EAC Chief warns Tanzania on regional Integration

EAC Chief warns Tanzania on regional Integration

Sikubaliani hata kidogo na ugawaji wa ardhi yetu.Hapa tulipo tuna matatizo lundo ya kuletewa the so called wawekezaji ambao wamefanya watanzania wakawauda kunyang'anywa ardhi na kupewa wageni.Hebu fikiria Wakenya,Warundi,wanyarwanda,waganda waje waingie waanze kupewa ardhi hivi mwananchi wa kawaida ataweza kumudu?Tusikimbilie kwenye moto,mpaka sasa sijaona umuhimu wa hiyo EAC.Hapa tulipo ajira za vijana ni mshikemshike na kwa sasa waajiri wengi wanaajiri wageni na kuwaacha wazawa kwa kigezo cha Lugha.Kwa sasa bado watanzania hawako tayari tunakokimbilia kuna nini?Tuna tatizo la Muungano bado haujatatuliwa tunataka kuingia kwenye maafa mengine?Hakuna jipya EAC zaidi ya ARDHI.Watanzania tuseme HAPANA kwenye masuala ya ardhi yetu.Pamoja na kuwa na ombwe la uongozi lakini bado raslimali ardhi isiwe ndani ya EAC.
 
Sina wasi wasi na hawa mende dawa yao inachemka.
 
..Tanzania inasubiri nini kumtimua Dr.Seziraba?..hivi kweli Dr.Seziraba/Rwanda inaweza kuituhumu Tanzania kwamba ktk EAC tunachuma tusichopanda?..kwani Rwanda wana mchango gani ktk EAC mpaka wawe na kiburi na dharau kiasi hiki kwa Tanzania?
Mkuu JokaKuu zingekuwa enzi za Kambarage jamaa huyo asingetia mguu tena Arusha/Tanzania, kwa mawazo yao wanachukulia JK kuwa mpole na muhungwana kama ni dalili za kuwaogopa vile, which's totally false. Admin ya Rwanda na wapambe/wateule wao wana mambo ya chini chini sana - raia wengi Tanzania walionya kuhusu kuruhusu Rwanda kujiunga na jumuhia, lakini Mseveni ndio akawapigia debe PK (Rwanda) 4 a reason, kubwa ikiwa ni kumsogeza karibu comrade-in-arm i.e like mind mwezake waendeleze ndoto zao za SIRI - yaani mikakati yao ya siku nyingi tangu wakiwa kwenye vita vya misituni (Luwero Triangle huko Uganda), haya tunayo yashuhudia kwenye Jumuhia siku za hivi karibuni si ya bahati mbaya, yanakuwa instigated na hao wawili. Mh.Kenyatta kutokana na Umri wake kuwa mdogo ukilinganisha na wakina M7 na PK ndio maaana wanamuingiza kwenye mkenge taratibu taratibu bila ya yeye kulitambua hilo, wakisha mlainisha na kumsoma vizuri watangehuzia kibao - jamaa hawa wako highly unpredictable, oh yes M7 na PK waliwahi kugehukana huko DRC wakapigana vita kwa muda, kama wanafikia hatua ya kugehukana wao kwa wao, itakuwa mtu baki? Zingekuwa enzi za mzee Kibaki wasingeweza kutamba kama wanavyo tamba hivi sasa, wanaendelea kuvunja kanuni za jumuhia with impunity hawajali ma azimio yaliyo wahai kufikiwa kwenye jumuhia, wao wanaleta mapendekezo mbadala ya ajabu ajabu mfano fast tracking Political .... hii ina umuhimu gani kwa hivi sasa? Mawazo yao yote yako kwenye kutaka kutawala Africa Mashariki na kuleta vurugu walizo zoea, hawana jema lolote kwenye jumuhia yetu- Majivuno tu. Hivi Seziraba anataka kutueleza nini anaposema Tanzania tunataka kuchuma tusichopanda!! Rwanda imewahi kupanda kitu gani cha maana katika ustawi wa EA zaidi ya kufanya member countries kutoelewane, juzi juzi tu alimwachia mwenzake Njoroge aiseme Tanzania kuhusu wahamiaji haramu kutoka Rwanda as if Raia wa nchi nyingine hawakuwa affected na zoezi hilo! Always wako self centered na kijifanya wana majibu ya kila tatizo ndani ya Jumuhia. Tuwe wakweli hapa tangu Seziraba akabidhiwe cheo hicho kuna mambo mengi yamefanyika under his watch ni as if amakuja na mikakati ya aina fulani chukulia mifano ifuatayo: Rwanda kushurtisha baadhi ya members wasusie vikao ili walazimishe vikao viwe vina rotate kwenye miji ya members countries,kitu ambacho hakikuwahi kupendekezwa siku za nyuma, kuingia Rwanda tu ndio kelele zikahanza hawataki vikao vifyanike Arusha muda wote, si hilo tu waliwahi kuja na a wild idea eti makao makuu yahamie Nairobi!! Hivi Rwanda ina bifu gani na Nchi yetu iliyo wahi kuwahifadhi Maelfu ya Wanyarwanda ikatumia resources zake kuwasomesha baadhi yao mpaka wakahitimu vyuo vikuu, watu hawa hawana shukrani.
 
Kwako wewe mtanzania halisi ni Kinana ambaye Ana sura ya kisomal, rangi ya kisomali na hata nywele za kisomali. Ujinga na ubaguzi umekujaa...

Nimegundua mijitu mingi inayopinga integration kwa kisingizio cha ardhi haina haya ardhi robo heka. Mingi ni misela tu inakaa kwenye nyumba ya chumba kimoja Sinza au Mbagala na haina uwezo wa kununua hata robo eka. Sasa huna hata robo eka lakini unadai wakenya watachukua ardhi yetu, yako wewe na nani? Ardhi kwa sasa ni mali ya mtu binafsi au serikali, usijidanganye ardhi ya watanzania wakati Riziwani Kikwete anakaribia kuinunua wilaya yote ya Mvomero

Yatakutoka mapovu yote; lakini TZ kwenye hiyo jumuia ya kipuuzi Lazima tuchuje pumba kwanza. Bado hatujasahau yaliyotokea 1977; full integration is not one year job...mwambieni huyo dr uchwara. Kama vipi acheck integration schedule ya SADC...aone kila kitu kinavyochujwa bit by bit at molecular level. Hawa wapuuzi wanataka ndoa ya mkeka...Nooooooooo!!!
 
Wewe hapo ulipo Una ardhi wapi, hauna hata robo eka na huenda unaishi kwenye Mbavu za Mbwa Tandale kwa Tumbo lakini unajifanya msemaji wa ardhi za wengine. Hapo ndio ujinga Wako ulipokufikisha. To be the best you have to beat the best, nyie majinga mnaogopa tusipambane na wana afrika mashariki wenzetu. Mimi mwerevu naangalia solo la Kenya, Soko la Uganda na Rwanda huku Tanzania ndio nchi yenye rasilimali zaidi, tutauza wapi bidhaa zetu? Fikiria nje ya box wewe Kula kulala

Tutauza wapi bidhaa??
Kama hawezi fikiria kwamba soko la bidhaa za tz sio lazima ziwe nchi za EAC pekee...basi wewe bado unafikiri ndani ya box na utuondolee utumbo wako hapa
 
Wewe hapo ulipo Una ardhi wapi, hauna hata robo eka na huenda unaishi kwenye Mbavu za Mbwa Tandale kwa Tumbo lakini unajifanya msemaji wa ardhi za wengine. Hapo ndio ujinga Wako ulipokufikisha. To be the best you have to beat the best, nyie majinga mnaogopa tusipambane na wana afrika mashariki wenzetu. Mimi mwerevu naangalia solo la Kenya, Soko la Uganda na Rwanda huku Tanzania ndio nchi yenye rasilimali zaidi, tutauza wapi bidhaa zetu? Fikiria nje ya box wewe Kula kulala
Famba ww,,unajitia keki kumbe ki2mbua cha mama ntilie,,kwani soko la bidhaa ni kenya,rwanda na uganda 2,,yo 1/10th of cocroacha brain,,nyie ndo mnaoliswa sumu na kuingia kichwakichwa na kanza kuweweseka,,suala la mimi kuwa na ardhi au sinayo,,Thats Non Of Your Mo**er F**king Buisness
 
Hello Ruziba, I salute thee,
Mbona umepoteza utu na mpangilio wa sentensi zako. Ebu tulia basi tuweze kuchambua -------- ni mjinga (asiye erewa) yupi na mwerevu ni yupi? Naona Post zako nyingi umetukana tu na kujionesha kuwa mtu mwerevu lakini hakuna jambo la maana na la ushawishi linaloonesha werevu wako. Kosa la mtoa mawazo haliwezi kusahihishwa na kosa lako. Naamini ww ni msomi mzuri ebu changia vyema tukuelewe

sorry kuna mtu nilim-quote so sikujua kama ilienda moja kwa moja kwa thread.....na kama nakumbuka vizuri ni jokakuu na si mtoa mada...mtoa mada yupo poa sana tu....mchangiaji mmoja alisema mambo yote ya eac yamekamilika isipokuwa la tz kuhusu ardhi...kitu ambacho si kweli na thread inaeleza japo briefly kuwa mambo mengi bado hatujayasettle.....so ndo maana nikataka kujua kama huyu Joka tatizo lake ni lugha ama uelewa maana mchango wake unaonekana kupotosha hasa pale anapotumia jamvi hili kuonesha chuki zake ...sorry
 
Abusolutely Non Sense,,,,,,,,Huyu jamaa hajielewi,,@ Tz imekuwa kipngamizi cha region integration,,,wanatolea macho ardhi,,,,hawajielewi na 2takomaa No land apa,,,2tashirikiana vyooote but ardhi ye2uuuu,,2 hell with em

our land and our ignorance are the things we can not let go,at any cost
 
Kwako wewe mtanzania halisi ni Kinana ambaye Ana sura ya kisomal, rangi ya kisomali na hata nywele za kisomali. Ujinga na ubaguzi umekujaa...

Nimegundua mijitu mingi inayopinga integration kwa kisingizio cha ardhi haina haya ardhi robo heka. Mingi ni misela tu inakaa kwenye nyumba ya chumba kimoja Sinza au Mbagala na haina uwezo wa kununua hata robo eka. Sasa huna hata robo eka lakini unadai wakenya watachukua ardhi yetu, yako wewe na nani? Ardhi kwa sasa ni mali ya mtu binafsi au serikali, usijidanganye ardhi ya watanzania wakati Riziwani Kikwete anakaribia kuinunua wilaya yote ya Mvomero
riziwani nae ni mtanzania

I have lived in kenya for several years, I have lived with kenyans inside and outside kenya for several years too... Hawa jamaa they will never intergrate. To me this is just an opportunity to boost mombasa port

There is no integration between the tribes let alone the tz.
 
..matamshi ya Dr.Sezibera siyo ya kawaida kulingana na nafasi na dhamana yake.

..nyinyi hamuwezi kuelewa kwasababu u dont know how to live with one another.


.

mmh...unafahamu majukumu ya katibu mkuu?kama anaweza kushtaki nchi mwanachama utasemaje matamshi yake si ya kawaida?una lako jambo matamshi yake yapo kisheria na nahisi unajua pia ila kinacho kungoza ni chuki zako tu unazozionesha kwenye post zako hadi unashindwa kusema ukweli unaoujua bayana.....
 
UK inatekeleza makubaliano yote ya EU isipokuwa la common currency. Usiwe mwepesi wa kupindisha ukweli.

umeshasema isipokuwa - moreover EU walitaka pia umoja wa kisiasa kitu amabacho GB haikuafiki. Kwa nini walielie na Tanzania - kuna nini?
 
Huyu ni wakupuuza,hajui hatari kama nchi tuliyoiona,unapointegrate na mataifa ambayo wakuu wake wote madictator,na hawana utu,tegemea maumivu,amalize mkataba wake akaungane na kaka zake m23 kuondoa mizigo congo
 
A simple question to Dr. Sezibera and all the EAC perpetrators. What does Rwanda, Uganda, and Burundi have to offer in this integration? Who's benefiting who here? This Sezibera guy is being manipulated by somebody as he's NOT making no sense at all. Tanzania as a country has to see what's there for them not just enter into something that has no head nor eyes, come on now.
 
Mkuu JokaKuu zingekuwa enzi za Kambarage jamaa huyo asingetia mguu tena Arusha/Tanzania, kwa mawazo yao wanachukulia JK kuwa mpole na muhungwana kama ni dalili za kuwaogopa vile, which's totally false. Admin ya Rwanda na wapambe/wateule wao wana mambo ya chini chini sana - raia wengi Tanzania walionya kuhusu kuruhusu Rwanda kujiunga na jumuhia, lakini Mseveni ndio akawapigia debe PK (Rwanda) 4 a reason, kubwa ikiwa ni kumsogeza karibu comrade-in-arm i.e like mind mwezake waendeleze ndoto zao za SIRI - yaani mikakati yao ya siku nyingi tangu wakiwa kwenye vita vya misituni (Luwero Triangle huko Uganda), haya tunayo yashuhudia kwenye Jumuhia siku za hivi karibuni si ya bahati mbaya, yanakuwa instigated na hao wawili. Mh.Kenyatta kutokana na Umri wake kuwa mdogo ukilinganisha na wakina M7 na PK ndio maaana wanamuingiza kwenye mkenge taratibu taratibu bila ya yeye kulitambua hilo, wakisha mlainisha na kumsoma vizuri watangehuzia kibao - jamaa hawa wako highly unpredictable, oh yes M7 na PK waliwahi kugehukana huko DRC wakapigana vita kwa muda, kama wanafikia hatua ya kugehukana wao kwa wao, itakuwa mtu baki? Zingekuwa enzi za mzee Kibaki wasingeweza kutamba kama wanavyo tamba hivi sasa, wanaendelea kuvunja kanuni za jumuhia with impunity hawajali ma azimio yaliyo wahai kufikiwa kwenye jumuhia, wao wanaleta mapendekezo mbadala ya ajabu ajabu mfano fast tracking Political .... hii ina umuhimu gani kwa hivi sasa? Mawazo yao yote yako kwenye kutaka kutawala Africa Mashariki na kuleta vurugu walizo zoea, hawana jema lolote kwenye jumuhia yetu- Majivuno tu. Hivi Seziraba anataka kutueleza nini anaposema Tanzania tunataka kuchuma tusichopanda!! Rwanda imewahi kupanda kitu gani cha maana katika ustawi wa EA zaidi ya kufanya member countries kutoelewane, juzi juzi tu alimwachia mwenzake Njoroge aiseme Tanzania kuhusu wahamiaji haramu kutoka Rwanda as if Raia wa nchi nyingine hawakuwa affected na zoezi hilo! Always wako self centered na kijifanya wana majibu ya kila tatizo ndani ya Jumuhia. Tuwe wakweli hapa tangu Seziraba akabidhiwe cheo hicho kuna mambo mengi yamefanyika under his watch ni as if amakuja na mikakati ya aina fulani chukulia mifano ifuatayo: Rwanda kushurtisha baadhi ya members wasusie vikao ili walazimishe vikao viwe vina rotate kwenye miji ya members countries,kitu ambacho hakikuwahi kupendekezwa siku za nyuma, kuingia Rwanda tu ndio kelele zikahanza hawataki vikao vifyanike Arusha muda wote, si hilo tu waliwahi kuja na a wild idea eti makao makuu yahamie Nairobi!! Hivi Rwanda ina bifu gani na Nchi yetu iliyo wahi kuwahifadhi Maelfu ya Wanyarwanda ikatumia resources zake kuwasomesha baadhi yao mpaka wakahitimu vyuo vikuu, watu hawa hawana shukrani.
SEZIRABA ni nani?

Mlichobakiza ni kuanza kuogopa hadi kivuli chenu wenyewe....mnadanganywa na wanasiasa eti ardhi...well wewe mwenyewe una ardhi?ardhi kukaa kwenye mikono ya mafisadi na watoto wa wakubwa bora waje jamaa wauziwe ijulikane...tatizo hatupendi kukosolewa na hii ni kwasababu tunadanganywa sana...naamini kama tungekuwa na viongozi makini tungefaidika na jumuiya zaidi ya nchi nyingine..tatizo la ugonjwa wa kutofikiria badala ya kuona na kuchukulia eac kama opportunity sisi tunaambiwa na kufanya tuamini kuwa ni challenge....sikubaliani na madai yako hata mara moja kwa kuwa hayana mashiko na dunia ya sasa si ile unayojua we need not to do like we are used to doing but like the world is doing....chuki tu ndo zinzkufanya ujifanye kusahau kuwa maoni ya rotation yaliwakilishwa na mbunge wa kenya,yakaungwa mkono na wabunge wengine wakapanga kutoka nje ya kikao....rwanda ilimshurtisha nani?chuki imezidi busara zako...kama ulivo na haki ya kuishi kwenye hii nchi mtu mwingine pia anayo haki ya kuishi katika hii nchi pale inapobidi...hakuna mwenye peace assurance....kilichowapata wanyarwanda kinaweza kupata mtu yeyote /mtz pia atakimbilia kwa jirani...tenda wema kula kona usingoje kulambwa miguu....
 
why did tz join in the first place,maana hapa sielewi kwanini ionekane tz inaburuzwa tu..nadhani tz imeshiriki katika kutengeneza protocol sasa iweje ionekane kama inaburuzwa...kwanini haijaangalia maslahi yake wakati wa kuandaa hizo protocol? tz is not competitive whatsoever,ni kama wale watoto wa matajili wa zamani...watoto wa matajiri zamani walikuwa characterized na ukilaza i.e walikuwa vilaza kwa kuwa home mambo safi watarithi mali tu..laikini dunia ya sasa haipo hivo....tunashuhudia matajiri wanalazimisha watoto wao kusoma maana zile mali si zao wanahimizwa watafute za kwao wenyewe....badala ya kuona EAC kama opportunity tunaiona na tunafanywa kuiona kama challenge huu ndo ukilaza ninaousema...ni hatari kwa dunia ya sasa to "think locally and act locally" ....haitatusaidia sana kukaa oooh ardhi yetu ndo wametolea macho,sisi tunategemea nini kutoka kwao?kumbukeni economical development we are not better than kenya,rwanda,uganda...despite the land and everything we own,,,,,ni aibu kuonekana tunalia tunaonewa wakati wao ilibidi ndo waonekane kulia lia....hii ni kwasababu hatuoni manufaa ya soko kwa kuwa hakuna tunachoenda kuuza huko, free movt of labour...are we educated better enough to compete in the eac labour market?ndo maana tunakuwa reluctant kutekeleza makubaliano tuloyafanya wenyewe....ni aibu
 
A simple question to Dr. Sezibera and all the EAC perpetrators. What does Rwanda, Uganda, and Burundi have to offer in this integration? Who's benefiting who here? This Sezibera guy is being manipulated by somebody as he's NOT making no sense at all. Tanzania as a country has to see what's there for them not just enter into something that has no head nor eyes, come on now.

kweli we mbishi.....
 
riziwani nae ni mtanzania

I have lived in kenya for several years, I have lived with kenyans inside and outside kenya for several years too... Hawa jamaa they will never intergrate. To me this is just an opportunity to boost mombasa port

There is no integration between the tribes let alone the tz.

We are talking about business integration and not friendship. Kenya is a country which will soon turn to mid-income country. It is a very good opportunity for us to sell there. Tatizo la watanzania mnaishi kwa kutegemea huruma badala ya kupambana. Hii ni nchi ambayo ina kila kitu, tunazo rasilimali zimelala ardhini, wakati sasa umefika kuzigeuza hizo rasilimali kuwa rasilimali fedha kwa kufanya biashara, na kama tukifanya biashara Kenya ni soko zuri kuliko yote East Africa kwa kuwa wako wengi na wanazo hela. Wakenya individually wana MPUNGA kuliko sisi watanzania, kwa hiyo tuchukulie kama fursa, tuache uoga
 
Famba ww,,unajitia keki kumbe ki2mbua cha mama ntilie,,kwani soko la bidhaa ni kenya,rwanda na uganda 2,,yo 1/10th of cocroacha brain,,nyie ndo mnaoliswa sumu na kuingia kichwakichwa na kanza kuweweseka,,suala la mimi kuwa na ardhi au sinayo,,Thats Non Of Your Mo**er F**king Buisness

Tatizo la kukulia uswahilini mnafundishwa matusi kwanza then baadaye ndio mnafundishwa kupambana na karaha za dunia. Katika biashara opportunity ya kwanza kuikimbilia ni soko la jirani, watanzania tumepambana sana kiasi kwamba kwa sasa tunauza bidhaa Kenya kuliko Kenya inavyouza Tanzania, which means tuko juu yao kibiashara. Nyie kula kulala mnadhani siasa ya ujamaa na kujitegemea bado inaendelea, saizi kila mtu anakula kwa jasho lake. Na utakula tu kama utatumia vizuri rasilimali ulizonazo, na kama watanzania tukitumia rasilimali vizuri basi soko la uhakika ni Kenya...
 
akumulikae mchana usiku atakuchoma..
Ukiona mtu kang'ang'ania sana jambo flani jua ana lake..
nawaomba waTanzania kwa umoja wetu tuwe wazalendo na tufikirie kwa kwa kina kuhusu huku kuungana..
tunatakiwa tukae tuone FAIDA na HASARA za ushirikiano huu tunaoshinikizwa kuuafiki haraka haraka ama tutakuja juta mbeleni..
Mungu ibariki Tanzania
 
Back
Top Bottom