DW: Zitto Kabwe ametorokea nchi jirani

DW: Zitto Kabwe ametorokea nchi jirani

Sijui uchaguzi mdogo lini,nataka nikagombee huko kigoma,
 
Zitto arudi nchini ili aende Segerea kuisoma namba kama Lema anavyosoma namba kishujaa. Tatizo la Zitto amezoea kukaa kwenye makwapa ya watawala, sasa watawala wa leo hawamtaki anaanzisha fujo na uchochezi, ajitokeze tu aone joto la kujenga chama lilivyo ili siku nyingine asiwe mtibuaji wa yale ambayo wenzake wameyajenga.
 
Kama kakimbia mnahoji mini tulieni kipi kinakusbueni mmeisha ambiwa yipo ma yupo salama hofu yenu mini nalama yupo nchi jirrani aliempeleka kati yenu nani acheni kuzuwa mungu IPO siku atakufedheheshrni mazombwi nyiie
 
Ameiba nini au ni mfuasi wa Yahaya?? Nchi hii ina amani tele, vyakula tele, maji tele kama ni mvua ni kwa wote. Yeye sio waziri wa Mali asili useme alitoa amri wafugaji wauliwe. Wala hajalima kwenye vyanzo vya maji ka yule mbunge mwenzake. Unakimbia nini Tz hii?? Nawaza tu
 
Kama simu ya zitto kabwe iko hewani mtandao anaotumia wanajua nyumba anayoishi
 
Naomba mkono wa Mungu wenye nguvu umnyokee huyu atutesaye na umpige kichwa chake, Amen!
 
Ameshakata tamaa na kachama kake ka ACT hakawezi toka tena kwa aina hii ya utendaji mzuri wa JPM. Kama cdm wanahaso vipi kwa ACT
Madeni yamezidi anatafuta sababu kijana nilimwani lakini imani yangu inaanza kunitoka kidogo kidogo naanza kuuona unafiki wake japo siwezi kumuita msaliti. Wakati magufuli anafungua bunge alijitahidi sana kujipendekeza labda alijua angepewa nafasi kaona mwaka unapita hajapata lolote siyo yule wa Novemba 2015. Mwandishi moja mahili sana wa blog ndugu Legman Maloto kamuandika vizuri sana huyu jamaa Zitto Kabwe. Alibandika picha yake na Magufuli akijiandika ni rais wa Sita baada ya magufuli.
 
Nchini Tanzania ripoti zilizozagaa katika baadhi ya vyombo vya habari zinasema Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo nchini Tanzania Zitto Kabwe ameondoka nchini humo, baada ya kupata taarifa kwamba anatafutwa na vyombo vya dola. Ripoti hizo zinasema Kabwe kwa sasa amekimbilia nchi jirani.

Source: DW
...Nchi gani?,..taja!
 
Ila msanii ni yupi? Aliyeanza drama ama anayemalizia drama? Kitendawili.
Tz kweli kuna wanaume?
 
Back
Top Bottom