safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,169
- 15,850
- Thread starter
- #61
nimekuuliza maswali kwenye comment yangu kabla hujayajibu unataka uanze kuniuliza mimi na hapo unataka nikujibu wakati weye hujajibu.Kaka naanzia hapa,kwani kutembea kwa mawingu ndio kunaonyesha mbingu inatembea ?
Pili,ili kitu kisiyumbe lazima kiwe kinatembea ?
nimekuuliza milima kama imeshikana n ardhi vipi itembee milima alafu ardhi iwe haitembei..?
nmekuuliza unasemaje juu ya tafsiri ya shekhe abdallah saleh kuhusu hiyo aya..?
kwakuongezea
unafikiri mawingu na mbingu vimeshikanaka kama ilivyoshikana milima na ardhi..?