Dunia ni gereza la roho za wafu

Dunia ni gereza la roho za wafu

Pamoja na kufikili hizi fikirishi mpya na kujua ukifa utakuwa (panzi au ndezi) kutokana na matendo yako, still UNAKUFA NA NAFSI inarejea mavumbini.

Hawa jamaa wa hizi mada au elimu hii nawaona sana wakiwa na ethics flani ambayo wengine ndiyo wale wanaosema hakuna Mungu.
Ukifa maiti yako inakuwa nani??

Unaweza ukahisi kuwa wewe ni maiti?

Yule wewe anaenda wapi baada ya kifo chako?

Yule wewe anakuwa wapi kabla haujazaliwa?

Uliweza kujihisi kuwa wewe ni wewe kabla hujazaliwa?

Na unajuaje kuwa wewe ni wewe baada ya kuzaliwa?

Kwanini usijihisi kuwa wewe ni yule mwingine?

Hisia ya wewe ni wewe inatoka wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hali ya kuhisi kwamba umewahi kuwepo sehemu ambayo upo kwa muda huo na ukifanya jambo lile lile unalofanya muda huo ni kitu halisi kabisa na sio porojo.

Binafsi hali hiyo hunitokea mara nyingi na hudumu kwa Sekunde,ghafla unaanza kutapatapa usipate majibu.
Deja'Vu huja kama upepo na kupotea kama kivuli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hyo Dejavu hunitokea mara nyingi kwa mambo mengi. In short Hii dunia ina controliwa na ulimwengu wa roho ndo mana kwenye Bible Kuna mstari unasema kabla hujatungwa tumboni mwa mama yako nalikujua. Tunakuja duniani kufanya mambo ambayo yalishatendeka kwenye ulimwengu wa roho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biblia, neno kamili la MUNGU, linafundisha juu ya,kuishi mara moja duniani na baada ya hapo kuisubiri hukumu ya haki ya Mungu Jehova kulingana na aidha ulikubali kazi yake pale msalabani alipoteswa na kufa kwa ajili ya dhambi zako na siku ya tatu kufufuka, ama ulikataa wokovu wake.
Ukimkataa Yesu leo, ukifa hatma yako ni kuteseka milele motoni na ukimkubali hatma yako ni kuishi milele na Mungu. Amua hii leo, na kama unapenda nikuongoze katika maombi ya toba basi ni PM.
BAKI UMEBARIKIWA.
Eliah Geofrey Kamwela
#Divine_Solutions_Carrier
 
Duhhh!!! nahisi nafsi yangu ilipotea kuibukia kwenye serikali ya mr. STONE maana ni mateso makubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huenda wewe ni marehemu mzungu aliyegundua technolojia ya kurusha ndege miaka ya kale!

Baada ya vifo vyako vingi, nafsi yako ikavaa miili zaidi ya ishirini kabla hujazaliwa katika mwili ulionao sasa.

Nafsi yako inataka kuonja hali fulani ya maisha katika mwili wako mpya. Na ukishakufa sasa hivi, huenda utajikuta kuwa WEWE uko katika mazingira tofauti kabisa.

ipo siku utahisi kuwa WEWE ni WEWE katika mwili mpya kabisa na usifahamu kuwa ulishawahi kuishi kwenye ardhi ya magufuli. Na huenda magufuli mpya akawa huko ulipo pia katika namna mpya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biblia, neno kamili la MUNGU, linafundisha juu ya,kuishi mara moja duniani na baada ya hapo kuisubiri hukumu ya haki ya Mungu Jehova kulingana na aidha ulikubali kazi yake pale msalabani alipoteswa na kufa kwa ajili ya dhambi zako na siku ya tatu kufufuka, ama ulikataa wokovu wake.
Ukimkataa Yesu leo, ukifa hatma yako ni kuteseka milele motoni na ukimkubali hatma yako ni kuishi milele na Mungu. Amua hii leo, na kama unapenda nikuongoze katika maombi ya toba basi ni PM.
BAKI UMEBARIKIWA.
Eliah Geofrey Kamwela
#Divine_Solutions_Carrier
Sadaka tunaweka wapi?
 
Biblia, neno kamili la MUNGU, linafundisha juu ya,kuishi mara moja duniani na baada ya hapo kuisubiri hukumu ya haki ya Mungu Jehova kulingana na aidha ulikubali kazi yake pale msalabani alipoteswa na kufa kwa ajili ya dhambi zako na siku ya tatu kufufuka, ama ulikataa wokovu wake.
Ukimkataa Yesu leo, ukifa hatma yako ni kuteseka milele motoni na ukimkubali hatma yako ni kuishi milele na Mungu. Amua hii leo, na kama unapenda nikuongoze katika maombi ya toba basi ni PM.
BAKI UMEBARIKIWA.
Eliah Geofrey Kamwela
#Divine_Solutions_Carrier
INCARNATION ndio mbingu na jehanamu kupitia malipo ya KARMA.

Huenda fumbo la mbingu na jehanamu unapaswa kulitafakari upya katika falsafa mpya ndugu yangu mtumishi wa bwana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hyo Dejavu hunitokea mara nyingi kwa mambo mengi. In short Hii dunia ina controliwa na ulimwengu wa roho ndo mana kwenye Bible Kuna mstari unasema kabla hujatungwa tumboni mwa mama yako nalikujua. Tunakuja duniani kufanya mambo ambayo yalishatendeka kwenye ulimwengu wa roho

Sent using Jamii Forums mobile app
Naamini nafsi yako ndio hiyo nguvu unayoisema!!

Nguvu iwezayo kuchagua miili mipya na kupangilia hatima ya maisha yako katika namna mpya kabla haujazaliwa.

Deja'Vu inathibitisha uwepo wa nguvu inayoiongoza miili yetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huenda wewe ni marehemu mzungu aliyegundua technolojia ya kurusha ndege miaka ya kale!

Baada ya vifo vyako vingi, nafsi yako ikavaa miili zaidi ya ishirini kabla hujazaliwa katika mwili ulionao sasa.

Nafsi yako inataka kuonja hali fulani ya maisha katika mwili wako mpya. Na ukishakufa sasa hivi, huenda utajikuta kuwa WEWE uko katika mazingira tofauti kabisa.

ipo siku utahisi kuwa WEWE ni WEWE katika mwili mpya kabisa na usifahamu kuwa ulishawahi kuishi kwenye ardhi ya magufuli. Na huenda magufuli mpya akawa huko ulipo pia katika namna mpya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Duhhh!!! inatisha sana hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili ndio tatizo la Waafrika wengi I,e kile ulichoaminishwa tangu utotoni unajua basi ndio mwisho wa maarifa_hauko tayari kupokea elimu mpya.pathetic

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa unakuta jitu limekumbatia kitu ati kwasababu amerithi kwa baba yake ni ujinga mtupu kubadilisha fikra ya mtu Kama huyo ni ngumu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KARMA ndio inayoitumia na kuielekeza nafsi yako jinsi ya kulipa matendo yako katika namna nyingine ya maisha na katika mwili mpya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo ina maana iwapo mimi ni womanizer kupindukia kuna uwezekano nilikua mwanamke katika maisha yaliyopita au nitazaliwa mwanamke maisha yajayo ili wahuni waniburuze kama ninavyowaburuza now?
Though Reincarnation and Deja'vu are just myths to me
 
inawezekana kabisa ni karma na inawezekana pia kabla ya kifo chako uliishi maisha ya kifahari dunia nyingine au bara lingine, na kwamba nafsi yako ilinuia ku-experience maisha ya ufukara katika mwili mpya.

Hauwezi kufahamu kuwa uliishi maana memory yako inafutwa kabisa kukuwezesha kuishi maisha mapya bila marue rue ya kale.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mkuu nitatokaje kwenye aya maisha.?

Au nivumilie adi nife tena mkuu..? Labda naeza kwenda ishi mbele ...Au!!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom