariki ni kwa ajili ya URAFIKI unahitaji elimu ya ziada.
[Daaah!!TUMEKWISHA, YAANI WEWE KUISHI NI KUKAA NDANI TA NYUMBA?? SIJUI UPELEKWE SHULE GANI UWEZE KUELIMIKA, NDIYO MAANA HUJIELEWI UNACHOCHANGIA HAPA.]
Ha ha ha! Hilo jibu limenifurahisha mkuu!..Tanzania pia si tumetekeleza yote isipokuwa ardhi?
September 23
21:002013
THE EAST AFRICAN COMMUNITY ( EAC) HAS RAISED CONCERNS OVER TANZANIAS COMMITMENT TO THE REGIONAL INTEGRATION PROCESS.
![]()
EAC Secretary General Dr Richard Sezibera hit out at those dilly-dallying over integration process, saying they were missing the point.
Dr Sezibera said Tanzania has faltered on a number of key issues agreed upon by EAC regional States including the liberation of its current accounts and waiving of work permit fees.
We dont have compelling powers over those countries which seem not to be co-operating with the process of regional integration but the EAC treaty provides for the Secretary-General to take a country that is lagging behind to court. But this is a long process, Sezibera told reporters in Nairobi yesterday.
Long-term goal
Those still putting barriers to trade and integration are missing the point. We need to integrate much faster, he added.
Sezibera noted that some people were interested in the benefits of regional integration yet they were not ready to participate in achieving its long-term goal.Im concerned that at the individual and regional level, many actors are interested in plucking the fruits of regional integration rather than growing the tree, he said, adding that the fundamental aim is to have East Africas prosperity by integrating. Sezibera was speaking on the sidelines of the Second Annual Banking and Research conference organised by the Kenya Bankers Association in Nairobi yesterday.
Tanzanias commitment to regional integration has been under sharp focus since Kenya, Uganda andTanzania agreed to revive the defunct EAC in 1997. Tanzania has been viewed as a reluctant party to the integration process.
It has on several occasions asked for more time to open up its economy to East African counterparts. It is also understood that Tanzania negotiated as a member of the Southern African Development Community, but transferred its allegiance to the EAC after pressure from European Union.Early this month, Presidents Uhuru, Yoweri Museveni of Uganda and Paul Kagame of Rwanda met in Mombasa to discuss cross-border infrastructure projects without Tanzanias input.Similarly, Tanzania and Burundi were conspicuously absent at an earlier meeting in June 2013 by the three presidents; Museveni, Kenyatta and Kagame in Entebbe which was dubbed as EACs first infrastructure summit.Tanzanias objections to both land purchases and a common EAC passport in 2009 also raised fears over its governments commitment to the regional integration efforts.
By JAMES ANYANZWA, The Standard
nngu007 Seriously tunamtaka Waziri Sitta ajenge hoja ya kumkataa huyu jamaa kuendelea kuwa SG wa EAC--openly biased fellow! Mbona Juma Mwapachu hakuwa hivi?
Kwa taarifa yako wewe uliye ndani ya box ni kuwa uwezo wetu sisi wa uzalishaji kwa teknolojia duni sehemu nzuri kuuza ni nchi ambazo hazijaendelea sana kama Kenya, Uganda, Rwanda, Congo na nyinginezo za jirani. Kutengeneza bidhaa Tanzania ikaingia kwenye soko la Marekani si kazi ndogo. Tunatakiwa kujikita kwenye soko la nchi za hapa hapa jirani. Nchi yetu iko strategic kutumia soko la afrika mashariki na kati na Kenya ndio nchi yenye fursa nyingi.
Tatizo walimu wenu walikuwa wanawafundisha kujibu mitihani tu, hamuendi kujisomea pembeni na sasa dunia ina integrate nyie mmekuwa waoga kwa kuwa hamuwezi kushindana na watu wengine kwenye interview. Bakieni na uoga wenu, mbakie na umaskini wenu
Say no to Tanzania's land
mkuu kwani kufanya biashara na kenya au uganda ni lazima uruhusu wanainchi wa nchi hizo wahamie hapa, au wamiliki ardhi hapa tz, au ni lazima ujiunge na political federation!!!!
mkuu kwani kufanya biashara na kenya au uganda ni lazima uruhusu wanainchi wa nchi hizo wahamie hapa, au wamiliki ardhi hapa tz, au ni lazima ujiunge na political federation!!!!
jina lako tu limekaa kinyarwanda najua wewe na sezbera wote ni watumwa wa kagame na tanzania tulikosea sana kuruhusu nchi kama rwanda ambazo bado zipo vitan rejea m23 ni kikosi cha kagame cha kuwaua wakongo ili apanue nchi ndogo ya rwanda na kuipata kivu ya kusini na kaskazini hima empire,,,mwambie kagame tunajua bila tanzania hakuna east afrca community so hamuwez kutulazmisha ndoa isiyo na maslahi kwetu wote kenya,rwanda, na uganda hamna ardhi na resource sasa mtagawana nini tanzania si shamba la bibiwavuta bangi hao kaka koba umewasahau?unaona ameishaingiza rwanda,baadaye kagame,kabla haijafika mwisho hii thread watakuwa wametaja na m23.....chuki itawatafuna wenyewe...
Wee kichefuchefu sisi Watanzania tulikuwepo EAC kabla ya Rwanda na Burundi. Kulikuwa shwari; mbona mnaleta hoja ya vioja wakati nyinyi wachache mnataka EAC kwa nguvu.
Kwa kweli watawala wa sasa wa Tanzania wasipoangali hili suala litachukua maisha ya mtu. Walionywa hawkusikia, sasa wanatendwa wamenyamaza. Tanzania was there before EAC. It decided postpone its independence to accommodate the community. Sasa wanaharamu, wauaji wabaguzi wa kikabila wako madarakani wanataka kumuamrisha kila mtu. Ujinga na upuuzi huu uishie huko huko.
NI WAKATI MUAFAKA KUWAACHIA EAC YAO. Waondoke wakatengeneze jumuiya yao.