DW: Zitto Kabwe ametorokea nchi jirani

DW: Zitto Kabwe ametorokea nchi jirani

Nchini Tanzania ripoti zilizozagaa katika baadhi ya vyombo vya habari zinasema Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo nchini Tanzania Zitto Kabwe ameondoka nchini humo, baada ya kupata taarifa kwamba anatafutwa na vyombo vya dola. Ripoti hizo zinasema Kabwe kwa sasa amekimbilia nchi jirani.
Chanzo DW.
tmp_24630-Screenshot_2017-01-26-14-04-21-731905703.png
 
Kwa mwenye hiyo Audio atuwekee japo vipande vipande
 
Bora yasije kumkuta ya kamanda Ben. Roho inaniuma. Kumpoteza mtt wa mwenzenu hihi hivi. Mola anakuona uliyefanya hivyo.
 
Mwanaume lazima uwe na plan B, just in case moja ikishindwa!
Mfano: A= mzizi aka ndumba
B= miguu, kutimkia sehemu salama au kupanda juu ya mti!...

Ngoja nimchungulie huko Facebook...hahahaha hawa ndio wanasiasa aliowatengeneza JK!
 
Hii kamata kamata imekuwa too much..

Na kwa wale waliokuwa kwenye mkutano wake hapo Kahama wanasema kwa jinsi zile defender nne zilizojaa polisi zilivyoingia pale uwanjani, ni wazi ni yeye walikuwa wanakuja kumnyakua..!!

Watu utafikiri hawapo kwenye Nchi yao bwana.
 
Nchini Tanzania ripoti zilizozagaa katika baadhi ya vyombo vya habari zinasema Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo nchini Tanzania Zitto Kabwe ameondoka nchini humo, baada ya kupata taarifa kwamba anatafutwa na vyombo vya dola. Ripoti hizo zinasema Kabwe kwa sasa amekimbilia nchi jirani.
Chanzo DW


Na nyie acheni ujinga ujinga wenu..kwani ni kitu gani cha ajabu mtu kusafiri nje ya nchi?
 
Acha upuuzi wewe
Ifike mahala utambue kiingireza ni lugha tu kama lugha zingine
Na sio kipimo ya intelligence
Km mtoto akifikisha miaka 2 hajatembea tunajiuliza anaumwa nini?.inakuwaje mtu ana PHD hujiulizi kwa nini hajui kingereza?.Uvccm msiwe mnatumika tu km mapulizo ya kiume muwe mna hoji pia?
 
Anatafutwa kwa lipi au anataka kujipaisha tu,nae anataka kiki
 
Siasa zako My Zito hazijajengwa juu ya msingi imara,rejea mafundisho ya Yesu,ukijenga nyumba juu ya mchanga itachukuliwa na pepo au mafuriko,
Taarifa zinasema eti umetorokea nchi jirani,sioni mantiki kwa nini utoroke nchi,kama kweli wewe ni mtanzania na umezaliwa hapa sioni sababu ya kutoroka,
Nikikumbuka jinsi ulivyovuruga chama kilichokule Chadema kwa siasa zako zilizojaa tamaa na unafiki napata picha wewe in MTU was namna gani,
Siasa zako ni zile za kutafuta umaarufu na madaraka,nikijaribu kuangalia background yako hainishawishi kukuita mwanasiasa aliyekomaa,
Sijawahi kufanya kazi na wewe lakini nahisi waliofanya kazi na wewe umewapa shida sana,
Point unazojaribu kujenga kuhusu utawala sidhani kama zitakusaidia,nia na madhumuni yako ni kujijenga kisiasa kwa sababu uliharibu huko nyuma,tamaa ya madaraka na uchu unakusumbua sana Zito,siasa zako ni nyepesi sana sana,achana na kusumbuana na serikali ya Magufuli nafikiri hutaiweza,wanasiasa tumeamua kukaa pembeni sio kwa kupenda ila kutokana na hali halisi,
Utapotea moja kwa moja kama Dr SLA au utarudi? Tuachieni nchi yetu tumechoka na wanasiasa kama nyie
wewe kama umechoka, choka wewe peke yako sio na wengine wachoke eti kwa kua wewe umechoka acha wanaosonga mbele waendelee" nakumbuka zitto mwenyewe alitoa mfano kua siasa ni kama "gari moshi" likiondoka dar es salaam kuelekea kigoma njiani kuna wanaoshuka na wanaopandia vituo vya njiani nao wengine
hawifiki pia wanaoshukia vituo vingine vya njiani kabla ya kufika mwisho wa safari kigoma" sasa kama wewe umechoka na safari acha wanaoendelea na safari waendelee usilete porojo"
 
Back
Top Bottom