E Fm mbona mnakomalia suala la Bashite hivyo?

E Fm mbona mnakomalia suala la Bashite hivyo?

unasemaaaa...............embu acha izo habar chalii angu apo ndo kwanza tumeanza

alie asilie atujua mwenyw tunataka vyeti full stop

alaf wee unae mtetea wewe.......
Anayemtetea naye ni bashite
 
Tatizo alikosea kugusa hii sampuli,
mm nikikupiga unapotea kabisa(Gwajima)


Alitoa awamu ya kwanza
Akatoa awamu ya pili na mimi nimo
Akatoa ya tatu

Mimi nimetoa awamu ya kwanza tuu kaanza kuhaha.............. ninamazaga zaga mengi kuhusu huyu Daudi Albert Bashite
(in Gwajima's voice)
 
Naunga mkono hoja,jamani itoshe sasa hii ni too much! Tukilala Makonda tukiamka Bashite wengine mpaka tunaota tupo koromije! Loh! Emu kuweni na huruma hata kiduchu.
Alituita vichaa,magoigoi na kujiita Mungu wa dsm,kazi tunafanya na tunamkomalia
 
MAONI YA MHARIRI gazeti la Mwananchi: Ni muhimu Makonda amalize utata huu

Wakati Rais John Magufuli alipoteua wakurugenzi wa majiji, manispaa na halmashauri kuliibuka maneno mengi, hasa mitandaoni kuwa mmoja wa watu walioteuliwa hana elimu ya kutosha kustahimili kazi hiyo.

Maneno hayo yalifikia hatua ya watu kusema kuwa mtu huyo amesomea masuala ya hoteli. Ilikuwa bahati kwamba walioteuliwa wakati huo walitakiwa wahakikiwe elimu yao kabla ya kuapishwa.

Kabla ya kula kiapo cha maadili ya uongozi, Rais Magufuli alizungumzia suala hilo na baadaye kumtaka mtu aliyetuhumiwa kuwa hana elimu ya kutosha, aonyeshe hadharani cheti chake na alifanya hivyo...
 
kuna nesi kafungwa miaka 28 kwa kosa la kufoji vyeti ili apate ugali wa wanawe, je na huyo unamzungumziaje????? hebu jaribu kuvaa uhusika wa watoto wa huyu Mama.

kulia sio sababu ya kutuaminisha yeye hakununua na wala hatumii vyeti vya mtu mwingine, hatutaweza kukaa kimya hadi akiri kuwa anatumia vyeti visivyo vyake ambayo kisheria inajulikana ni makosa, na mtuhumiwa huwa anafungwa jela miaka saba.

Nesi wa wapi wakati msjibu ya uhakiki bado yako kwenye mabano? Acha hadithi za abunuwasi hapa!!!
 
kuna nesi kafungwa miaka 28 kwa kosa la kufoji vyeti ili apate ugali wa wanawe, je na huyo unamzungumziaje????? hebu jaribu kuvaa uhusika wa watoto wa huyu Mama.

kulia sio sababu ya kutuaminisha yeye hakununua na wala hatumii vyeti vya mtu mwingine, hatutaweza kukaa kimya hadi akiri kuwa anatumia vyeti visivyo vyake ambayo kisheria inajulikana ni makosa, na mtuhumiwa huwa anafungwa jela miaka saba.
Afu bashite anajifanya katumwa na Mungu,Kumbe Mungu anatuma watu kufoji vyeti
Duh
 
Hatuwezi kumuacha kwa sababu ya kulia tunataka vyeti, hatukubali kuongozwa na kilaza . watu tupo na PhD Leo kilaza wa division zero ndo atuongoze aende akawe mtendaji wa kijiji cha koromije huko
 
Kwahiyo ukiendelea kumjadiri hapa na yeye atafungwa? Au huyo nesi atafunguliwa?
kumjadiri=kumjadili huko shule ulienda kusomea ujinga au na wewe ni zile type za kina bashite?????, atoe vyeti mengine yafuatwe kama ni jela miaka saba au faini au vyote kwa pamoja.
 
hapana inaumiza sana kwa wale wazee walio achishwa kazi wakiwa wamebakiza miaka 3 wastaafu kazi kwa kosa la kununua vyeti vya mtu mwingine.
Weka vyeti mezani twende sawa
 
Wakuu tumejadiri mengi kuhusu mheshimiwa huyo, binafsi naona itoshe sasa.

Tuseme imetosha kwa sababu yale machozi ya jana ni kauli ya kuomba msamaha kwa namna moja au nyingine.

Ukiona mwanaume aliyekuwa jasiri na mwenyewe nyodo na majibu ya fedheha na kudharirisha analia , tena analia mbele za watu ujue amejutia makosa yake.

Naomba tuachane na habari za Makonda kama Makonda. Tuendelee na mengine, jamani ameshajifunza somo kubwa sana ninaamini atabadirika sana.

Nawe Bwana Paulo Makonda Maumivu uliyoyapata kwa tukio hili ndiyo waliopata wale ulikuwa unawatukana na kuwadharirisha mbele ya kamera, Mungu amekuonjesha sehemu ndogo sana, acha kutukana na kudharirisha watu.

Nilikwambia siku moja kama unakumbuka kuwa cheo ni dhamana.

Familia ya marehem Kabwe inakutazama kama wewe ndiyo sababisho la yote yaliyomtokea baba yule.

Acha uongozi wa mihemko, tubu kwa wote uliowadharirisha, akiwemo ,manji, mbowe, Gwajima , wema na wengine.

Narudia kuwasihi tena wanajf wenzangu itoshe kuhusu huyu mtu jamani.

Wanaoniunga mkono kwa hili Mungu awabariki sana.

Msiyoniunga mkono niwaombe mjaribu kuvaa uhusika japo kwa dakika moja. Najua mkisha uvaa uhusika kwa dakika moja mtanielewa na kuniunga mkono.
Asanteni.
Suala sio kusamehewa suala ni kuwajibika kwa kuachia ngazi na kuface charges za kugushi vyeti
 
tatizo sio ukilaza tatizo ni kosa kisheria kutumia vyeti visivyo vyako, na unaposhindwa kuikubali sifuri yako hadi kuazima vyeti kama sio kununua kabisa
Huyo ni kilazaaa
 
dawa pekee ajitoe ufahamu aelezee elimu yake japo ni jambo gumu kama kuchambia upupu !
 
Anashinda makanisani anasumbua watu wanamuombea Paul Makonda kumbe yeye ni Daud Bashite. Dar hatuwezi kuongozwa na KIHIYO aoneshe vyeti yaishe sio analeta sarakasi
Hatuwezi kuongozwa na kilazaaa
 
Back
Top Bottom