Nilimuona tu apo nikajua kuna bonge la point unamwaga... Kumbe ubashiteKipi kichomdhalilisha mkuu?
Daudi mwenzio uyu.... Ohooo
Aisee!!!!Yanga na mtibwa jana wametoka bashite bashite uko morogoro
Hivi mtu aliyefeli darasa la 4 kidato cha 4 akifikaje ?
Huyo mama popote alipo mwambieni hatukupendezwa na kile kitendo,na huyu jamaa lazima atumbuliwe au wale waliotumbuliwa warudishwe kazini afu kampeni ya kupinga kugushi vyeti isiendelee"hawa ndio vichaa tunaowatafuta..hebu tooka hapa"
Mkuu unaikumbuka hiyo kauli dhidi ya yule mwanamama? Huku TV zikiwa mubashara?
Unajua ni kiasi gani yule mama alivyoumia kudhalilishwa vile na kijana mdogo aliyeshindwa kufanya mambo yake kwa busara?
Kwanini aonewe huruma na wakati uwezo wa kujitokeza na kuwafunga watu midomo anao? Si hajaghushi vyeti?
Uko-hukoYanga na mtibwa jana wametoka bashite bashite uko morogoro
Mwambie Daudi aweke vyeti vyake mezani....Habari wakuu
Hiki kituo cha redio wanajiita mziki mnene siwaeliwi kabisa,mana kila break lazima wamponde Bashite.
Amewakosea nini?