Konda wa bodaboda
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,981
- 4,174
Wewe lumumba ndo umeandika nini hiki? shule hamtaki ndo maana ccm kiingereza kinawapiga chenga kwa sababu mmadhani kila kitu kina short cut.Who care??
Wewe lumumba ndo umeandika nini hiki? shule hamtaki ndo maana ccm kiingereza kinawapiga chenga kwa sababu mmadhani kila kitu kina short cut.Who care??
Zitto msaliti kulingana na Lissu
Kwani wewe hukusikia MKUU wa polisi wa geita alivyosema kuwa wanamtafutia nini hadi uulize? Acha unafiki wa kutetea kila jambo?Anatafutwa kwa lipi au anataka kujipaisha tu,nae anataka kiki
Kwani uwongoManeno ya dhihaka kwa rais eti anakula na kuvaa bure wananchi wake wanakufa kwa njaa si sawa sawa.
nimevutiwa na avartar yakoKwanini ametoroka?
Huo ndio ukweli mkuu mbona imeandikwa humuhumu JF?[emoji23] [emoji23] [emoji23].
mkuu niko serious nataka kujua kosa lake.
Hivi Zito pamoja na ushujaa wote ule anakimbia kitu gani sasa! Kama ni issue ya polisi si aende tu akajisalimishe.hahahaha jamaa amejificha sasa ana kimbia nini?
Some called Policcm have done their worseNchini Tanzania ripoti zilizozagaa katika baadhi ya vyombo vya habari zinasema Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo nchini Tanzania Zitto Kabwe ameondoka nchini humo, baada ya kupata taarifa kwamba anatafutwa na vyombo vya dola. Ripoti hizo zinasema Kabwe kwa sasa amekimbilia nchi jirani.
Chanzo DW.
View attachment 464022
Kwao wapiinawezekana Zitto hajakimbia nje ya nchi bali amerudi nchini kwao