Dunia ina mambo mengi ya kushangaza

Dunia ina mambo mengi ya kushangaza

Sasa na yeye akikuuliza swali kama hilo utajibu nini? Yani akikuuliza unahakika gani hakuna uchawi na si kwamba kutokujua kwako tu maarifa ya uchawi ndio kunafanya useme hakuna uchawi utajibu nini?

Kwa sababu ukiangalia sidhani kama katika experience yako ya maisha umewahi kushiriki ama kushuhudia mwenyewe katika mambo ambayo yalihusishwa na uchawi, kwako wewe uchawi ni issue za kusikia tu na si zaidi ya hapo.
Story nyingi za uchawi ni za kusikia tu, utasikia 'unaambiwa'..., kuna huyo jamaa anasema kuna mganga huko Sumbawanga..
 
Unathibitishaje hicho unacho kiita uchawi, ni uchawi kweli, na si maarifa ambayo wewe huyaelewi?
Sasa na yeye akikuuliza swali kama hilo utajibu nini? Yani akikuuliza unahakika gani hakuna uchawi na si kwamba kutokujua kwako tu maarifa ya uchawi ndio kunafanya useme hakuna uchawi utajibu nini?

Kwa sababu ukiangalia sidhani kama katika experience yako ya maisha umewahi kushiriki ama kushuhudia mwenyewe katika mambo ambayo yalihusishwa na uchawi, kwako wewe uchawi ni issue ya kusikia tu na zaidi ya hapo
Mnapenda ligi tu ila uchawi upo zaidi kiroho na sio kwa kanuni za asili, naweza kuweka maelezo marefu hapa ila kwa aina yako ya maswali unaonekana hutaki kujifunza ila unataka kubishana

Kama wewe huamini mambo ya kiroho itakuwa ngumu sana kwako kuamini nguvu zilizo kinyume na sheria za asili
Jinsi unavyoelezea uchawi ni kama unazungumzia miujiza ndio maana unapata shida kueleweka.
 
Sasa na yeye akikuuliza swali kama hilo utajibu nini? Yani akikuuliza unahakika gani hakuna uchawi na si kwamba kutokujua kwako tu maarifa ya uchawi ndio kunafanya useme hakuna uchawi utajibu nini?

Kwa sababu ukiangalia sidhani kama katika experience yako ya maisha umewahi kushiriki ama kushuhudia mwenyewe katika mambo ambayo yalihusishwa na uchawi, kwako wewe uchawi ni issue ya kusikia tu na zaidi ya hapo

Jinsi unavyoelezea uchawi ni kama unazungumzia miujiza ndio maana unapata shida kueleweka.
Uchawi ni nini?
 
Sasa na yeye akikuuliza swali kama hilo utajibu nini? Yani akikuuliza unahakika gani hakuna uchawi na si kwamba kutokujua kwako tu maarifa ya uchawi ndio kunafanya useme hakuna uchawi utajibu nini?

Kwa sababu ukiangalia sidhani kama katika experience yako ya maisha umewahi kushiriki ama kushuhudia mwenyewe katika mambo ambayo yalihusishwa na uchawi, kwako wewe uchawi ni issue ya kusikia tu na zaidi ya hapo
Ni hivi kuna mambo yanayoitwa ni uchawi kwa kuelezewa ni mambo yanayosababishwa kwa nguvu sijui za shetani, mapepo, majini n.k Mfano mtu kutoa kafara mtoto wake kisha akawa tajiri, mtu kulogwa akafa, chuma ulete n.k Haya mambo yapo katika jamii kwa maelezo au story lakini je yanaweza kuthibitishwa?! Hapo ndipo mtu anaposema hakuna uchawi, kama vile tu ambavyo hakuna Sungura anayeongea nje ya hadithi na masimulizi ila hadithi na masimulizi kuhusu Sungura wanaoongea zimejaa tele.
 
Story nyingi za uchawi ni za kusikia tu, utasikia 'unaambiwa'..., kuna huyo jamaa anasema kuna mganga huko Sumbawanga..
Ukishasema story teyari hapo ni unazungumzia issue za kuambiwa kwa mambo yeyote yale, hata mimi nikija hapa nikaeleza experience kuhusu uchawi kwenu nyie inakuwa story na ndio maana nasema ingekuwa vyema mngekuwa na experience zenu katika hili kuliko kuishia kutolea maoni mambo ya kusikia tu.

Kama utakuwa unasema uchawi ni issue ya masimulizi tu hakuna wahusika wenyewe, basi uganga usingekuwa deal kiasi cha kuona idadi kubwa ya watu kufungua ofisi za uganga kama uchawi ni issue ya masimulizi tu kwa maana kusingekuwa na watu wenye kwenda huko kwa waganga kwa issue za uchawi..
 
Sawa hakuna uchawi kama usememavyo na kigezo chako ni kwamba afrika kutokuwa tajiri kwa maana uchawi ungekuwepo afrika ingekuwa tajiri, ndio nakuuliza kama huo uchawi ungekuwepo kweli je ungewezaje kufanya afrika kuwa tajiri?
Watu wangeutumia huo uchawi, kujiletea maendeleo.

Barabara na miundombinu mingine vingejengwa bila kuhitaji fedha, teknolojia wala watu. Zinge tokea tu kwa uchawi.
 
Ukishasema story teyari hapo ni unazungumzia issue za kuambiwa kwa mambo yeyote yale, hata mimi nikija hapa nikaeleza experience kuhusu uchawi kwenu nyie inakuwa story na ndio maana nasema ingekuwa vyema mngekuwa na experience zenu katika hili kuliko kuishia kutolea maoni mambo ya kusikia tu.

Kama utakuwa unasema uchawi ni issue ya masimulizi tu hakuna wahusika wenyewe, basi uganga usingekuwa deal kiasi cha kuona idadi kubwa ya watu kufungua ofisi za uganga kama uchawi ni issue ya masimulizi tu kwa maana kusingekuwa na watu wenye kwenda huko kwa waganga kwa issue za uchawi..
Uganga na uchawi vyote viwili ni utapeli unaonufaishana, bad cop good cop strategy, ni scam tu.
 
Sawa hakuna uchawi kama usememavyo na kigezo chako ni kwamba afrika kutokuwa tajiri kwa maana uchawi ungekuwepo afrika ingekuwa tajiri, ndio nakuuliza kama huo uchawi ungekuwepo kweli je ungewezaje kufanya afrika kuwa tajiri?
Watu wangetumia uchawi kuiondoa CCM madarakani.
Watu wangetumia uchawi kuwapata watu wao waliopotezwa.
 
Sawa, ila cha muhimu kilicho wazi mnajadili vitu ambavyo mnasikia tu na ndio maana kuna mtu huko kauliza hivi nyie mnaishi huku huku tunapoishi sisi?

Sasa mtu haujawahi hata kumsindikiza tu mtu kwa mganga utawezaje kujua yenye kuwahusu waganga zaidi ya kusikia tu?
Najua mambo mengi tu ya afya na sijawahi kusoma hata course moja ya udaktari au unesi. Najua mambo mengi ya Marekani japo sijawahi kufika huko, najua mambo mengi ya Waislamu na sijawahi kutia mguu msikitini au madrasa.
 
Kumbe hata hujui uchawi ni nini. Ila unabisha bisha tu na kupinga kila hoja.

Hebu tuwaze kwa kuweka Udini pembeni.
Tuwaze kwa kuweka Mungu. Uganga na Uchawi pembeni.

Tuwaze tukiwa Neutral ground.

Najua unaamini kuna mambo watu wanaweza kufanya ambayo kwa hali ya kawaida mtu asingeweza Kufanya.

Pia kuna mambo ya Kiroho ambayo hata ww unajua yako beyond our reasoning and thinking.

Je Haya tuyaiteje?.

mfano.
Ushawah kuota kitu alaf huko mbele kikatokea vile vile?.

Ushawah kumuwaza mtu na yeye anakuwaza muda huo huo?.

Ushawah kunuia kitu na kikatokea?.
Najua ushawah haya yote.

Je tuiwekeje hii?.
 
Hebu tuwaze kwa kuweka Udini pembeni.
Tuwaze kwa kuweka Mungu. Uganga na Uchawi pembeni.

Tuwaze tukiwa Neutral ground.

Najua unaamini kuna mambo watu wanaweza kufanya ambayo kwa hali ya kawaida mtu asingeweza Kufanya.

Pia kuna mambo ya Kiroho ambayo hata ww unajua yako beyond our reasoning and thinking.

Je Haya tuyaiteje?.

mfano.
Ushawah kuota kitu alaf huko mbele kikatokea vile vile?.

Ushawah kumuwaza mtu na yeye anakuwaza muda huo huo?.

Ushawah kunuia kitu na kikatokea?.
Najua ushawah haya yote.

Je tuiwekeje hii?.
Tuiwekeje mtu anayeota ndoto anakoja usingizini halafu anajikojolea kweli kitandani?
 
Tuiwekeje mtu anayeota ndoto anakoja usingizini halafu anajikojolea kweli kitandani?

iko irrelevant na hoja yangu.
maana mfano wako sio wa Kiroho.

Hii Kukojoa kitandan. ni mwil unatoa kwa lazima kitu kilichozidi na ambacho ww ulitakiwa kukitoa ila ukazembea kukitoa.
kwahiyo ni Mwili. Na linaelekeza.

Ww haujawah kuota tukio alaf lile lile sehem watu tukio maneno yakawa exactly yale yale?. Na unaota leo alaf linatokea miez mbele.

Guys, kuna nguvu iko beyond us. Na ina nguvu.
 
Back
Top Bottom