Kaka hivi hizi kauli unaziegemeza kwa nani ? Maana naona kama unampangia Allah cha kufanya.haiwezekni Allah atoe mfano wa Aya ya kiama ailete kabla ya kiama.huo sio usahihi.
Unaweza kuniambia ni mwanachuoni gani aliyekitangulia katika kauli hizi,ili nimsome yeye maana naona unazidi kukosea na kukaa mbali na ukweki.
Naomba unitajie jina la mwanachuoni aliye kitangulia katika hizi kauli zako.