Dunia ina mambo mengi ya kushangaza

Dunia ina mambo mengi ya kushangaza

naam sasa wewe jibu hilo unaona linaleta mantiki? maana ndo jibu lao kwamba bank sasa ndo kuna uchawi mkubwa kuliko wote, au kuingia bungeni lazima uwe umejipanga haswa maana sio poa hata kidogo --- kumbe ni mambo ya kwenda sawa na wenye system tu.
au story za kuibiwa mazao shambani kwa njia za kichawi ila njia hizohizo hazifanyi kazi kwenye maghala ya mazao
hii ni michezo mkuu

mkuu shinda tunapitia nyingi sana, na tiba moja wapo ni kuzikataa story za namna hii.

we unaamini hizo mambo?
Mi ninaamini kwasaabu zimeshawahi kutokea watu ninaowajua😅
 
Sawa kwa mtazamo wako umewaza hivyo ila mimi sifundishi njia za giza nimeweza uzi kufungua macho kwa wale ambao wanautata kuhusu uwepo wa mungu, na hapo juu nimeshaeleza kuna baadhi ya vitabu vipo direct sana na kwa mazingira na maisha yetu ni rahisi sana mtu atamani kujaribu

Shuhuda za watu ambao wamepata side effect ya kujua hayo mambo zipo nyingi sana na zingine huwa hazisemwi tunaziona tu kupitia mabadiliko hasi ya mtu
mambo ya utata kuhusu uwepo wa Mungu sijaona, kwenye uzi nimeona mambo ya uchawi tu mkuu, na ndo nayoyajadili

majibu ndo hayohayo kila siku mkuu, weka vitabu hivyo kila mtu akashuhudie mwenyewe sio watu wakubaliane na wewe kwa stori hizo.


hapa utawapiga mistari mwisho utakuja kusema mambo ya uchawi ni siri
 
naam sasa wewe jibu hilo unaona linaleta mantiki? maana ndo jibu lao kwamba bank sasa ndo kuna uchawi mkubwa kuliko wote, au kuingia bungeni lazima uwe umejipanga haswa maana sio poa hata kidogo --- kumbe ni mambo ya kwenda sawa na wenye system tu.
au story za kuibiwa mazao shambani kwa njia za kichawi ila njia hizohizo hazifanyi kazi kwenye maghala ya mazao
hii ni michezo mkuu

mkuu shinda tunapitia nyingi sana, na tiba moja wapo ni kuzikataa story za namna hii.

we unaamini hizo mambo?
UNa hoja nzito ila kuna sehem unachanganya kidogo, unachanganya kati ya mazingaombwe na uchawi kamili

Hicho unachokiona wewe na kukikosoa hayo ni mazingaombwe ambayo mara nyingi yanatumia akili tu ila uchawi wenyewe upo ni vile tu bado hujaingia kwenye 18

All in all mlango mkubwa wa uchawi ni hofu, hofu ndio njia ya kwanza kabisa ambayo inaingiza roho wabaya mwilini japo pia kutokuwa na hofu haimaanishi eti uchawi haukuwezi kabisa yapo mambo kadhaa ya kujikinga na hizo roho
 
Duhh au nyinyi hamuishi mitaa tunayoishi sisi?
Ninaishi mitaani na huwa ninazisikia sana hizi story zinavyoelezewa kwa bashasha na watu wenye IQ ndogo. Wengine bongo zetu zinafikiri logical sana kiasi kwamba tunaweza kuona kirahisi tu hayo matobo ya wazi kabisa kwenye story za Uchawi.
Jana tu asubuhi kuna mtu alitaka kunizidishia chenji elfu tano, kama nisingemrudishia sio ajabu jioni angekuwa anapigia watu story za chuma ulete.
 
mambo ya utata kuhusu uwepo wa Mungu sijaona, kwenye uzi nimeona mambo ya uchawi tu mkuu, na ndo nayoyajadili

majibu ndo hayohayo kila siku mkuu, weka vitabu hivyo kila mtu akashuhudie mwenyewe sio watu wakubaliane na wewe kwa stori hizo.


hapa utawapiga mistari mwisho utakuja kusema mambo ya uchawi ni siri
Anyway wewe unataka uchawi upi? Ule wa quran(sio mgumu kama inavyodhaniwa kwasababu inatumia maneno ambayo yamezoeleka)

Ama unataka ule wa kale? Japo huu ni mgumu kiasi inaweza kukuchukua kuanzia miez 6 mpaka kukamilika
 
Mi ninaamini kwasaabu zimeshawahi kutokea watu ninaowajua😅
inategemea mkuu, japo hata baadhi ya magonjwa hivi sasa zamani yalikua ni uchawi ila ghafla yamekua ni magonjwa watu wanapigwa tiba maisha yanasonga,

we fatilia uzi kwa makini tu huu, watakuja wataalamu wa haya mambo alafu angalia namna watakavyojibiwa naamini utaungana nasi
 
Kwanza nakusikitikia sana kutokana na uelewa wako kuwa mdogo, uchawi huelewi maana yake na uganga pia huelewi maana yake, hivi ukienda hosp.unaumwa, kwa nini unapewa vidonge? Kwa nini usikae nyumbani tu ukimuomba huyo Mungu? unajua vidonge vimetengenezwaje mpaka vinafikia hatua ya kuvinywa wewe? yamkini wewe ni mtumwa wa fikra! uchawi ndiyo sayansi ya uhalibifu na uganga ni sayansi ya kutengeneza. nawashauri waumini wenzangu wa madhebebu yote dini zote, kama wewe ni masikini,una magonjwa, umeshindwa kuondokana na shida hizo hosp.,kwa maombezi basi usikate tamaa,tumaini bado lipo,jaribu leo kwa waganga,usiogope jamii ya dini yako itakuchukuliaje,nenda baba,nenda mama,nenda binti nenda kaka ukajaribu huko.
 
Ninaishi mitaani na huwa ninazisikia sana hizi story zinavyoelezewa kwa bashasha na watu wenye IQ ndogo. Wengine bongo zetu zinafikiri logical sana kiasi kwamba tunaweza kuona kirahisi tu hayo matobo ya wazi kabisa kwenye story za Uchawi.
Jana tu asubuhi kuna mtu alitaka kunizidishia chenji elfu tano, kama nisingemrudishia sio ajabu jioni angekuwa anapigia watu story za chuma ulete.
😂😂😂

Wewe utakuwa unaishi mjini tu!

Kuna beki tatu wetu mmoja alikuwa anamlea bibi yetu(rip) alikuwa mganga, aisee mambo aliyokuwa anatusimlia ni balaa… kwanza aliambiwa akiacha uganga hatozaa, walijuaje kama hatozaa kweli? Mpaka kwaho anahangaikaga huyo mama hana mtoto yuko 40s sasa, alishaend ahospital za kila namna hana ugonjwa wala nini, dawa za kienyeji, akaamua kuokoa anakesha kwenye maombi, akarudi tena kwa waganga, akabadili wanaume lakini hola!
 
Nimefika hapo kwa vitabu hatari nikaacha kusoma. Yaan kitabu kikaandikwa hadi umekisoma wewe kimekua cha hatari? Mimi hapo nimeshndwa kuelewa
Nashukuru sana. Ila naomba nikupe mfano mdogo tu dunia kwa sasa inatifutana juu ya umiliki wa mabomu ya nyuklia hiyo haimaanishi elimu yote inayohusu mambo ya nyuklia imefichwa, kinachosomwa ni kile ambacho hakina madhara ila ile deep kabisa ile ya supercritical mass huwezi kuipata kizembe
 
😂😂😂

Wewe utakuwa unaishi mjini tu!

Kuna beki tatu wetu mmoja alikuwa anamlea bibi yetu(rip) alikuwa mganga, aisee mambo aliyokuwa anatusimlia ni balaa… kwanza aliambiwa akiacha uganga hatozaa, walijuaje kama hatozaa kweli? Mpaka kwaho anahangaikaga huyo mama hana mtoto yuko 40s sasa, alishaend ahospital za kila namna hana ugonjwa wala nini, dawa za kienyeji, akaamua kuokoa anakesha kwenye maombi, akarudi tena kwa waganga, akabadili wanaume lakini hola!
Na wewe?
 
uchawi hauna maana yeyote mkuu.

fatilia huu uzi uone maswali atakayo ulizwa mleta mada na majibu atakayotoa.

mwisho huu uchAwi tunataka kama upo utende kazi positive na tuzione, kama haujengi barabara, viwanda, kutibu magonjwa basi hauna umuhimu
Najiuliza huo uchawi ni mifuko ya cement na kokoto hadi utake ujenga barabara na viwanda? Sijaelewa kwanini uchawi umehusisha na ujenzi wa barabara na viwanda, nauliza kwa sababu najua kila kitu kina mahali pake ndio maana nivutiwa kutaka kujua kwanini umeuweka huo uchawi kwenye masuala ya ujenzi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom