DW: Zitto Kabwe ametorokea nchi jirani

DW: Zitto Kabwe ametorokea nchi jirani

tuvute subira akijitokeza atatoa maelezo ya kina juu ya kinachoendelea,

sioni sababu ya kumlaumu wakati bado hatujasikia upande wake.
 
Akili ni kujiuliza sheria zinasemaje?

Leo Zitto,kesho Mbowe au Lissu...


sio eti ikiwa ni Zitto basi serikali ni nzuri...ikiwa Lema basi serikali ilaaniwe
 
Hatua moja tu Tanzania kuzalisha wakimbizi. EA Tanzanians are coming soon. Fungueni milango tunakuja.
 
Akibanwa ajue yanamkuta ya lema maana awamu ya tano imekataza watu kusema njaa inauma kwani wao hawana jiko la kuwapikia wanaojisikia njaa
 
Nchini Tanzania ripoti zilizozagaa katika baadhi ya vyombo vya habari zinasema Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo nchini Tanzania Zitto Kabwe ameondoka nchini humo, baada ya kupata taarifa kwamba anatafutwa na vyombo vya dola. Ripoti hizo zinasema Kabwe kwa sasa amekimbilia nchi jirani.

Source: DW
 
Maneno ya dhihaka kwa rais eti anakula na kuvaa bure wananchi wake wanakufa kwa njaa si sawa sawa.
 
Udikiteta at work.
Tulikua tunasikia tu kwa wenzetu jinsi wanasiasa wanavyokimbia kwa kuipinga serikali sasa imefika kwetu.
Bado moja tu ambayo itakamilisha mzunguka wa udikiteta nayo ni mauwaji ya wanasiasa
Kwani stage ya kuwafunga naona tumeisha ipita
 
Back
Top Bottom