EAC Chief warns Tanzania on regional Integration

EAC Chief warns Tanzania on regional Integration

wavuta bangi hao kaka Koba umewasahau?unaona ameishaingiza rwanda,baadaye kagame,kabla haijafika mwisho hii thread watakuwa wametaja na m23.....chuki itawatafuna wenyewe...

unajidai mjuaji sana....but u sims empty.....
 
Tatizo la Mtanzania ni kuambiwa ukweli,, hapa Dr Sezibera ameongea ukweli mtupu. Sisi watanzania imara tunaojiamini kuwa tunaweza kupambana sio Tu na waafrika mashariki wenzetu bali na hata dunia nzima tunaona integration kama fursa. Nyie watanzania ma-lazy with knows it all attitude mnaona kama hamko tayari na hamtakuwa tayari hadi mbingu zishuke. We need integration now
 
..Tanzania inasubiri nini kumtimua Dr.Seziraba?

..hivi kweli Dr.Seziraba/Rwanda inaweza kuituhumu Tanzania kwamba ktk EAC tunachuma tusichopanda?

..kwani Rwanda wana mchango gani ktk EAC mpaka wawe na kiburi na dharau kiasi hiki kwa Tanzania?

Kuna sehemu yoyote kwenye hiyo article umesikia nchi ya rwanda ikisema hayo? Huyu ameongea kama katibu mkuu wa EAC. Na Tanzania ilimpigia kura. Kwa hiyo usitoe povu hapa. Ongea point..
 
Tatizo la Mtanzania ni kuambiwa ukweli,, hapa Dr Sezibera ameongea ukweli mtupu. Sisi watanzania imara tunaojiamini kuwa tunaweza kupambana sio Tu na waafrika mashariki wenzetu bali na hata dunia nzima tunaona integration kama fursa. Nyie watanzania ma-lazy with knows it all attitude mnaona kama hamko tayari na hamtakuwa tayari hadi mbingu zishuke. We need integration now
We kweli punguani. Kwani wewe unavojiona una ubavu gani kutuzidi sisi watz tunaopinga EAC? hebu hamia basi huko Rwanda au Kenya ukafaidike na hiyo EAC ndani ya EAC, halafu uje utuletee ripoti.
 
Seriously tunamtaka Waziri Sitta ajenge hoja ya kumkataa huyu jamaa kuendelea kuwa SG wa EAC--openly biased fellow! Mbona Juma Mwapachu hakuwa hivi?
This Sezibera guy alishaanza kuipiga vijembe Tz tokea kabla hajawa SG,tangia alipokua Nairobi sijui kwene misheni, alikua akiandika viatiko vyake uchwara kwene gazeti la The East African, sijui Tz tu mazuzu kiasi gani kumtolerate huyu f.ala. Tz kuna ombwe kubwa la uongozi, na hii yote inasababishwa na sera ya kushibisha kwanza matumbo ya watawala badala ya kujali maslahi ya taifa kwanza.
 
.....ni Dr. Richard Sezibera ni Katibu mkuu wa EAC,Tanzania haiwezi kumtimua Dr kwa kuwa yupo kisheria na si mwajiriwa wa serikali ya TZ....
......ana uwezo wa kutuhumu na hata kushitaki mahamani nchi yoyote mwanajumuiya wa EAC pale anapoona haifuati utaratibu
.......Dr sezibera siyo Rwanda...sijajua umetumia nini (kichwa/tumbo)kufikiria na kuandika..."hivi kweli Dr.Seziraba/Rwanda inaweza kuituhumu Tanzania "
.......rwanda wameingiaje katika hizi tuhuma anazotoa katibu mkuu? Chuki zako zinazosababishwa na uelewa mdogo/uvimba macho sidhani kama zinakufanyia haki hata wewe mwenyew maana zinakufanya uonekane mp..umb...avu mbele za watu. mfano Rwanda imeingiaje katika hili?


..Dr.Sezibera kama mtumishi wa EAC ana diplomatic status hapa Tanzania.

..sasa inaonyesha huyu ana tabia ya kuiandama Tanzania ndiyo maana napendekeza serikali i-revoke visa yake na kumtimua asikanyage tena nchi hii.

..Sezibera anadai kwamba ktk EAC, Tanzania inavuna isichopanda. Kwa maana nyingine anadai kwamba Tanzania haina mchango ktk jumuiya hiyo. Sasa ndiyo maana nikauliza: Rwanda anakotokea Dr.Sezibera ina mchango gani ktk Jumuiya?
 
Tatizo la Mtanzania ni kuambiwa ukweli,, hapa Dr Sezibera ameongea ukweli mtupu. Sisi watanzania imara tunaojiamini kuwa tunaweza kupambana sio Tu na waafrika mashariki wenzetu bali na hata dunia nzima tunaona integration kama fursa. Nyie watanzania ma-lazy with knows it all attitude mnaona kama hamko tayari na hamtakuwa tayari hadi mbingu zishuke. We need integration now

Wewe siyo Mtanzania na Kama ni Mtanzania basi umechanganya na M23 upande wa Baba yako.
 
Wewe siyo Mtanzania na Kama ni Mtanzania basi umechanganya na M23 upande wa Baba yako.

Kwako wewe mtanzania halisi ni Kinana ambaye Ana sura ya kisomal, rangi ya kisomali na hata nywele za kisomali. Ujinga na ubaguzi umekujaa...

Nimegundua mijitu mingi inayopinga integration kwa kisingizio cha ardhi haina haya ardhi robo heka. Mingi ni misela tu inakaa kwenye nyumba ya chumba kimoja Sinza au Mbagala na haina uwezo wa kununua hata robo eka. Sasa huna hata robo eka lakini unadai wakenya watachukua ardhi yetu, yako wewe na nani? Ardhi kwa sasa ni mali ya mtu binafsi au serikali, usijidanganye ardhi ya watanzania wakati Riziwani Kikwete anakaribia kuinunua wilaya yote ya Mvomero
 
UNAJUA KIINGEREZA HATA KIDOGO?Maana naona hapa tatizo litakuwa ama lugha ama uelewa....

..matamshi ya Dr.Sezibera siyo ya kawaida kulingana na nafasi na dhamana yake.

..nyinyi hamuwezi kuelewa kwasababu u dont know how to live with one another.



.
 
..Tanzania pia si tumetekeleza yote isipokuwa ardhi?
Jamaa wanataka kufanya mazingaombwe ardhi ya Tz iwe ya EAC.
Juzi nilikua natazama documentary moja kuhusu demographics na population boom ktk dunia. Akahojiwa mzee mmoja mnyarwanda akanukuliwa akilalama hajui atawarithisha nini wanawe 15 wakati ardhi aliyonayo yeye alirithishwa na wazazi wake haitoshi hata kusustain familia kwa mwaka mzima. Akahojiwa pia this Sezibera guy wakati huo akiwa Waziri, naye akakiri kua catalyst mojawapo ya Genocide ilikua ni kugombea resources ikiwemo ardhi, kwamba mtu akiota kwamba akiua familia ya jirani yake atajimilikisha nyara za huyu victim.
Approach yao ya kutukana na kushambulia TZ kwene majukwaa ya mikutano na magazeti ni dalili kwamba mbinu zao walizozitegemea zimegonga mwamba. Nayo operation Kimbunga imekua ni statement nzito kwao.
 
nngu007 Abusolutely Non Sense,,,,,,,,Huyu jamaa hajielewi,,@ Tz imekuwa kipngamizi cha region integration,,,wanatolea macho ardhi,,,,hawajielewi na 2takomaa No land apa,,,2tashirikiana vyooote but ardhi ye2uuuu,,2 hell with em
 
Last edited by a moderator:
Jamaa wanataka kufanya mazingaombwe ardhi ya Tz iwe ya EAC.
Juzi nilikua natazama documentary moja kuhusu demographics na population boom ktk dunia. Akahojiwa mzee mmoja mnyarwanda akanukuliwa akilalama hajui atawarithisha nini wanawe 15 wakati ardhi aliyonayo yeye alirithishwa na wazazi wake haitoshi hata kusustain familia kwa mwaka mzima. Akahojiwa pia this Sezibera guy wakati huo akiwa Waziri, naye akakiri kua catalyst mojawapo ya Genocide ilikua ni kugombea resources ikiwemo ardhi, kwamba mtu akiota kwamba akiua familia ya jirani yake atajimilikisha nyara za huyu victim.
Approach yao ya kutukana na kushambulia TZ kwene majukwaa ya mikutano na magazeti ni dalili kwamba mbinu zao walizozitegemea zimegonga mwamba. Nayo operation Kimbunga imekua ni statement nzito kwao.

..kama shida yao ni ardhi basi wakubali wawe sehemu ya DRC.

..ile hoja yao ya kukatiwa kipande cha DRC sasa igeuzwe kuwa wao ndiyo waunganishwe na kuwa-governed frm Kinshasa.
 
Tatizo la Mtanzania ni kuambiwa ukweli,, hapa Dr Sezibera ameongea ukweli mtupu. Sisi watanzania imara tunaojiamini kuwa tunaweza kupambana sio Tu na waafrika mashariki wenzetu bali na hata dunia nzima tunaona integration kama fursa. Nyie watanzania ma-lazy with knows it all attitude mnaona kama hamko tayari na hamtakuwa tayari hadi mbingu zishuke. We need integration now
We ni mjinga wa ku2pwa,,Yaani we ni Poyoyo la ku2pwa,,na hakuna ardhi apo,,,,,kwanza we unajiona smart una nn,,,mnalilia Tz 2 kazi kutokwa na mate na miudende kutamani vya waTz
 
UNAJUA KIINGEREZA HATA KIDOGO?Maana naona hapa tatizo litakuwa ama lugha ama uelewa....

Hello Ruziba, I salute thee,
Mbona umepoteza utu na mpangilio wa sentensi zako. Ebu tulia basi tuweze kuchambua -------- ni mjinga (asiye erewa) yupi na mwerevu ni yupi? Naona Post zako nyingi umetukana tu na kujionesha kuwa mtu mwerevu lakini hakuna jambo la maana na la ushawishi linaloonesha werevu wako. Kosa la mtoa mawazo haliwezi kusahihishwa na kosa lako. Naamini ww ni msomi mzuri ebu changia vyema tukuelewe
 
..kama shida yao ni ardhi basi wakubali wawe sehemu ya DRC.

..ile hoja yao ya kukatiwa kipande cha DRC sasa igeuzwe kuwa wao ndiyo waunganishwe na kuwa-governed frm Kinshasa.
Sio ardhi tu, inabidi pia wacontrol birth rate. Hawezi mtu akazaa watoto 15 halafu ategemee nchi nyingine au serikali imuwezeshe makuzi ya hao watoto. Tumeshawabeba vya kutosha tokea enzi ya mkoloni hadi leo.
 
Tusikubali ng'o uhuni huu. Sasa kama ni kitu kizuri wanalia nini tanzania kukacha si waendelee tu wao na uroda? Wamezoe kutufanya mafala kwa ulimbukeni wetu wa zamani. Sasa hakatwi mtu hapa!
 
..Dr.Sezirabu kila akitoa tamko ni kuinanga Tanzania tu.

..sijamsikia akizinanga nchi nyingine.

..hatuwezi kuwa na EAC SG ambaye yuko biased against mmoja wa waanzilishi wa jumuiya hiyo.

Huyu ni kigogo wa RPF lazima atunange tu.
 
Jamaa wanataka kufanya mazingaombwe ardhi ya Tz iwe ya EAC.
Juzi nilikua natazama documentary moja kuhusu demographics na population boom ktk dunia. Akahojiwa mzee mmoja mnyarwanda akanukuliwa akilalama hajui atawarithisha nini wanawe 15 wakati ardhi aliyonayo yeye alirithishwa na wazazi wake haitoshi hata kusustain familia kwa mwaka mzima. Akahojiwa pia this Sezibera guy wakati huo akiwa Waziri, naye akakiri kua catalyst mojawapo ya Genocide ilikua ni kugombea resources ikiwemo ardhi, kwamba mtu akiota kwamba akiua familia ya jirani yake atajimilikisha nyara za huyu victim.
Approach yao ya kutukana na kushambulia TZ kwene majukwaa ya mikutano na magazeti ni dalili kwamba mbinu zao walizozitegemea zimegonga mwamba. Nayo operation Kimbunga imekua ni statement nzito kwao.
Kama wanataka wawe wilaya za mkoa wa kagera ila mambo ya muungano hatutaki. Zanzibar inatutoa jasho halafu tunaongeza balaa. Wazenj wamefaidika kwa kusambaa tanganyika kujipatia ardhi lakini sasa wanatuona mafala.
 
We ni mjinga wa ku2pwa,,Yaani we ni Poyoyo la ku2pwa,,na hakuna ardhi apo,,,,,kwanza we unajiona smart una nn,,,mnalilia Tz 2 kazi kutokwa na mate na miudende kutamani vya waTz

Wewe hapo ulipo Una ardhi wapi, hauna hata robo eka na huenda unaishi kwenye Mbavu za Mbwa Tandale kwa Tumbo lakini unajifanya msemaji wa ardhi za wengine. Hapo ndio ujinga Wako ulipokufikisha. To be the best you have to beat the best, nyie majinga mnaogopa tusipambane na wana afrika mashariki wenzetu. Mimi mwerevu naangalia solo la Kenya, Soko la Uganda na Rwanda huku Tanzania ndio nchi yenye rasilimali zaidi, tutauza wapi bidhaa zetu? Fikiria nje ya box wewe Kula kulala
 
Tatizo la Mtanzania ni kuambiwa ukweli,, hapa Dr Sezibera ameongea ukweli mtupu. Sisi watanzania imara tunaojiamini kuwa tunaweza kupambana sio Tu na waafrika mashariki wenzetu bali na hata dunia nzima tunaona integration kama fursa. Nyie watanzania ma-lazy with knows it all attitude mnaona kama hamko tayari na hamtakuwa tayari hadi mbingu zishuke. We need integration now

Nimekua na mawazo kama ya kwako kwamba tuna jamii ambazo ziko lazy sana na hizi jamii ndizo zimesababisha MaCCCM kuendelea kutawala miaka yote hii hata kama imeshindwa! Ni jamii za kulalamika na wivu wa kijinga! Tumeshindwa kujenga hoja kwamba ardhi yetu hapana,lakini tukafanya maamuzi ili hoja nyingine zisonge mbele?!

Watawala dhaifu ndiyo wanageuza nchi yetu kuwa dhaifu,haina msimamo,inasubiri majaliwa ya Mwenyezi Mungu! Umefika wakati makabila viongozi kushika hatamu ya nchi hii,bila hivyo tutaendelea kuwa vichekesho ktk ukanda huu!
 
Back
Top Bottom