Dunia ina mambo mengi ya kushangaza

Dunia ina mambo mengi ya kushangaza

mambo ya kiroho/kimungu au ya ulimwengu usioonekana, niyakufanya wewe mwenyewe na roho yako. Maana mungu ni roho na roho iko ndani yako na wewe upo ndani ya ulimwengu wa kiroho.
Itoshe kusema hakuna padre wala katekista, hakuna askofu, nabii wala mchungaji, hakuna sheikh wala ustaadh anayeweza kukusaidia katika mambo ya kiroho sana sana atakupa miongozo tu ya hapa na pale kutokana na kitabu cha dini husika, miongozo ambayo hata yeye haijawahi kumsaidia.
Safari ya kiroho ni ya mtu mmoja na muongozo mkuu ni roho iliyopo ndani yako, au Mungu aliyepo ndani yako.
Huko nyumba za ibada pelekeni sadaka tu ila mtatoka kama mlivyoingia.
Dig deep to the root,
Dig deep to the truth.
 
mpaka najiuliza mtu anawezaje kuamini ujinga wa jinsi hii wa wazi kabisa.
Unaelewa nini maana ya elimu ni bahari?? Njoo Zanzibar, sehemu inaitwa Matemwe nikuonyeshe uchawi kwa macho yako ,halafu uje uhadithie humu.

Uliwahi kuona ngamia anazama ardhini mwenyewe na kupotea?? Njoo ujionee kwa macho yako kinachofanyika mpaka anazama mwenyewe.

Tupunguze ujuaji kwenye vitu ambavyo hatuna uwezo navyo coz elimu ni bahari.

Yaani wewe hujiulizi Rais wa nchi anavalishwa mangozi ya wanyama na kusimikwa uchifu kila anapokwenda, unafikiri ni kawaida ile??

Yaani wewe na kidigrii chako au kimaster unahisi unajua kuliko serikali plus wale wazee??
 
Hakuna cha kukariri hayo maujinga ujinga ya ndoto sijui uchawi , nimeyaishi sana , na nina miaka ya kutosha humu dunian , hayana maana yoyote zaidi ya maujinga ujinga tu , ukiambiwa uthibitishe utaleta blabla tu ambazo pia hata sio ngeni ni masimulizi tu
Ndio maana nasema mnajadili kwa kukariri tu, wewe ungekuwa umeyaishi hapo si ndio ungeonyesha experience yako na ukaeleza ukweli ukoje baada ya kuwa wewe umeyapitia hayo ila haufanyi hivyo unaishia kupinga na kudai uthibitisho tu kana kwamba hayo mambo ni mapya.

Hayo mambo ya ndoto wamedili nayo wanasaikolojia maarufu duniani toka enzi hizo, sasa hadi leo bado unataka tubishane kuhusu uthibitisho? Huko ndio nakuita kujadili kwa kukariri.

Wewe umesema umeyapitia hayo mambo hivyo ndio vizuri ueleze experience zako ambazo ndio zimejenga huo msimamo uliyonayo na sie tueleze kwa upande wetu ila sio kila siku mmekariri neno moja tu uthibitisho, cha ajabu wengine hata hawaelewi huo uthibitisho nafasi yake ni ipi na wala haelewi kwamba kuna aina tofauti za uthibitisho kutokana na issue husika.

Kwahiyo mkuu njoo tumia huo uzowefu kwenye hayo mambo ya uchawi na ndoto kuelezea kwa vp hayo mambo ya ujinga tu, hayo ndio nayataka mimi ila sio unajificha kwenye uthibitisho tu.
 
Ndio maana nasema mnajadili kwa kukariri tu, wewe ungekuwa umeyaishi hapo si ndio ungeonyesha experience yako na ukaeleza ukweli ukoje baada ya kuwa wewe umeyapitia hayo ila haufanyi hivyo unaishia kupinga na kudai uthibitisho tu kana kwamba hayo mambo ni mapya.

Hayo mambo ya ndoto wamedili nayo wanasaikolojia maarufu duniani toka enzi hizo, sasa hadi leo bado unataka tubishane kuhusu uthibitisho? Huko ndio nakuita kujadili kwa kukariri.

Wewe umesema umeyapitia hayo mambo hivyo ndio vizuri ueleze experience zako ambazo ndio zimejenga huo msimamo uliyonayo na sie tueleze kwa upande wetu ila sio kila siku mmekariri neno moja tu uthibitisho, cha ajabu wengine hata hawaelewi huo uthibitisho nafasi yake ni ipi na wala haelewi kwamba kuna aina tofauti za uthibitisho kutokana na issue husika.

Kwahiyo mkuu njoo tumia huo uzowefu kwenye hayo mambo ya uchawi na ndoto kuelezea kwa vp hayo mambo ya ujinga tu, hayo ndio nayataka mimi ila sio unajificha kwenye uthibitisho tu.
🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
Unaelewa nini maana ya elimu ni bahari?? Njoo Zanzibar, sehemu inaitwa Matemwe nikuonyeshe uchawi kwa macho yako ,halafu uje uhadithie humu.

Uliwahi kuona ngamia anazama ardhini mwenyewe na kupotea?? Njoo ujionee kwa macho yako kinachofanyika mpaka anazama mwenyewe.

Tupunguze ujuaji kwenye vitu ambavyo hatuna uwezo navyo coz elimu ni bahari.

Yaani wewe hujiulizi Rais wa nchi anavalishwa mangozi ya wanyama na kusimikwa uchifu kila anapokwenda, unafikiri ni kawaida ile??

Yaani wewe na kidigrii chako au kimaster unahisi unajua kuliko serikali plus wale wazee??
Acha kuniita kuja kuangalia mazingaombwe ya kitoto, Kuna mazingaombwe makubwa kuliko hayo. Hizo ni Stage illusions magic tricks tu
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Hauna challenge yoyote , ni maujinga ujinga tu unataka tuyaamini , nipo nakunywa zangu pombe sina mda wa kujadili
Sasa mie ndio niliyoleta huu uzi hapa kukuaminisha? Mie nachangia mada kama wewe tu au kutofautiana mitazamo ni kosa?

Wewe kama unaona hupendezwi na michango yangu unaweza kuniweka katika Ignore list.
 
Back
Top Bottom