DW: Zitto Kabwe ametorokea nchi jirani

DW: Zitto Kabwe ametorokea nchi jirani

Teh! Sasa, kama alikuwa anasema mambo mema kwa nini akimbie?! Kukimbia kwake kutathibitisha yalikuwa sio mema ..! Aende akajieleze polisi, na sio kujificha. He needs to defend his points..!
 
Kwann anapenda sana panua domo lake wakati huo hapendi mwili wake kuumizwa- cc wanatwambia tuandamane hili tukipokea kipigo waje kutusalimia mahospitalini-chezea zitto ww!
Uchochezi, kumchonganisha kiongozi na watu wake.
 
Hizi mbinu za wapinzani ni za kitooto,
Kesho pia utasikia fulani katokomea kusikojulikana, then kwa kushawishia na watu fulani watakimbilia UN na kudai wapinzani wanawekwa kizuizini Tanzania ndio maana tunaomba hifadhi ya kisiasa.

Lengo ni kumchafua JPM aonekane anakandamiza demokrasia nchini
 
Akimbilie Rwanda hapo,akapate mnyoosho mmoja matata.
 
So tunae mkimbizi wa kisiasa mmoja mpaka dakika hii
 
Nchini Tanzania ripoti zilizozagaa katika baadhi ya vyombo vya habari zinasema Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo nchini Tanzania Zitto Kabwe ameondoka nchini humo, baada ya kupata taarifa kwamba anatafutwa na vyombo vya dola. Ripoti hizo zinasema Kabwe kwa sasa amekimbilia nchi jirani.

Source: DW
Nchini Tanzania ripoti zilizozagaa katika baadhi ya vyombo vya habari zinasema Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo nchini Tanzania Zitto Kabwe ameondoka nchini humo, baada ya kupata taarifa kwamba anatafutwa na vyombo vya dola. Ripoti hizo zinasema Kabwe kwa sasa amekimbilia nchi jirani.

Source: DW
Ana taarifa za kiintelijensia kuwa atafanywa Kama Lema au kupewa sumu ya kuua pole pole wakati akihojiwa, utawala huu ni katili Sana.
 
Ana taarifa za kiintelijensia kuwa atafanywa Kama Lema au kupewa sumu ya kuua pole pole wakati akihojiwa, utawala huu ni katili Sana.

Huyu jamaa ananyota ya sumu.

Kipindi kile akiwa CHADEMA si alitaka kuwekewa sumu?
 
Back
Top Bottom