Dunia inazungukaje?

haiwezekni Allah atoe mfano wa Aya ya kiama ailete kabla ya kiama.huo sio usahihi.
Kaka hivi hizi kauli unaziegemeza kwa nani ? Maana naona kama unampangia Allah cha kufanya.

Unaweza kuniambia ni mwanachuoni gani aliyekitangulia katika kauli hizi,ili nimsome yeye maana naona unazidi kukosea na kukaa mbali na ukweki.

Naomba unitajie jina la mwanachuoni aliye kitangulia katika hizi kauli zako.
 
(1) Kaka, kwanza naomba maelezo ya Ibn kathir juu ya hiyo aya 21:33, yakinukuu maneno ya mtume. Ili nipate kujifunza elimu niliyokuwa siijui.

(2) Naomba unifafanulie jinsi ulivyozielewa kwa mujibu wa wanasayansi the Big bang na the black hole, kwani labda mimi sikuwaelewa hao wanasayansi.

Mimi, kaka nataka leo niwe mwanafunzi wako, nitafurahi sana wewe uwe mwalimu wangu.
sayansi ni muhimu sana kuisoma na kupekua katika Qurani pia kwa sabbu kuna lundo kubwa La waslmu ambao wanaikataa Qurani kwa ajili ya sayansi walizosoma.

sasa Qurani ina falsafa pana sana ambazo zimefanya leo kuwe na tafsiri nyingii na utakuta aya inatafsiri zaidi ya tano na utaambiwa zote ni sahihi.kwa nini ?

ni kwa sabbu falsafa ya Qurani ni pana sana na hivyo kufanya kil tafsiri iingie katika maan ya aya hiyo. na hili liko wazi.

kuna mdogo wangu mmoja nilimuabia ya kuwa Mtume aasema peponi daraja zake baina ya pepo na pepo basi upana wake ni kama mbingu na ardhi.
akashangaa kwa kuona ule ukubwa baina ya mbingu na ardhi.

nikamuambia dunia ndogo kuliko sehemu iliyobakia(outer space)

nimauambia ya kuwa wanasayansi wanasema m2aga wa jua unasafiri kwa 300,000,000m/s

kwa maana ndai ya sekunde moja tu mwanga unatembea mita milioni 300(kama sikosei)

na wakatj huo huo j
mwanga wa jua kutoka katkka jua mpaka duniani hutumia dakika 8.

nikmuabia ukipiga hesabu unaonaje umbali baina ya jua na dunia.?

akashangaa nikamuambia soma sayansi utakuja kupata faida kubwa sana juu ya dini yako.

kaka mokaze kwanyakati za sasa watu wanaavha dini kwasaau ya sayansi wakati kuna uwezekano wa kutumia sayansi kuwamakinisha watu katika dini hii.

kwa allah siku moja ni sawa na miaka 1000 tunayohesabu. hili kwa waislmu wajinga wajinga wasiojifunzadini yao watapinga. lakini kuna nadharia za kisayansi zinaonesha ya kuwa siku moja ya duniani sio sawa na siku moja ya huko pluto au neptune.

kwa maana kule siku moja ni kubwa zaidi ya hapa.

sasa imiwamambo yako hivyo kwa bainaya sayari nasayari tu jee mbele ya Allah itashindikana vipi ?

sasa napata wakati Mgumu sana mtu akawahataki sayansi tuitumie kama mifano ya kuwamakinish wat katika dini hii.

kwa Mujibu Wa Qurani wadudu hawa kama siafu wanaongea na wanatoa sauti, nakumbuka kunamwalimu wagu mmoja wa. physics aliniambia nyakati hizo nasoma soma kwa mbaali physics naye akaniambia kuw Ah hata hawa sisimizi wanatoa sauti.

ila tu hatuna uwezo wa kusikia kwa sabau frequency za mawimbi ya sauti zao ni ndogo mnoo kiasi kwamba hatuna uwezo wa kusikia sauti zao.

Qurani inaeleza wazi kabisa juu ya wadudu hawa kuongeaa.
 
Sasa kwanini unataka maneno ya mtume tu ? Je kama kuna aya inayofafanua aya hiyo,utaikubali au ?

Na vioi kuhusu uhalisia ?


Aisee, sasa mbona unaruka ihali ni wewe mwenyewe uliyesema kwamba maelezo ya aya yalikwisha tolewa na mtume (saw) kwa masahaba zake, na ukasema nisome tafsir Ibn kathir ili nipate maelezo ya hiyo aya, na hii ni baada ya wewe kuniuliza natumia tafsir gani ya Qur'an, nami nikakuuliza kwani mtume (saw) katuagiza tutumie tafsiri ipi?? na ya nani??.
 
Sasa wanasema dunia inajuzungusha yenyewe kwa spidi kubwa sanaa yaani kubwaaa.
Alafu dunia inazuunguka kwenye orbit yake.

Sasa vitendo hivi vyote inamaana vinafanyika kwa pamoja?

Sent using Jamii Forums mobile app
Huko kujizungusha kwa spidi kunafanyika kwenye orbit (njia) yake. Dunia ina mizunguko 2. Kujizungusha yenyewe ktk orbit yake na kulizunguka jua.
 
Nimeishia form four ila napenda kujua haya mambo,hivyo ukija na porojo ooh huna shule kasome utapoteza muda tu,tujadili hili suala.

Kuhusu jua na mwezi hivi bila shaka vinazunguka na nadharia yake iiko madhubuti kueleweka.lakini hii ya dunia kuzunguka imekaaje mbona inakanganya sana wadau?

Hii dunia kama inazunguka tena kwa spidi kubwa sana inakuwaje wale ambao wanatoka nje ya dunia wakirudi hurudia pale pale tu hata hawatui pengine?

Yaani muweke sisimizi kwenye tufe alafu jaalia pale alipo ndo anatoka duniani anaenda mbali katika sayari zinginee.jaalia umempaisha sasa alafu alipotoka katika anga ya dunia ile dunia(tufe)likawa linazunguka kwa spidi kali sana.umepata picha?.
Sasa je ili arudi na ile kasi ya dunia yenyewe kuzunguka naweza kutua pale pale kweli?

Hawa wanaopaa wannafanyaje mpaka wanaarudi pale pale walipotokea?

Naomba tueleweshane nipo hapa kujifunza wadau.sitaki kejelii

Mokaze
Shark

AL - ANBIYAA - 33
Na Yeye ndiye aliye umba usiku na mchana na jua na mwezi, vyote katika anga vinaogelea.

YA-SIN - 39
Na mwezi tumeupimia vituo, mpaka unakuwa kama karara kongwe

YA-SIN - 38
Na jua linakwenda kwa kiwango chake. Hayo ni makadirio ya Mwenye nguvu, Mwenye kujua.


Sent using Jamii Forums mobile app
Elimu ya ahera itakuingiza choo cha walemavu..
 
Kaka hivi hizi kauli unaziegemeza kwa nani ? Maana naona kama unampangia Allah cha kufanya.

Unaweza kuniambia ni mwanachuoni gani aliyekitangulia katika kauli hizi,ili nimsome yeye maana naona unazidi kukosea na kukaa mbali na ukweki.

Naomba unitajie jina la mwanachuoni aliye kitangulia katika hizi kauli zako.
ni ayagani Allah kajisifia ufundi wa kuumba alafu iwe hilo tukio la kujisifia kwake linagusia siku ya kiama...?

kama ipo nipe hapa.

Allah akijisifia ufundi wake wa kuumba basi jua hilo linafidisha kabla ya kiama katika maisha ya kila siku.

kuhusu aya ulizotoa nimekujibu kweye ile comment kule juu niliedit.

aya nimezisoma nazijua hazina mafungamano yoyote ya ile aya.

aya hizo kweli zinaongelea kiyama ila hazina mafungamano na aya ya 88 hata kidogo.

aya zenyewe zinakwenda tofauti na ile aya ya 88.Aya ya 88 inasema ya kuwa USIONE milima imetulia HIYO INAKWENDA. kwa maana ina move..

sasa aya unazozitoa zinaenda kinyume na aya hiyo ati mfano

وَإِذَا الْجِبَالُ سُيِّرَتْ

(ATTAKWIR - 3)
Na milima ikaondolewa,

hii haizungumzii kwenda kwa milima bali inazungumzia kuondolewa kwa milima milima ikiondolewa haiwezi kutembea.hivyo haina munasaba wa wazi hata kidogo..

na pia

وَسُيِّرَتِ الْجِبَالُ فَكَانَتْ سَرَابًا

(ANNABAA - 20)
Na milima itaondolewa na itakuwa kama sarabi.

na hii pia hvyp hivyo inazungumziwa kuondolewa kwa milima haina mafungamano na ile aya kule hii ni kama hyo ya attakwiyr

sasa hapa aya inaeleza SIKU ZITAKAPO..kwa maana wakati ujao sio leo hiyo

يَوْمَ تَمُورُ السَّمَاءُ مَوْرًا

(ATT'UR - 9)
Siku zitakapo tikisika mbingu kwa mtikiso,

umeona aya inaonesha wakati unaokuja sio leo na wakati huu. ile aya ya milima kutembea inaelzea wakati huu hapa tuliopo.

ikaenda tena ikasema..

وَتَسِيرُ الْجِبَالُ سَيْرًا

(ATT'UR - 10)
Na milima iwe inakwenda kwa mwendo mkubwa.

hii aya inasema milima itakwenda kwa mwendo mkubwa kinyume chake milima haitokwenda kwa mwendo mdogo.

aya hii inaelezea kiama ndio maaa ikasema itakuwa inakweda KWA MWENDO mkubwaa

na aya yetu ile imesema tu kwamba milima inakwenda kwa ufundi wa mweyezi Mungu. wala aya haikusema kama inakwenda kwa mwendo mkubwa au mdogo.

sasa aya hii ya 10 nxo inaelezea kiama ya kuwa milima itakuwa inakwenda kwa mwendo mkubwa tofauti na mwendo wake wa kawaida katika aya ya 88 ya annaml.

sasa sioni mafungamao ya hizo aya na ile aya ati kuwa ina, ungumzia kiama.

kama ni hivyo ipi maana ya Allah kusema kuwa milia inakwenda kama mawingu yanavyokwenda..?

hayo mawingu yanakwenda siku ya kiama au yanakwenda hapa nyaksti hizi kabla ya kiama..?
 
Aisee, sasa mbona unaruka ihali ni wewe mwenyewe uliyesema kwamba maelezo ya aya yalikwisha tolewa na mtume (saw) kwa masahaba zake, na ukasema nisome tafsir Ibn kathir ili nipate maelezo ya hiyo aya, na hii ni baada ya wewe kuniuliza natumia tafsir gani ya Qur'an, nami nikakuuliza kwani mtume (saw) katuagiza tutumie tafsiri ipi?? na ya nani??.
mkuu hata tafsiri baadhi za ulamaa wanatumia jitihada zao tu.

unadhani kungekuwa na kauli ya Mtume juu ya aya hii ya kuwa milima inazunguka unafikiri pangrkuweko na ikhtilaafu kuwa kuna wanaosema dunia inazunguka na wanaosema haizunguki ?

mambo mengi yenye jkhtilaaf hayana kai yamoja kwa moja kutoka kwa mtume.

Kuhusu dunia kuzunguka hilo lipo wazi kabisa ila sasa mkuu zurri hapo anataka atupeleke kwenye tafsiri abazo hata hizo zingine watu wametulia jitihada zao kutafsiri pasi na maneno ya Mtume Wa Allah.
 
Sasa kwanini unataka maneno ya mtume tu ? Je kama kuna aya inayofafanua aya hiyo,utaikubali au ?

Na vioi kuhusu uhalisia ?

Nilicho kielewa mimi ni kuwa hizo ni nadharia tu ambazo wao wenyewe hawawezi kuzithibitisha.

Ninacho kusihi kwanza uwe unasoma Tafsiri za Qur'aan kutoka kwa wanazuoni wakubwa wa kubwa ambaa wanategemewa.
hiyo aya iwe inafafanua kweli sio kuunga unga alafu ukasema inaffanua kweli wakati hakuna hata mafungamano yoyote
 
Nilicho kielewa mimi ni kuwa hizo ni nadharia tu ambazo wao wenyewe hawawezi kuzithibitisha.


Mbona sasa hueleweki tena?!!, mimi nilikuambia kuwa maelezo ya wanasayansi juu ya the Big bang na the black hole "yanalandana" na maneno ya Qur'an - wewe ukasema sikuwaelewa hao wanasayansi ndipo nikataka wewe sasa unieleweshe jinsi ulivyowaelewa, sasa hutaki ?!! 🤣🤣.

Hii inaonyesha unapinga kitu usichojua KABISA. Wanasayansi wanasemaje juu ya the Big bang na the black hole??, kama hujui utasemaje maelezi yao hayafanani na Qur'an??.
 
Nimeishia form four ila napenda kujua haya mambo,hivyo ukija na porojo ooh huna shule kasome utapoteza muda tu,tujadili hili suala.

Kuhusu jua na mwezi hivi bila shaka vinazunguka na nadharia yake iiko madhubuti kueleweka.lakini hii ya dunia kuzunguka imekaaje mbona inakanganya sana wadau?

Hii dunia kama inazunguka tena kwa spidi kubwa sana inakuwaje wale ambao wanatoka nje ya dunia wakirudi hurudia pale pale tu hata hawatui pengine?

Yaani muweke sisimizi kwenye tufe alafu jaalia pale alipo ndo anatoka duniani anaenda mbali katika sayari zinginee.jaalia umempaisha sasa alafu alipotoka katika anga ya dunia ile dunia(tufe)likawa linazunguka kwa spidi kali sana.umepata picha?.
Sasa je ili arudi na ile kasi ya dunia yenyewe kuzunguka naweza kutua pale pale kweli?

Hawa wanaopaa wannafanyaje mpaka wanaarudi pale pale walipotokea?

Naomba tueleweshane nipo hapa kujifunza wadau.sitaki kejelii

Mokaze
Shark

AL - ANBIYAA - 33
Na Yeye ndiye aliye umba usiku na mchana na jua na mwezi, vyote katika anga vinaogelea.

YA-SIN - 39
Na mwezi tumeupimia vituo, mpaka unakuwa kama karara kongwe

YA-SIN - 38
Na jua linakwenda kwa kiwango chake. Hayo ni makadirio ya Mwenye nguvu, Mwenye kujua.


Sent using Jamii Forums mobile app
'Na jua linakwenda kwa kiwango chake!' Linakwenda wapi?
 
'Na jua linakwenda kwa kiwango chake!' Linakwenda wapi?
kutokujua kwangu linakwenda wapi hiyo haikanushi juu ya kwenda kwa jua.

au unadhani huko outer space kuna moroco, karume na kawe..?
 
Ninacho kusihi kwanza uwe unasoma Tafsiri za Qur'aan kutoka kwa wanazuoni wakubwa wa kubwa ambaa wanategemewa.


Nisome tafsiri za wanazuoni wakubwa wanaotegemewa na nani??, nani anasema wao ni wakubwa??, haya hebu nipe tafsiri ya aya 21:33 kutoka kwa mwanazuoni yoyote umuonaye ni mkubwa, na huyo mwanazuini awe anenukuu kauli za mtume (saw) au aya zingine za Qur'an.

Nasubiri mkuu.
 
Mbona sasa hueleweki tena?!!, mimi nilikuambia kuwa maelezo ya wanasayansi juu ya the Big bang na the black hole "yanalandana" na maneno ya Qur'an - wewe ukasema sikuwaelewa hao wanasayansi ndipo nikataka wewe sasa unieleweshe jinsi ulivyowaelewa, sasa hutaki ?!! .

Hii inaonyesha unapinga kitu usichojua KABISA. Wanasayansi wanasemaje juu ya the Big bang na the black hole??, kama hujui utasemaje maelezi yao hayafanani na Qur'an??.
nadhani anachotaka mkuu zurri kwamba Qurani iseme kama ambavyo sayandi im3sema au sayansi iseme vile vile kama ambavyo Qurani imesema neno kwa neno. hilo haliwezekani.

kwa sababu Qurani inatuabia mwezi unakwenda kea kiwango chake.

wanasayansi hawajasema hivyo, wao wamesema

mwezi unarotate dunia.

lakini kurotate ndo kuenda huko manake ni motion ile ile iwe linear au circular
 
Nisome tafsiri za wanazuoni wakubwa wanaotegemewa na nani??, nani anasema wao ni wakubwa??, haya hebu nipe tafsiri ya aya 21:33 kutoka kwa mwanazuoni yoyote umuonaye ni mkubwa, na huyo mwanazuini awe anenukuu kauli za mtume (saw) au aya zingine za Qur'an.

Nasubiri mkuu.
MKUU zurri mwanachuoni mkubwa ana sifa gani na gani...?

unaposem mtu asome tafsiri za wanazuoni wakubwa muainishie wanauzuoni wakubwa wana sifa gani na gani..?

au kwamba ukitaja wewe na yule na huyu ashakuwa kibaar..?
 
nadhani anachotaka mkuu zurri kwamba Qurani iseme kama ambavyo sayandi im3sema au sayansi iseme vile vile kama ambavyo Qurani imesema neno kwa neno. hilo haliwezekani.

kwa sababu Qurani inatuabia mwezi unakwenda kea kiwango chake.

wanasayansi hawajasema hivyo, wao wamesema

mwezi unarotate dunia.

lakini kurotate ndo kuenda huko manake ni motion ile ile iwe linear au circular


Yaani hii ni shida kweli kweli, hakika mimi namshangaa huyu Zurri, inaonekana siye yeye!!?, 🤣🤣

Muislam gani anasimama kupinga Qur'an !!, wakati leo wapinzani wa Qur'an wamefumbwa midomo juu ya aya za kisayansi za Qur'ani.
 
Aisee, sasa mbona unaruka ihali ni wewe mwenyewe uliyesema kwamba maelezo ya aya yalikwisha tolewa na mtume (saw) kwa masahaba zake, na ukasema nisome tafsir Ibn kathir ili nipate maelezo ya hiyo aya, na hii ni baada ya wewe kuniuliza natumia tafsir gani ya Qur'an, nami nikakuuliza kwani mtume (saw) katuagiza tutumie tafsiri ipi?? na ya nani??.
Safi kabisa,sijaruka swali ndio maana nilikwambia urejee kwenye Tafsiri ya Ibn Kathiir,kwahiyo kwa uvivu wako ukataka nikuwekee Tafsiri,hiyo sio tatizo na kuwela humu ni dakika chache mno.

Nimekuuliza maswali hayo kwa maana,na ikaonyesha ya kuwa elimu ya Tafsiri ya Qur'aan huna.

Pili,kwanza unakubali ya kua aya hii ya surat anbiyaa' haizungumzii kuzinguka kwa dunia ?

Naendelea .....
 
Nisome tafsiri za wanazuoni wakubwa wanaotegemewa na nani??, nani anasema wao ni wakubwa??, haya hebu nipe tafsiri ya aya 21:33 kutoka kwa mwanazuoni yoyote umuonaye ni mkubwa, na huyo mwanazuini awe anenukuu kauli za mtume (saw) au aya zingine za Qur'an.

Nasubiri mkuu.

Inaonekana hata wanazuoni wakubwa huwajui,halafu ujasiri wa kuizungumzia unaupata wapi ? Lazima ukosee.

Nalunukulia maana ya aya kaa alovyoifasiri Imaam Ibn Kathiri,akimnukuu swahaba Ibn Abbas Allah amridhie.

(each in an orbit floating.) means, revolving. Ibn `Abbas said, "They revolve like a spinning wheel, in a circle.''

Kisha Imaam akasema aya hiyo ni kama vile isemavyo aya ya 96 katika sura ya 6. Anasema Allah aliye juu :

96. Ndiye anaye pambazua mwangaza wa asubuhi; na ameufanya usiku kwa mapumziko na utulivu, na jua na mwezi kwenda kwa hisabu. Hayo ndiyo makadirio ya Aliye tukuka Mwenye nguvu, Mwenye ujuzi. ( al An'am : 96 )

Sasa wewe naomba unipe maana ya hiyo kwamba inaonyesha dunia inazunguka,na uniambie umeipata wapi na kwa mwanazuoni gani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom