DW: Zitto Kabwe ametorokea nchi jirani

DW: Zitto Kabwe ametorokea nchi jirani

Kwakweli mimi leo nimeshangaa sana kusikia yule kidume mpiga kelele anayepinga mafisadi na anayepinga ufisad uchwara kukimbia nchi yake

Kipi kimekukimbiza ndugu zito una kosa gan au unafuta kiki baada ya kukosa hoja

Kama kweli wewe ni mwanaume zito simama usikimbie unamuogopa nan nyie ndo mnatuambia sisi wananchi tuandamane wakati nyie mnakimbia hovyo hovyo tu tumechoka na nyie wanasiasa uchwara
Akili za kuambiwa changanya na za kwako
Usiwasikilize wanasiasa mkuu
Wengi wapo kwa maslahi yao
 
Kwakweli mimi leo nimeshangaa sana kusikia yule kidume mpiga kelele anayepinga mafisadi na anayepinga ufisad uchwara kukimbia nchi yake

Kipi kimekukimbiza ndugu zito una kosa gan au unafuta kiki baada ya kukosa hoja

Kama kweli wewe ni mwanaume zito simama usikimbie unamuogopa nan nyie ndo mnatuambia sisi wananchi tuandamane wakati nyie mnakimbia hovyo hovyo tu tumechoka na nyie wanasiasa uchwara
Sandarus
 
Anatafuta tytaa..yey ccm b..tunalijua hilo hawawez kumkamata ng'oo..kaz alyo pewa nikupunguza nguvu ya ukawa
 
Nanyupu, Kama kweli wewe mwanaume ruhusu vyama vifanye mikutano, ruhusu tume huru ya uchaguzi, ruhusu katiba ya warioba tuone kama utasimama!
Kwanini zito kaikimbia nchi yake
 
Kuna siku ACT walisema wanamtafuta,afu akatokea kusikojulikana,huyu jamaa ni double agent
 
Siasa zako My Zito hazijajengwa juu ya msingi imara,rejea mafundisho ya Yesu,ukijenga nyumba juu ya mchanga itachukuliwa na pepo au mafuriko,
Taarifa zinasema eti umetorokea nchi jirani,sioni mantiki kwa nini utoroke nchi,kama kweli wewe ni mtanzania na umezaliwa hapa sioni sababu ya kutoroka,
Nikikumbuka jinsi ulivyovuruga chama kilichokule Chadema kwa siasa zako zilizojaa tamaa na unafiki napata picha wewe in MTU was namna gani,
Siasa zako ni zile za kutafuta umaarufu na madaraka,nikijaribu kuangalia background yako hainishawishi kukuita mwanasiasa aliyekomaa,
Sijawahi kufanya kazi na wewe lakini nahisi waliofanya kazi na wewe umewapa shida sana,
Point unazojaribu kujenga kuhusu utawala sidhani kama zitakusaidia,nia na madhumuni yako ni kujijenga kisiasa kwa sababu uliharibu huko nyuma,tamaa ya madaraka na uchu unakusumbua sana Zito,siasa zako ni nyepesi sana sana,achana na kusumbuana na serikali ya Magufuli nafikiri hutaiweza,wanasiasa tumeamua kukaa pembeni sio kwa kupenda ila kutokana na hali halisi,
Utapotea moja kwa moja kama Dr SLA au utarudi? Tuachieni nchi yetu tumechoka na wanasiasa kama nyie
Hilo nineno sitamkubar kabisa mtu huyu mbinafsi aka m mimi..tim ya mtu mmoja..
 
Mkuu hilo ndio kosa lake kutokana na maelezo ya polisi.
Lakini tunajua anatafutwa kwa kusepa Mkulu anakula na kuvalishwa na pesa za walipa kodi
Kwani hilo kusema hivyo ni kosa? Si ni kweli watanzania tumemuajiri mkuu hivyo tunamlipa mshahara kwa kodi zetu.
 
Back
Top Bottom