kabwekasoma
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 260
- 153
Hii nzuri sana waifanye hata kesho tumeshamchoka huyo boya wenu. Kila kitu sifa anataka asifiwe yeyeHizi mbinu za wapinzani ni za kitooto,
Kesho pia utasikia fulani katokomea kusikojulikana, then kwa kushawishia na watu fulani watakimbilia UN na kudai wapinzani wanawekwa kizuizini Tanzania ndio maana tunaomba hifadhi ya kisiasa.
Lengo ni kumchafua JPM aonekane anakandamiza demokrasia nchini