Dunia inazungukaje?

Ndiyo mkuu, nimeisoma hiyo ibara, licha ya mapungufu machache ya lugha iliyotumika lakini nimeielewa.


Tafsiri yake:-

Katika tahadhari ya kutisha, NASA inatabiri kwamba jua litafikia kile kiitwacho "Solar minimum" mwishoni mwa 2019 au 2020, na pindi hali hiyo itakapotokea, jua litatoa joto dogo sana kuliko kawaida, maana yake ni kwamba zebaki katika kipima joto (hapa duniani) itashuka na kupelekea kutokea kwa kipindi kirefu cha baridi (au vipindi vifupi vifupi vya baridi kwa muda mrefu katika uso wa dunia) jambo ambalo litaathiri hali ya hewa juu ya uso wa sayari (dunia):

Maoni yangu (maoni ya mleta ibara):-
Kama ni kweli (basi) tutakumbwa na masuala mazito juu ya sayari hii na maisha yatakuwa hovyo. (Mwisho wa tafsiri.)


Maneno yaliyomo kwenye mabano ni maneno yangu binafsi ili tafsiri inyooke.

Kesho na mimi nitatoa maoni yangu kuhusu hii kadhia.
Inshallah.
hiyo solar minimum ni sehemu au ni hali ambayo inapatwa na juaa tu hapo ilipo..?

kwa sababu kama ikiwa ni sehemu maana yke wanakubali kwamba jua linakwenda lina move.

kwa sababu jua kitu hakiwezi kufikia kitu kingine mpaka kimoja wapo kiwe kina move.

sasa kusema kwamba sun will reach " linareach vipi na limekaa hapo hapo

na kama ni hali tu kama ilivyo ugonjwa kwa binadamu basi ntasitisha swali langu hapo juu
 
hiyo solar minimum ni sehemu au ni hali ambayo inapatwa na juaa tu hapo ilipo..?

kwa sababu kama ikiwa ni sehemu maana yke wanakubali kwamba jua linakwenda lina move.

kwa sababu jua kitu hakiwezi kufikia kitu kingine mpaka kimoja wapo kiwe kina move.

sasa kusema kwamba sun will reach " linareach vipi na limekaa hapo hapo

na kama ni hali tu kama ilivyo ugonjwa kwa binadamu basi ntasitisha swali langu hapo juu



Unaweza kuangalia picha halisi ndani ya google na print maneno "solar minimum" utaona picha zilizochukuliwa na telescope ya NASA 2014, Hi-c (telescope space craft, the high resolution corona imager).-- iliyorushwa kwenye sub-orbit (falaki mrejesho) na kulengeshwa kwenye sura ya jua katika mahali panapoitwa "sun spot", katika sehemu hiyo kuna joto dogo sana na hivyo kutokuwa na athari kwenye camera ya hiyo telescope katika kuchukua picha.

Sub orbit ni falaki iliyopo juu kidogo ya atmosphete ya hii dunia yetu.
 
hiyo solar minimum ni sehemu au ni hali ambayo inapatwa na juaa tu hapo ilipo..?

kwa sababu kama ikiwa ni sehemu maana yke wanakubali kwamba jua linakwenda lina move.

kwa sababu jua kitu hakiwezi kufikia kitu kingine mpaka kimoja wapo kiwe kina move.

sasa kusema kwamba sun will reach " linareach vipi na limekaa hapo hapo

na kama ni hali tu kama ilivyo ugonjwa kwa binadamu basi ntasitisha swali langu hapo juu


Mkuu nimeandika habari ndefu, yote imefutika na imekuja hiyo kipande tu, nitaandika tena jioni, mkuu, samahani.
 
hiyo solar minimum ni sehemu au ni hali ambayo inapatwa na juaa tu hapo ilipo..?

kwa sababu kama ikiwa ni sehemu maana yke wanakubali kwamba jua linakwenda lina move.

kwa sababu jua kitu hakiwezi kufikia kitu kingine mpaka kimoja wapo kiwe kina move.

sasa kusema kwamba sun will reach " linareach vipi na limekaa hapo hapo

na kama ni hali tu kama ilivyo ugonjwa kwa binadamu basi ntasitisha swali langu hapo juu


Mkuu ni hivi; katika uso wa jua (corona) kuna miripuko ya moto kama vile miripuko ya volcano katika milimo, (solar flares/ coronal mass ejection), sasa hiyo milipuko isipotokea katika usovwa jua ndipo hali hiyo inaitwa "solar minimum"-- au kama ni ugonjwa unaweza kusema jua limekumbwa na ugonjwa wa "solar minimum".

Wasiwasi wa mleta ibara ni kwamba hali hiyo itasababisha joto kushuka katika uso wa dunia na hivyo kuharibu taratibu za mazingira na maisha kwa ujumla.


Mimi binafsi siafikiani naye au siafikiani na hao NASA, kwanza huo ni utabiri tu, pili reaction za kinuklia ndani ya kiini cha jua zinazosababisha joto na mwanga bado zitaendelea, isitoshe hiyo miripuko siyo chanzo kikuu cha joto na mwanga katika dunia yetu, hiyo milipuko ni kama bomba la moshi wakati hizo reaction zinapotendeka.

Kifupi ni kwamba hao NASA wametabiri (predict) tu na wala hawajasema hali hiyo itakuwa hivyo.

Pia hiyo hali sio mara ya kwanza kutokea, imeishatokea miaka ya nyuma.
 
Mkuu ni hivi; katika uso wa jua (corona) kuna miripuko ya moto kama vile miripuko ya volcano katika milimo, (solar flares/ coronal mass ejection), sasa hiyo milipuko isipotokea katika usovwa jua ndipo hali hiyo inaitwa "solar minimum"-- au kama ni ugonjwa unaweza kusema jua limekumbwa na ugonjwa wa "solar minimum".

Wasiwasi wa mleta ibara ni kwamba hali hiyo itasababisha joto kushuka katika uso wa dunia na hivyo kuharibu taratibu za mazingira na maisha kwa ujumla.


Mimi binafsi siafikiani naye au siafikiani na hao NASA, kwanza huo ni utabiri tu, pili reaction za kinuklia ndani ya kiini cha jua zinazosababisha joto na mwanga bado zitaendelea, isitoshe hiyo miripuko siyo chanzo kikuu cha joto na mwanga katika dunia yetu, hiyo milipuko ni kama bomba la moshi wakati hizo reaction zinapotendeka.

Kifupi ni kwamba hao NASA wametabiri (predict) tu na wala hawajasema hali hiyo itakuwa hivyo.

Pia hiyo hali sio mara ya kwanza kutokea, imeishatokea miaka ya nyuma.
nimekusoma mkuuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom