E Fm mbona mnakomalia suala la Bashite hivyo?

E Fm mbona mnakomalia suala la Bashite hivyo?

Vyeti vipo kwani kafika fika vipi hapo sema akivitoa sahizi mtahamia kwenye njaaa nyiee kaza kaza mzee wa koromije
 
Kwani we ulitegemea uletewe chakula?? Wewe acha kumwongelea wengine waache waaendelee , na wao wakichoka wataacha.. shida ikowapi.... Call Me J..
Hapa vyeti tu
Alikua anaita watu vilaza
Jamani bashite bashite,tunakuona bashite
 
Ukipanda bashite utavuna bashite bashite
 
Wakuu tumejadiri mengi kuhusu mheshimiwa huyo, binafsi naona itoshe sasa.

Tuseme imetosha kwa sababu yale machozi ya jana ni kauli ya kuomba msamaha kwa namna moja au nyingine.

Ukiona mwanaume aliyekuwa jasiri na mwenyewe nyodo na majibu ya fedheha na kudharirisha analia , tena analia mbele za watu ujue amejutia makosa yake.

Naomba tuachane na habari za Makonda kama Makonda. Tuendelee na mengine, jamani ameshajifunza somo kubwa sana ninaamini atabadirika sana.

Nawe Bwana Paulo Makonda Maumivu uliyoyapata kwa tukio hili ndiyo waliopata wale ulikuwa unawatukana na kuwadharirisha mbele ya kamera, Mungu amekuonjesha sehemu ndogo sana, acha kutukana na kudharirisha watu.

Nilikwambia siku moja kama unakumbuka kuwa cheo ni dhamana.

Familia ya marehem Kabwe inakutazama kama wewe ndiyo sababisho la yote yaliyomtokea baba yule.

Acha uongozi wa mihemko, tubu kwa wote uliowadharirisha, akiwemo ,manji, mbowe, Gwajima , wema na wengine.

Narudia kuwasihi tena wanajf wenzangu itoshe kuhusu huyu mtu jamani.

Wanaoniunga mkono kwa hili Mungu awabariki sana.

Msiyoniunga mkono niwaombe mjaribu kuvaa uhusika japo kwa dakika moja. Najua mkisha uvaa uhusika kwa dakika moja mtanielewa na kuniunga mkono.
Asanteni.
Hadi pale atakapotuonesha vyeti ntakomaaa naye hadi mwisho wa uhai wangu
 
[HASHTAG]#Barua[/HASHTAG] ya wazi kutoka [HASHTAG]#wananchi[/HASHTAG] wa Dar ES Salaam kwenda kwa [HASHTAG]#MkuuWaMkoa[/HASHTAG]....

Mh mkuu ulitukataza tusikeshe bar tukatii,ulitukataza tusile mirungi tukatii,ulituagiza tufanye usafi kila jmos tukatii,na mengine mengi...

Wewe tunakuomba [HASHTAG]#vyeti[/HASHTAG] vyako unaenda kulia kanisani kwani huko ndiyo sehemu ulipovihifadhi vikapotelea?
Vyeti
 
Back
Top Bottom