EAC Chief warns Tanzania on regional Integration

EAC Chief warns Tanzania on regional Integration

why did tz join in the first place,maana hapa sielewi kwanini ionekane tz inaburuzwa tu..nadhani tz imeshiriki katika kutengeneza protocol sasa iweje ionekane kama inaburuzwa...kwanini haijaangalia maslahi yake wakati wa kuandaa hizo protocol? tz is not competitive whatsoever,ni kama wale watoto wa matajili wa zamani...watoto wa matajiri zamani walikuwa characterized na ukilaza i.e walikuwa vilaza kwa kuwa home mambo safi watarithi mali tu..laikini dunia ya sasa haipo hivo....tunashuhudia matajiri wanalazimisha watoto wao kusoma maana zile mali si zao wanahimizwa watafute za kwao wenyewe....badala ya kuona EAC kama opportunity tunaiona na tunafanywa kuiona kama challenge huu ndo ukilaza ninaousema...ni hatari kwa dunia ya sasa to "think locally and act locally" ....haitatusaidia sana kukaa oooh ardhi yetu ndo wametolea macho,sisi tunategemea nini kutoka kwao?kumbukeni economical development we are not better than kenya,rwanda,uganda...despite the land and everything we own,,,,,ni aibu kuonekana tunalia tunaonewa wakati wao ilibidi ndo waonekane kulia lia....hii ni kwasababu hatuoni manufaa ya soko kwa kuwa hakuna tunachoenda kuuza huko, free movt of labour...are we educated better enough to compete in the eac labour market?ndo maana tunakuwa reluctant kutekeleza makubaliano tuloyafanya wenyewe....ni aibu

Acha kwasemea watz, wakati ww si miongoni mwao...,sema straight tujue ww ni wa wapi. Lkn ukijichanganya tunashindwa kuelewa aidha ni mtz unatetea ujinga wa wanyarwanda na Mseng...ebera wao au mnyarwanda.
 
Hizi shule mnafaulu vipi kwa akili hizi? Kwa ufupi anasema kwasababu sisi tunayo ardhi kubwa,basi tuitumie kikamilifu,tulime tuzilishe nchi majirani. Kwamba soko la mazao yetu ya kilimo lipo,lakini hatufanyi juhudi ya kulima na kuwauzia wenzetu,tunakalia ooh wanataka ardhi yetu! Akili za kipimbi hizi!

Nakubali Tanzania inayo 'comparative advantage' uzalishaji kilimo vidi partner states. Tatizo mindset yetu, tunaona jumuiya ni matatizo tu badala ya fursa ya kuzalisha zaidi na kuuza soko la jumuiya. Siyo siri Tanzania ndio mzalishaji mkuu wa mpunga EA, ila trade barrier zinamzuia kuuza mchele Soko la EA na kuishia kudhulumiwa na wajanja/madalali wa manzese.
 
Hizi shule mnafaulu vipi kwa akili hizi? Kwa ufupi anasema kwasababu sisi tunayo ardhi kubwa,basi tuitumie kikamilifu,tulime tuzilishe nchi majirani. Kwamba soko la mazao yetu ya kilimo lipo,lakini hatufanyi juhudi ya kulima na kuwauzia wenzetu,tunakalia ooh wanataka ardhi yetu! Akili za kipimbi hizi!
kwanza wewe siyo mtanzania na
wewe ndiyo ignorant kwelikweli hivi huna data kwamba tanzania inanazalisha chakula na mazao ya kutosha na kuuzia nchi jirani zikiwepo za east africa!!!juzi juzi hujasikia kenya inalalamika tz iligoma kuizia mahindi badala yake tukauzia uganda sasa wanaolima hicho chakula ni wahamiaji, tz siyo shamba la kulishia ngombe wenu wa ankole unasikia!!!!
 
UK inatekeleza makubaliano yote ya EU isipokuwa la common currency. Usiwe mwepesi wa kupindisha ukweli.
Kinatekeleza yale tu ambayo yana faida kwake k.m iliruhusu wafanyakazi kutoka nchi nyingine ambapo bado nchi nyingine zinasuasua. Na swala la sarafu imeweka ngumu kabisa. Na EU haijakufa wala Barosso hajaitishia. Ushirikiano kati ya zaidi ya nchi mbili ni multi speed na si uni speed. Tushirikiane yale tu tunayokubaliana nayo na tkubaliane kutofautiana pale tusipoona hayana tija kwetu. Naamini hata hao wanaokwenda speed hawajakubaliana mambo mengine pia!
 
Kuna sehemu yoyote kwenye hiyo article umesikia nchi ya rwanda ikisema hayo? Huyu ameongea kama katibu mkuu wa EAC. Na Tanzania ilimpigia kura. Kwa hiyo usitoe povu hapa. Ongea point..

Hata signature yako inaonyesha ulivyo hovyo kweli! Hivi kwel ww ni mtz? I doubt ur nt! Ww ni pandikizi kweli! Nasema haya kwasababu kila mzalendo wa nchi, hua linapokuja suala la interest ya nchi yake, ni sharti aitetee nchi yake kwa dhati kbisa! Au english inakupiga chenga nn p..mba..fu; kwamba hukuelewa alichokisema huyo Sezibera? Unapohoji suala la Rwanda limeingiaje hapo, jiulize aliyetoa haya matamko ni mtu wa wapi, statusz ya nchi yake na TZ kimahusiano kwasasa yapoje na nini kinaendelea hv sasa katika EAC dhidi ya nchi yangu Mama Tanzania? Na je ametolea hayo matamko wapi na mbele ya nani!!
Ukishajijibu hayo maswali, sasa utaona ni kwa vp suala Rwanda limeingizwa katika thread hii...tumia tu japo kaakili kidogo weka pembeni kwa md matumizi ya sembe na ma**s*buri..ili uweze kuelewa wadau tuna maanisha nn!!
 
kwanza wewe siyo mtanzania na
wewe ndiyo ignorant kwelikweli hivi huna data kwamba tanzania inanazalisha chakula na mazao ya kutosha na kuuzia nchi jirani zikiwepo za east africa!!!juzi juzi hujasikia kenya inalalamika tz iligoma kuizia mahindi badala yake tukauzia uganda sasa wanaolima hicho chakula ni wahamiaji, tz siyo shamba la kulishia ngombe wenu wa ankole unasikia!!!!

Sijui kama unaelewa nini nazungumzia hapa,mimj sitaki huu unyonge na kukata tamaa mpaka sasa tumefikia hatua ya kuonekana matahira!

Tanzania tuna ardhi kubwa na inayo faa kwa kilimo mpaka cha umwagiliaji! Lakini hakuna mipango yoyote ya maana kuwawezesha wakulima kulima kisasa na kuwatafutia masoko ya uhakika ndani,kwa majirani zetu na nje!

Nchi za DRC,Burundi na Rwanda ni soko zuri la mchele wetu,lakini hatulitoshelezi. Kenya ondoa mahindi,tungeweza lima kilimo cha mboga mboga,nyanya,vitunguu nk,wakulima wetu wakatengenezewa utaratibu mzuri,tukafaidika sana. Hakuna kitu,vitunguu pale Mangola Karatu wanafaidika madalali badala ya wakulima na nchi!
 
UK inatekeleza makubaliano yote ya EU isipokuwa la common currency. Usiwe mwepesi wa kupindisha ukweli.

Ni kweli kwenye JF watu wana tabaia ya kupindisha ukweli au kwa makusudi au kwa kutojua... waulizeni watu wanaoishi kwenye nchi za jumuiya ya Ulaya na ambao wanafuatilia masuala ya European geopolitics watawaelewesha vizuri ushiriki na umuhimu wa UK katika EU!!!

UK haija- adopt common currency na haikusaini Schengen treaty by the way hauwezi ukalinganisha EAC na EU... ni sawa na kulinganisha KIFO na USINGIZI...
 
Wewe umeshafika?
Ivi mumeo alikuoa kwa lazima?
Sasa sisi tumesema we don't want you na upuuzi wenu go to hell
mkaendelee kuchinjana as usual.

Wewe na nani? Ungejua uko peke yako, ungefunga domo lako. Tulia ungalie sinema ikichezwa. you are a non-player in this game. Wewe tafuta mboga ya nyumbani ukae kimya. Eti "sisi"!!!! Nyambafu
 
Ruzibiza,

..mkataba wa EAC unaeleza kwamba masuala ya ARDHI na free movement yataamuliwa kulingana na sheria za nchi wanachama.

..Tanzania haijakiuka mkataba wa EAC kwa kuendelea kusisitiza kwamba ardhi yake siyo suala la EAC. Dr.Sezibera anaelewa hilo lakini ameamua kupotosha hao waandishi wa habari.

..Kwa mwana EAC anayehitaji ardhi hapa Tanzania anapaswa kuwasilisha maombi kwa kuzingatia sheria zetu za uwekezaji. Mahali pazuri pa kuanzia ni Tanzania Investment Center[TIC].

..Kwa upande wangu naamini utaratibu huo ni mzuri. Tunachohitaji huku Tanzania ni wawekezaji wakubwa-wakubwa na siyo wakulima wachumia tumbo, au wafugaji wanaohama-hama.

..Kama kuna wa-Tz mafisadi ambao wanahodhi ardhi kubwa bila kuitumia basi hayo ni mapungufu ktk utekelezaji wa sheria zetu za ardhi. U do not solve that problem kwa kufungua milango kwa squatters toka Kenya, Rwanda, au Burundi.


Ulukolokwitanga,

..binafsi sidhani kama wa-Tanzania wanaogopa ushindani.

..wanachotaka wa-Tanzania ni a fair competition.

..viongozi wetu wanapo-negotiate mikataba kama hii ya EAC hawawafikirii wananchi wa kawaida.

..mfano mdogo ni suala la lugha ya rasmi ya mawasiliano ya EAC. Viongozi wetu wame-negotiate kwamba Kiingereza ndiyo kiwe lugha rasmi, not Kiingereza na Kiswahili.

..Sasa wengine wanaweza kuona kwamba hilo siyo tatizo. Lakini mimi naliona ni tatizo kubwa kwasababu baada ya uamuzi huo, viongozi wetu hawakuja huku nyumbani na kubadilisha mfumo wetu wa elimu ili tuweze kutoa wahitimu wanaoweza ku-function ktk jumuiya ambayo Kiingereza ndiyo lugha rasmi.

..Suala lingine ni mazingira ya uzalishaji hapa Tanzania. Kuna kipindi cement toka China na Pakistan zilikuwa bei nafuu kuliko cement iliyozalishwa Tanzania. WHY? Serikali imeshindwa kuweka mazingira yatakayowezesha bidhaa zetu kuuzika hata kwa soko letu la ndani, sembuse la East African community.

..Binafsi nadhani, as a country, tujielekeze ktk kuwa na mfumo wa elimu ambao ni bora kuliko wa wenzetu. Also lets work towards having the he best trained and most skilled labor force in our region.

..Lingine la kufanya ni kuhakikisha kwamba gharama za uzalishaji hapa Tanzania zinakuwa chini kulinganisha na mataifa mengine ya Afrika Mashariki. Sekta za umeme, maji, barabara, reli, etc zinatakiwa ziangaliwe upya.

..All in all, reservations zangu about EAC are not about me, nazingatia zaidi maslahi ya Mtanzania wa kawaida.

cc Bukyanagandi, Geza Ulole, Mchambuzi, Nguruvi3, Ritz
 
Hata signature yako inaonyesha ulivyo hovyo kweli! Hivi kwel ww ni mtz? I doubt ur nt! Ww ni pandikizi kweli! Nasema haya kwasababu kila mzalendo wa nchi, hua linapokuja suala la interest ya nchi yake, ni sharti aitetee nchi yake kwa dhati kbisa! Au english inakupiga chenga nn p..mba..fu; kwamba hukuelewa alichokisema huyo Sezibera? Unapohoji suala la Rwanda limeingiaje hapo, jiulize aliyetoa haya matamko ni mtu wa wapi, statusz ya nchi yake na TZ kimahusiano kwasasa yapoje na nini kinaendelea hv sasa katika EAC dhidi ya nchi yangu Mama Tanzania? Na je ametolea hayo matamko wapi na mbele ya nani!!
Ukishajijibu hayo maswali, sasa utaona ni kwa vp suala Rwanda limeingizwa katika thread hii...tumia tu japo kaakili kidogo weka pembeni kwa md matumizi ya sembe na ma**s*buri..ili uweze kuelewa wadau tuna maanisha nn!!

We m.s.e.n.ge kweli. Umeongea pumba nyiiingi hamna point. English yangu kwa taarifa yako wewe na ukoo wako hamuwezi kuifikia hata siku moja. Hivi wewe duwanzi kwa nini hamjiondoi kwenye hii EAC kama mnaona haiwafai! Kuna aliyewashikia bastola kichwani mjiunge? Ondokeni muone kama hamtarudi mnakimbia mkishaona nchi wanachama wanapaa kimaendeleo wakati nyie mkiliwa na hao wachina na wahindi. Li nchi likubwa hata halina ndege ya taifa? Failure state kabisa. Aibu kubwa.
 
Kwa sababu kama hizi za kutudharau mara kwa mara ndio maana safari hii tunawaonyesha kiburi halisi cha Mtanzania--ardhi hatutoi, kuingia kiubwete ndani ya nchi yetu hakuna na zaidi ya hayo, hatutoki katika EAC na kutufukuza hawana ubavu!!


Sasa unataka tuonekane kama vile sisi ni maskini jeuri tu!! So far sijaona mtu anayekuja na facts hapa zaidi ya kulalama tu. Kama yametushinda tuamue na tutimekie SADC kwetu wanakotupenda kama Mourino alivyofanya..............!!
 
We m.s.e.n.ge kweli. Umeongea pumba nyiiingi hamna point. English yangu kwa taarifa yako wewe na ukoo wako hamuwezi kuifikia hata siku moja. Hivi wewe duwanzi kwa nini hamjiondoi kwenye hii EAC kama mnaona haiwafai! Kuna aliyewashikia bastola kichwani mjiunge? Ondokeni muone kama hamtarudi mnakimbia mkishaona nchi wanachama wanapaa kimaendeleo wakati nyie mkiliwa na hao wachina na wahindi. Li nchi likubwa hata halina ndege ya taifa? Failure state kabisa. Aibu kubwa.

..yaani unatukana matusi makubwa-makubwa namna hii huku umeweka bendera ya nchi yako??!!

..hatutuko ktk EAC, tunasubiri Dr.Sezibera atufukuze.
 
..yaani unatukana matusi makubwa-makubwa namna hii huku umeweka bendera ya nchi yako??!!

..hatutuko ktk EAC, tunasubiri Dr.Sezibera atufukuze.

Sina ugomvi na watanzania. Nampasha huyu f.a.l.a ambae hajui akiongeacho anabwabwaja tu. Na kutokuwa na ndege sio tusi bali ni ukweli halisi. Hivi nikuulize kwa nini na utajiri wenu wote huo mnaojivunia hamna ndege? Naomba unijibu.
 
Tanzania is a sovereign state with total allegiance to the wishes of its people. Nobody has any right whatsoever to push us into anything. It is our fundamental entitlement to give a careful consideration of the integration proposal, the motives behind it and the potential benefits and risks before we accept it. I for one, am completely against the political federation idea. If any Tanzanian politician wants my vote in 2015, this is my price: thwart the EAC federation nonsense.
 
Sina ugomvi na watanzania. Nampasha huyu f.a.l.a ambae hajui akiongeacho anabwabwaja tu. Na kutokuwa na ndege sio tusi bali ni ukweli halisi. Hivi nikuulize kwa nini na utajiri wenu wote huo mnaojivunia hamna ndege? Naomba unijibu.

Wewe una ndege ipi?
 
Sina ugomvi na watanzania. Nampasha huyu f.a.l.a ambae hajui akiongeacho anabwabwaja tu. Na kutokuwa na ndege sio tusi bali ni ukweli halisi. Hivi nikuulize kwa nini na utajiri wenu wote huo mnaojivunia hamna ndege? Naomba unijibu.

..I don't think Tanzania should have her own national airline carrier.

..It would make more sense to me kama tukiwa na kampuni kubwa ya taifa ya kuchimba dhahabu yetu, chuma chetu, makaa yetu, etc. That is the direction I think Tanzania should take.

..Kwenye sekta ya usafirishaji ungekuwa na hoja zaidi kuuliza kwanini Tanzania Railways Corporation, na Tazara, hazifanyi kazi.

..Kwa kifupi Tanzania tuna uongozi mbaya. Rwanda mkipata uongozi kama wetu u will be worse than Somalia.

NB:

..wanaotuangusha ni ndugu zetu wanaoendelea kuichagua CCM. siyo kwamba wanaiangusha Tanzania tu, ila hata eneo zima la Afrika Mashariki na maziwa makuu.
 
Sisi (Rwanda) tunazo 7 sasa hivi. Na sio mtumba. Mpyaaaa!!! kutoka kiwandani. Njooni tuwafundishe how to run an airline.

Hongera, kumbe nawe pia ni mmiliki wa hizo ndege zinazosemekana kuwa ni za Rwanda. Una hisa ngapi? Ushapata gawio la kiasi gani hadi sasa kutoka kwenye hizo ndege "zenu"?
 
Wewe na nani? Ungejua uko peke yako, ungefunga domo lako. Tulia ungalie sinema ikichezwa. you are a non-player in this game. Wewe tafuta mboga ya nyumbani ukae kimya. Eti "sisi"!!!! Nyambafu

Hili jibu linakuhusu pia katika hoja yako kuwa eti mna ndege? Ulihusikaje katika kununua hizo ndege? Hujioni pia kuwa wewe ni "non-player" katika hilo "game" la kumiliki ndege? Wenye ndege zao wanakula bata, wewe unabwatuka hapa "tuna ndege saba!"
 
We m.s.e.n.ge kweli. Umeongea pumba nyiiingi hamna point. English yangu kwa taarifa yako wewe na ukoo wako hamuwezi kuifikia hata siku moja. Hivi wewe duwanzi kwa nini hamjiondoi kwenye hii EAC kama mnaona haiwafai! Kuna aliyewashikia bastola kichwani mjiunge? Ondokeni muone kama hamtarudi mnakimbia mkishaona nchi wanachama wanapaa kimaendeleo wakati nyie mkiliwa na hao wachina na wahindi. Li nchi likubwa hata halina ndege ya taifa? Failure state kabisa. Aibu kubwa.

Tanzania haidhubutu kujitoa. Hii ya oh tutajitoa tuelekeze nguvu SADC danganya toto tu ,mbona tumeshapigwa stop/ mkome na wafadhili wakuu siku nyingi.
 
Back
Top Bottom