Dushelele Lake, Linanitia Hofu...

Dushelele Lake, Linanitia Hofu...

usijipe tabu wewe mdada kwani mume ni yeye tu? me mwenyewe sijaoa ha aha aha haaa!!

ushauri wangu mueleze mama yako na shangazi zako ukweli halisi usijeingia kwenye matatizo coz ukishaolewa hata likiwa kama mkono lazima ucheze nalo tu!! asa jiulize kama kila muda unavyoenda linaongezeka litafika wapi baada ya miaka 2 ijayo??

and me am sure anatumia ali aliwahi kutumia dama na baadae anaweza akawa hasimamish vizur ikawa shida X2
 
Naomba kutoa ushauri wa kitaalamu, Kawaida dushelele unaposimama huwa ni msukumo wa damu kujaa na kukimbilia mshipa huo muhimu kwenu dada zetu!
Hivyo huenda jamaa akawa na ongezeko kubwa la ukuaji wa mishipa katika ukuwaji wake ukiambatana na nguvu kubwa ya msukumo wa damu!
K yako itapanuka lakini huyo hakufai kimaumbile since hamumatch ndoa ina changamoto nyingi sana ukichanganya na hilo haitadumu kwani munapokwazana tendo hilo mara nyingi hurejesha amani so nalo likiwa changamoto utabreak muda mfupi baada ya ndoa!
Ukweli husaidia wambie tu kua jamaa ana kitu ya over size!!!!!!!!!!!



Sawa Nimekuelewa
 
usijipe tabu wewe mdada kwani mume ni yeye tu? me mwenyewe sijaoa ha aha aha haaa!!

ushauri wangu mueleze mama yako na shangazi zako ukweli halisi usijeingia kwenye matatizo coz ukishaolewa hata likiwa kama mkono lazima ucheze nalo tu!! asa jiulize kama kila muda unavyoenda linaongezeka litafika wapi baada ya miaka 2 ijayo??

and me am sure anatumia ali aliwahi kutumia dama na baadae anaweza akawa hasimamish vizur ikawa shida X2



Kupenda Nako Mzigo.... Sijui Nifanyaje
 
Pole aise,kama utakosa tiba ya kumaliza tatizo la ukuaji huo ni bora ukaachana nae,Ukijifanya Kukomaa atakuharibu Kizazi bure
 
sasa huoni kama ni bahati hilo dushelele wenzio wanalilia hawalipati
Ndo ninapowashangaa hawa wadada.... Wengine kutwa kucha kulalamikia vibamia na wengine kUtwa kucha kulalamikia midushelele... Sa si mkutane m'badilishane.... NAJUWA HATA MKIBADIRISHANA MTAENDELEA KULALAMA TU
 
Nina Mchumba Wangu, nina uhusiano naye takribani mwaka sasa.

Nampenda, na naamini ananipenda(si usemei moyo), kwa kuwa tunaishi kwa maelewano na upendo wa hali y juu.

Mwezi Jana tu, alileta barua ya kishika uchumba hapa kwetu, na imepokelewa vizuri, lakini bado haijajibiwa.

Na Mtu anaye kwamisha kujibiwa kwa barua hiyo ni mimi mwenyewe.
Natamani nitoe jibu la NDIYO, lakini napata hofu juu ya hatma ya ndoa yangu.

Kiukweli, Dushelele la bwana huyo, huwa nalihisi linaongezeka ukubwa kila kukicha, mwanzoni wakati tunaanza nilikuwa naona tuna match kwenye papuchi zetu.

Lakini Kadri Siku Zinavyo songo mbele, naona dushelele lake linazidi kukuwa, kiasi ambacho naanza kusikia maumivu wakati wa mechi.

Nimejaribu Kumuuliza, labda kama ametumia dawa, lakini amekataa, na kudai hata yeye mwenyewe hajui kwanini hali iko hivyo.

Sasa Niko Njia Panda, Najiuliza Nikikubali Kuolewa Nae, Huko Kwenye Ndoa Mambo Yatakuwaje?

Na kama nikikataa, je nitawapa sababu gani wazaz wangu???

Ndoa Naitaka, Lakini Mmmhh...?!!

Utampata mwingine wa kuhimili ukubwa wa k yako kweli? Maana kishakutanua vya kutosha, hutaridhika huko uendako.
 
Wanaume mnatakiwa kutambua kuwa sio wanawake wote wanamind dushelele kubwa. Huyo inawezekana alitumia dawa amabayo side effects zake ndio hiyo, kuongezeka ukubwa kila siku. Kama alitumia dawa jipe muda, mpaka hapo itakapo expire uangalie mambo yataendaje. Pia mshirikishe hofu uliyo nayo inawezekana akawa na soln ya tatizo hilo.
 
Eehh...
Niongeze Saizi Ya Mpwehele Wangu, Mimi Huwa Nasikia Wanaume Wanapenda Ndogo Ndogo, Ama?

Ndo na wewe liifanyia editing ili iwe ndogo ndogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom