Dunia ni gereza la roho za wafu

Dunia ni gereza la roho za wafu

haya maswali yote yanatokana na kwamba bibadamu tumeshindwa kuukubali ukweli mchungu kuhusu kifo, ndio maana tunatengeneza nadharia kibao za kufikirika ili kujifariji kuwa kuna cha zaidi baada ya kifo.
lakini ukweli unabaki palepale, binadamu ni myama kama wanyama wengine, kabla ya kuzaliwa haukuwepo kabisa, kuwa conscious kuwa wewe ni wewe haipo kwa binadamu pekee hata sokwe na tembo wanahuo uwezo. baada ya kifo it's over!

N.B ushauri wangu,
usivumilie upuuzi na dhiki duniani kwa kujipa moyo kuwa utaenda "kula bata" baada ya kifo, haya ndio maisha yako pekee hivyo basi jaribu kuhakikisha you get the best out of it. Nchi nyingi masikini zinaendelea kuoza kwenye umasikini na siasa za hovyo kwakuwa watu wake hawaoni umuhimu wa kupambana kubali hali kwani wanaamini wataenda "kupumzika" paradiso/peponi. Haya ni mawazo ya kikoloni yaliyoletwa na wanyonyaji wetu ili wao wafaidi maisha wakati sisi tunangojea kufaidi baada ya kifo.

Wewe ni mmoja wa wale wenye karma ya kijinga ya kuamini amini tu. Kuamini kuwa wewe ni kama sokwe na ukifa its over na kuamini kuwa Mungu ndiye aliyekuumba tumboni mwa mama yako, hatuwezi kukubadili maana ni karma yako, tena ni laana.
Kwa hiyo hata tukienda hatua nyingine tukakuambia kuwa Mungu unayemfahamu wewe haumbi tena kama alivyofanya kwa Adam ha Hawa si utashaangaa kufa na kusema tunamkufuru Mungu?

Au ukiambiwa unalowaza, tayari kuna milions of people wanawaza kitu hicho hicho si utabisha tu kama jiwe? Sasa hii inaitwa TOTAL MIND, au universal mind kwamba sisi wote tuko connected kwa sababu ni roho moja yenye vipande vingi vikakaa kwa kila mmoja wetu utakubali vipi wakati ndio wale wa kusema tu ndioooooo......soma kitu kinaitwa omnipotent, omniscient and onmipresent.

Hebu kubali tu kwamba reicarnation sio myth, bali ni uhalisia. Sio kama tukifa tuaenda kula bata hapana. Tutakuwa kwenye bliss ..yaani raha ya milele au tutakuwa kwenye mateso milele. Maana yake ni kuwa kwa mfano kama una jambo linokusumbua , kinachosusumbuka ni conciuous mind yako ambayo itaiaminisha unconscious mind yako ambayo huwezi itenganisha na roho yako. Roho italibeba lilivyo na ukifa kabla ya kusolve huo usumbufu ukizaliwa tena utaendelea kusumbuka kwa jambo hilo hilo hadi utatue.

Hebu waza ni kwa nini kuna watu wanapenda kuwa wanamuziki wakati wengine hawataki hata kusikia, na hao wanaopenda wanaamini tu kuwa ukiwa mwanamuziki utakuwa tajiri. Kiuhalisia sio kweli, lakini atafanya tu kwa sababu maisha ya mwanzo alikuwa akihangaikia hilo na hakupata, sasa anaendelea kusaka hadi kieleweke. Hii ndio karma. Kuna mifano mingi tu tuayoshuhudia hata kwa familia zetu, na kwa taarifa ni kwamba ukifa sio lazima ukazaliwe tena ulaya , au jirani, unawewa kuzaliwa kwenye ukoo au familia hiyo hiyo na hii haitokei kwa muda mfupi. Yaweza kuchukua hata miaka 20-50. Ila kwa sababu ya ubishi utasema ni genetic. Ukiwa na nafasi nitakueleza tofauti ya genetic na Karma bure kama shule za magufuli
 
Sasa idadi ya watu inaongezeka

Sasa je nafsi nazo zinaongezeka ili kuendana na kazi ya ongezeko la idadi ya bodies miiili au na kama ndiyo zinatengenezwa kutoka wapi?

So ukila bata Leo kesho msoto kesho kutwa bata....circle ka hiyo ,bas tu relax tusubir muda (circle) ya bata zetu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha sasa ivi tutende mema kwenye huu msoto ili tukifa badae tuzaliwe tule bata aise..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii inaitwa Deja'Vu. Unafanya jambo ambalo unahisi kabisa ulishawahi kuliona unalifanya katika namna ile ile.

Hapo nafsi yako inakufunulia kuwa, maisha yako yalishachorwa na kupangiliwa kabla haujazaliwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi kuna matukio yanatokea najua kabisa ilishawahi kutokea ivi lakini sio na hawa in akina Mani ndo nakua sijui.yaan nakuwepo kuwepo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni mmoja wa wale wenye karma ya kijinga ya kuamini amini tu. Kuamini kuwa wewe ni kama sokwe na ukifa its over na kuamini kuwa Mungu ndiye aliyekuumba tumboni mwa mama yako, hatuwezi kukubadili maana ni karma yako, tena ni laana.
Kwa hiyo hata tukienda hatua nyingine tukakuambia kuwa Mungu unayemfahamu wewe haumbi tena kama alivyofanya kwa Adam ha Hawa si utashaangaa kufa na kusema tunamkufuru Mungu?

Au ukiambiwa unalowaza, tayari kuna milions of people wanawaza kitu hicho hicho si utabisha tu kama jiwe? Sasa hii inaitwa TOTAL MIND, au universal mind kwamba sisi wote tuko connected kwa sababu ni roho moja yenye vipande vingi vikakaa kwa kila mmoja wetu utakubali vipi wakati ndio wale wa kusema tu ndioooooo......soma kitu kinaitwa omnipotent, omniscient and onmipresent.

Hebu kubali tu kwamba reicarnation sio myth, bali ni uhalisia. Sio kama tukifa tuaenda kula bata hapana. Tutakuwa kwenye bliss ..yaani raha ya milele au tutakuwa kwenye mateso milele. Maana yake ni kuwa kwa mfano kama una jambo linokusumbua , kinachosusumbuka ni conciuous mind yako ambayo itaiaminisha unconscious mind yako ambayo huwezi itenganisha na roho yako. Roho italibeba lilivyo na ukifa kabla ya kusolve huo usumbufu ukizaliwa tena utaendelea kusumbuka kwa jambo hilo hilo hadi utatue.

Hebu waza ni kwa nini kuna watu wanapenda kuwa wanamuziki wakati wengine hawataki hata kusikia, na hao wanaopenda wanaamini tu kuwa ukiwa mwanamuziki utakuwa tajiri. Kiuhalisia sio kweli, lakini atafanya tu kwa sababu maisha ya mwanzo alikuwa akihangaikia hilo na hakupata, sasa anaendelea kusaka hadi kieleweke. Hii ndio karma. Kuna mifano mingi tu tuayoshuhudia hata kwa familia zetu, na kwa taarifa ni kwamba ukifa sio lazima ukazaliwe tena ulaya , au jirani, unawewa kuzaliwa kwenye ukoo au familia hiyo hiyo na hii haitokei kwa muda mfupi. Yaweza kuchukua hata miaka 20-50. Ila kwa sababu ya ubishi utasema ni genetic. Ukiwa na nafasi nitakueleza tofauti ya genetic na Karma bure kama shule za magufuli
mimi ndio nina karma ya kuaminiamini?? nilichokiandika kinaweza kuwa proved, hata wewe ungelikua na elimu pamoja na vitendea kazi ungeweza kuthibitisha nikichokiandika. Lakini kwa upande mwingine wewe ndio una karma ya kuaminiamini kwakua yoote uliyoyaandika yako based na imani, hakona proof yoyote!
(BTW unapoteza muda wako kwenye huo u-buddha, ni total crap)
 
Kwahiyo ina maana iwapo mimi ni womanizer kupindukia kuna uwezekano nilikua mwanamke katika maisha yaliyopita au nitazaliwa mwanamke maisha yajayo ili wahuni waniburuze kama ninavyowaburuza now?
Though Reincarnation and Deja'vu are just myths to me
Vice versa is true. Deja'Vu is real.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana kukawa na ukweli ndani yake...

Sababu kuna nyakati unaweza kwenda mahali ambapo hukuwahi kufika ndiyo mara yako ya kwanza lakini ghafla ukakukumbuka kama ulishawahi kuja eneo hilo na kufanya kitu kile kile unachofanya kwa wakati huo... hiyo ipo sana...


Cc: mahondaw
 
Wewe ni mmoja wa wale wenye karma ya kijinga ya kuamini amini tu. Kuamini kuwa wewe ni kama sokwe na ukifa its over na kuamini kuwa Mungu ndiye aliyekuumba tumboni mwa mama yako, hatuwezi kukubadili maana ni karma yako, tena ni laana.
Kwa hiyo hata tukienda hatua nyingine tukakuambia kuwa Mungu unayemfahamu wewe haumbi tena kama alivyofanya kwa Adam ha Hawa si utashaangaa kufa na kusema tunamkufuru Mungu?

Au ukiambiwa unalowaza, tayari kuna milions of people wanawaza kitu hicho hicho si utabisha tu kama jiwe? Sasa hii inaitwa TOTAL MIND, au universal mind kwamba sisi wote tuko connected kwa sababu ni roho moja yenye vipande vingi vikakaa kwa kila mmoja wetu utakubali vipi wakati ndio wale wa kusema tu ndioooooo......soma kitu kinaitwa omnipotent, omniscient and onmipresent.

Hebu kubali tu kwamba reicarnation sio myth, bali ni uhalisia. Sio kama tukifa tuaenda kula bata hapana. Tutakuwa kwenye bliss ..yaani raha ya milele au tutakuwa kwenye mateso milele. Maana yake ni kuwa kwa mfano kama una jambo linokusumbua , kinachosusumbuka ni conciuous mind yako ambayo itaiaminisha unconscious mind yako ambayo huwezi itenganisha na roho yako. Roho italibeba lilivyo na ukifa kabla ya kusolve huo usumbufu ukizaliwa tena utaendelea kusumbuka kwa jambo hilo hilo hadi utatue.

Hebu waza ni kwa nini kuna watu wanapenda kuwa wanamuziki wakati wengine hawataki hata kusikia, na hao wanaopenda wanaamini tu kuwa ukiwa mwanamuziki utakuwa tajiri. Kiuhalisia sio kweli, lakini atafanya tu kwa sababu maisha ya mwanzo alikuwa akihangaikia hilo na hakupata, sasa anaendelea kusaka hadi kieleweke. Hii ndio karma. Kuna mifano mingi tu tuayoshuhudia hata kwa familia zetu, na kwa taarifa ni kwamba ukifa sio lazima ukazaliwe tena ulaya , au jirani, unawewa kuzaliwa kwenye ukoo au familia hiyo hiyo na hii haitokei kwa muda mfupi. Yaweza kuchukua hata miaka 20-50. Ila kwa sababu ya ubishi utasema ni genetic. Ukiwa na nafasi nitakueleza tofauti ya genetic na Karma bure kama shule za magufuli
Good analysis
. mkuu kama itakupenda hebu eleza hapa hiyo tofauti ya karma vs

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mimi ndio nina karma ya kuaminiamini?? nilichokiandika kinaweza kuwa proved, hata wewe ungelikua na elimu pamoja na vitendea kazi ungeweza kuthibitisha nikichokiandika. Lakini kwa upande mwingine wewe ndio una karma ya kuaminiamini kwakua yoote uliyoyaandika yako based na imani, hakona proof yoyote!
(BTW unapoteza muda wako kwenye huo u-buddha, ni total crap)
Tumefika tulipo kwa ajili ya dead woods kama wewe
 
Natanguliza shukuruni kwa wana JF,
Huu mtazamo wa MR/MRS Ambokile Amanzi siku moja mwaka 2018 niliupata kuuona katika sizoni moja hivi jina limenitoka kidogo ila nakumbuka mwishoni wanamalizia na WHITE SNAKE,
kulikuwa na wahusika wawili ambao walikuwa wapenzi huko nyuma na baadae wakazaliwa upya na wakatupwa mabara tofauti ila mwishowe walikuwa katika mahusiano tena ya kimapenzi ndipo kila ambacho walikuwa wanakifanya wakahisi kama walishawahi kufanya huko nyuma labda ndiko amepata elimu hii aloiweka mezani,

Mtazamo wangu, mimi hainiingii akilini hata kidogo kutokana na mfululizo wa maswali ambayo yanakimbiana na Dhana au Wazo la mtoa mada,

1, je binadam wa kwanza alipewa roho ya nani? Ikiwa yeye ni first of the all.

2, Incase of Population dhana au wazo hili linakosa mashiko kwa kuwa idadi ya watu sasa hivi ni kubwa tofauti na huko nyuma, jee unataka kuniambia roho moja inapandikizwa kwa mtu zaidi ya mmoja?
nawapongeza wale walochangia kuhusu idadi ya watu kama hoja yao...

3, suala la umri, ni wazi kuwa zamani watu walikuwa na uwezo wa kuishi hadi miaka 300 nk tofauti na zama za sasa, jee unawezaje kuishi kwa kipindi kifupi cha miaka 40 na ukayafanya yale ya nyuma yaani kinyume chake mfano; mwizi kuwa Mwema?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waafrika hatuko tayari kujifunza vitu vipya na ndio maana hadi leo tumebaki nyuma sana! Hili jambo hata wapigania haki za mtu mweusi kule Ughaibuni linawakatisha sana tamaa. Mimi hiki naona kama ni Kilema na Laana!
Ni ishara kuwa tulikuwa super power hapo awali. Sasa tunapitia yale tuliyowatendea weupe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binadamu huzaliwa, hukua, na hufa. Lakini binadamu huyu huzaliwa pasipo ufahamu wa chanzo chake na kuvaa umbo la mwili lililotengenezwa kwa yai la mama na mbegu ya baba.

Kabla hatujaendelea na uchambuzi wa mada, unaweza kujiuliza maswali yafuatayo ;

Je, kabla ya kuzaliwa ulikuwa wapi?

Je, ni kitu gani kinakufanya uhisi kuwa wewe ni wewe?

Je, kwanini hauhisi kwamba wewe sio yule mwingine, lakini wewe ni wewe?

Kitu gani kinakufanya kuwa wewe?

Je, wewe ni nani? Wewe ni mwili? wewe ni hisia ya kujisikia kuwa wewe ni wewe?

Je, ukifa, wewe unakwenda wapi?

Je, maiti yako ni wewe?

Baada ya maswali machache ya falsafa juu ya chanzo cha binadamu, tunabaini kuwa, binadamu ni viumbe wanaozaliwa na kufa, na huzaliwa tena na tena katika namna tofauti, miili tofauti, na maeneo tofauti katika mchakato uitwao incarnation.

Mwili wa binadamu unapokufa, nguvu au nafsi hai inatoka ndani ya mwili na kupitia mchakato mpya wa kutafuta makazi ndani ya mwili mwingine.

Nafsi zetu zimefungwa na adhabu endelevu ya karma ambayo inatufanya tuyalipe matendo yetu katika miili mipya baada ya kufa na kuzaliwa upya.

Baada ya kufa, nafsi yako itachagua maisha ambayo yatakulipa kisasi ama yatakurudishia wema kwa kadiri ya maisha yako kabla ya kifo. Kama ulikuwa muuaji katika maisha ya mwanzo, basi baada ya kuzaliwa upya nafsi yako itachagua maisha ya mtu mpya mwenye hali ya unyonge ili kusudi uadhibiwe kwa kisasi kile kile cha mauaji.

Vivyo hivyo, maisha ya sasa ya mtu mnyonge yatalipwa kwa wema na furaha katika maisha yajayo ndani ya mwili mpya.

Hii ndio dhana ya karma, ambayo huenda ina uhusiano wa moja kwa moja na mafundisho ya mbingu na jehanamu. Ama msemo wa wahenga usemao " malipo ni hapa hapa duniani" . Kimsingi, nafsi zetu zinachukua miili mipya kulipa karma kwa kadiri ya matendo yetu.

Incarnation inapotokea, nafsi yako inakuwa imeshafahamu maisha yako yote yajayo katika mwili mpya, na hivyo kukufanya upitie hatua zote za hatma yako. (destination).

Mchakato huu, unahusiana moja kwa moja na kitu kinachoitwa DEJA'VU, yaani kumbukizi zinazompata mtu ghafla na kutambua kuwa anafanya mambo ambayo alishakwisha kuyafanya.

Kumbukumbu hizi za DEJA'VU zinatupa taarifa kuwa maisha yetu yalishachorwa na nafsi zetu kabla hatujaja duniani. Huu ni ufunuzi wa kiroho unaotukumbusha kuwa tunapitia mambo ambayo yalishakwisha kuonwa na kupangiliwa.

Binadamu ni roho zilizotekwa ndani ya gereza la dunia, na ni roho ambazo zitaendelea kuja tena na tena katika miili tofauti ili kulipa KARMA na ku-experience maisha mapya tofauti na yale kabla ya kifo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Je unaweza kunipa mfano hata wa mtu mmoja unae mjua alie kufa na kuzaliwa katika huo mwili mwingine wa unyonge na ukaadhibiwa ?
 
Ukifa maiti yako inakuwa nani??
➡ Inakuwa mfu ...
Unaweza ukahisi kuwa wewe ni maiti?
➡ Huwezi, nafsi inaondoka ...
Yule wewe anaenda wapi baada ya kifo chako?
➡ Anarejea mavumbini, nafsi inarudi ilikotoka...
Yule wewe anakuwa wapi kabla haujazaliwa?
➡ Kwenye via vya uzazi wa mzazi...
Uliweza kujihisi kuwa wewe ni wewe kabla hujazaliwa?
➡ Never happen hii kitu...
Na unajuaje kuwa wewe ni wewe baada ya kuzaliwa?
➡ Huwezi kujua mpaka uanze kujitambua...
Kwanini usijihisi kuwa wewe ni yule mwingine?
➡ Mwili umepewa nafsi moja tu ya kujitambua...
Hisia ya wewe ni wewe inatoka wapi?
➡ Kwenye nafsi hai niliyo nayo
 
Kuna mambo ukikaa kuyafikiria unaona kabisa hayakusaidii chochote.
Ni vipi kwa yule aliyekaa chini na kutafakari zaidi kuwa pengine kuna maisha nje ya dunia na akafanikiwa mpaka leo hii wamefanikiwa kwenda kwenye sayari nyingine na kuna uwezekano miaka ya mbele kukawa na maisha ya binadamu?

Je kama angekuwa na mawazo mgando kama yako ingekuwaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hali ya kuhisi kwamba umewahi kuwepo sehemu ambayo upo kwa muda huo na ukifanya jambo lile lile unalofanya muda huo ni kitu halisi kabisa na sio porojo.

Binafsi hali hiyo hunitokea mara nyingi na hudumu kwa Sekunde,ghafla unaanza kutapatapa usipate majibu.
ahaa hiyo,ni kawaida tu
sometime ni hisia upelekea hayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni vipi kwa yule aliyekaa chini na kutafakari zaidi kuwa pengine kuna maisha nje ya dunia na akafanikiwa mpaka leo hii wamefanikiwa kwenda kwenye sayari nyingine na kuna uwezekano miaka ya mbele kukawa na maisha ya binadamu?

Je kama angekuwa na mawazo mgando kama yako ingekuwaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Una ushahidi kuwa walienda hizo sayari au wamekusimulia tu?

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
 
si kweli, kila kiumbe huja duniani kikiwa timilifu kwa maana mwili roho na nafsi vipya. kwa nini nasema hivi?

jiulize miaka 50 nyuma popolution ya watu duniani ilikuwa ni chini ya nusu ya ilivyo sasa. Sasa kwa hii idadi iliyoongezeka je nafsi ama roho zao zimetoka wapi??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom