Wewe ulisema Big Bang na Black Hole imeelezewa katika Qur'aan mimi nikasema hakuna hizo habari katika Qur'aan,mintarafu Big Bang nilikueleza huko nyuma Wanasayansi hawaelezi ni kwanini na nani aliye sababisha hilo,kufanya kwao hivyo kunaondoa uwepo wa Big Bang katika Qur'aan kwani kitendo kile ni Allah aliziachanisha kwa amri yake.Mbona sasa hueleweki tena?!!, mimi nilikuambia kuwa maelezo ya wanasayansi juu ya the Big bang na the black hole "yanalandana" na maneno ya Qur'an - wewe ukasema sikuwaelewa hao wanasayansi ndipo nikataka wewe sasa unieleweshe jinsi ulivyowaelewa, sasa hutaki ?!! 🤣🤣.
Pili,kitu fulani kuwa kama kitu fulani hicho kitu sio sawa na hicho,bali vinakiwa vitu viwili kando.
Mimi msimamo wangu uko pale pale,na sio kwamba sieleweki haya ni muendelezo tu.