Marcostilone
JF-Expert Member
- Jun 25, 2023
- 1,221
- 2,389
Unaweza kuthibitisha vipi kuwa ulicho gundua kuhusu haya makanisa ni sahihi zaidi? au ni tafsiri yako binafsi tu?Sio mbaya sana, ila kwenye dini hapo ongeza juhudi utakuja kugundua zaidi ya ulichogundua na utaachana na kwenda kanisani na ukatoliki wako! Nami nilikuwa mkatoliki lakini nimeenda zaidi ya wewe.