Dunia ina mambo mengi ya kushangaza

Dunia ina mambo mengi ya kushangaza

Sasa mie ndio niliyoleta huu uzi hapa kukuaminisha? Mie nachangia mada kama wewe tu au kutofautiana mitazamo ni kosa?

Wewe kama unaona hupendezwi na michango yangu unaweza kuniweka katika Ignore list.
Sipendezwi kivip? onyesha huo uchawi tunapata shida sana hata kuhudumia jamii na kuelimisha kuhusu magonjwa kwa imani za kijinga jinga za kichawi, imani za uchawi ni imani za kijinga sana
 
Nakumbuka hii,
Hata mitandao ilivyoingia walidai ni Freemasons lakini sasa hivi wanaitumia kuhubiri.

Sasa hivi wanasema AI ni mnara wa babeli na watumishi wanaitumia kuplan cha kuhutubia kwenye ibada.
Ukitembea kwenye jamii hasa ukiwa mtu wa kuelimisha kuhusu changamoto za kiafya utakugundua watu wana imani za kijinga sana kwenye changamoto za kawaida
 
Utaumiza kichwa kushindana na Hawa watu huwezi jua lengo lao ni nn mwingine aonekane tuu anajua kubisha ama haamini na mwishowe ni mfuasi mzuri wa hayo masuala ama la hatuwezi jua

Naamini ninachokiamini as long naona matokeo huwezi niambia acha wala sjui akili imetengeneza hakuna na haipo maake hayo nimeyashuhudia kwa akili zangu timamu...
 
Hizo ni Stage illusions magic tricks tu
Acha ushamba wewe, ngamia kuzama wewe utakuwa huoni?? Au wewe ndiyo wa kwanza kuufahamu huo msamiati wa illusion na magic tricks??

Halafu nimekuuliza :Unaelewa maana ya elimu ni bahari?? Yaani wewe umeimaliza elimu yote iliyopo hapa duniani??
 
Utaumiza kichwa kushindana na Hawa watu huwezi jua lengo lao ni nn mwingine aonekane tuu anajua kubisha ama haamini na mwishowe ni mfuasi mzuri wa hayo masuala ama la hatuwezi jua

Naamini ninachokiamini as long naona matokeo huwezi niambia acha wala sjui akili imetengeneza hakuna na haipo maake hayo nimeyashuhudia kwa akili zangu timamu...
Mimi nishaachana nao watajuana wenyewe huko!
 
Mimi nishaachana nao watajuana wenyewe huko!
Ukitembea Tanzania ndani ndan utagundua watu wanaamini ujinga , nikiwa mpwapwa kwenye tatifi za magonjwa fulani , tulikuta watu imani za kichawi zinawatesa sana, nakumbuka kuna familia moja walikua wamemfungia binti wa miaka 17 ndani wakimficha wanadai kalogwa ana toa damu zinanyonywa na jini , kumbe yule binti ana Menometrorrhagia
 
Unaelewa nini maana ya elimu ni bahari?? Njoo Zanzibar, sehemu inaitwa Matemwe nikuonyeshe uchawi kwa macho yako ,halafu uje uhadithie humu.

Uliwahi kuona ngamia anazama ardhini mwenyewe na kupotea?? Njoo ujionee kwa macho yako kinachofanyika mpaka anazama mwenyewe.

Tupunguze ujuaji kwenye vitu ambavyo hatuna uwezo navyo coz elimu ni bahari.

Yaani wewe hujiulizi Rais wa nchi anavalishwa mangozi ya wanyama na kusimikwa uchifu kila anapokwenda, unafikiri ni kawaida ile??

Yaani wewe na kidigrii chako au kimaster unahisi unajua kuliko serikali plus wale wazee??
sasa mzenji ile vita tunaambiwa alikubali matokeo kwa muingereza chini ya masaa 2 , nini kilitokea?
 
Zipo nyingi sana naweza kuzileta ikawa mada mpya kabisa kujadili ipi ni sahihi, ndio maana nimekuuliza kwa vile unavyoelewa hadi ukajenga hoja ya kwamba huo uchawi ungekuwepo afrika ingekuwa tajiri.

Uchawi unahusu utajiri?
Hoja yake haipo kwenye maana, hoja ipo kwenye mechanism ya utendaji kazi huo uchawi.

Mtu kama anaweza kupotea na kwenda popote kwa sekunde bila kuonekana, then hatutegemei mtu huyu awe ana lala njaa kwake.

Kuna stori kwamba wachawi wanakuja night kali kuloga kupitia kuta za nyumba, mezani unaweza kuwa umeacha kibunda cha maana na wakati huo wao makwao maisha magumu wamepika mlenda, lakini wao wanakuja kukukaba na kukukanda kanda na matako yao then wanasepa.

Ukiuliza watu wanaoamini hizi stori za uchawi wanakuambia kwenye ulimwengu wa kichawi pesa haina thamani ndio maana mchawi hachukui hizo hela.

Lakini mchawi huyo huyo aliyeacha hicho kibunda mezani kwako, eti anakuja kukuibia tena kwenye duka lako kupitia chuma ulete.

Na at the same time unaweza kutana na story kuwa fulani kanunua uchawi.

Sasa hapa mnatuacha njia panda. Hatujui ni muda gani katika ulimwengu wa kichawi pesa inakuwa haina thamani na muda gani pesa inakuwa ni hitaji la lazima.
 
Kuna watu wameomba na wamepata, wapo waliologa na wamepata,

Wapo ambao hawajui kwa mganga na wamefanikiwa,

Wapo ambao hawajui dini na wamefanikiwa

Kwa hiyo ni kila mtu aamini tuu anavyojua
Ukifikiria kwa makini,
Utagundua kuna formullar moja iliyowasaidia hao wote kufanikiwa nje na hizo imani zao.

Discipline, Strategy, Risky, Timing, Leverage, Commitment, Will, Consistency, Patience.
 
Hoja yake haipo kwenye maana, hoja ipo kwenye mechanism ya utendaji kazi huo uchawi.

Mtu kama anaweza kupotea na kwenda popote kwa sekunde bila kuonekana, then hatutegemei mtu huyu awe ana lala njaa kwake.

Kuna stori kwamba wachawi wanakuja night kali kuloga kupitia kuta za nyumba, mezani unaweza kuwa umeacha kibunda cha maana na wakati huo wao makwao maisha magumu wamepika mlenda, lakini wao wanakuja kukukaba na kukukanda kanda na matako yao then wanasepa.

Ukiuliza watu wanaoamini hizi stori za uchawi wanakuambia kwenye ulimwengu wa kichawi pesa haina thamani ndio maana mchawi hachukui hizo hela.

Lakini mchawi huyo huyo aliyeacha hicho kibunda mezani kwako, eti anakuja kukuibia tena kwenye duka lako kupitia chuma ulete.

Na at the same time unaweza kutana na story kuwa fulani kanunua uchawi.

Sasa hapa mnatuacha njia panda. Hatujui ni muda gani katika ulimwengu wa kichawi pesa inakuwa na thamani na muda gani pesa ni hitaji la lazima.
twanga za utosi
 
Hoja yake haipo kwenye maana, hoja ipo kwenye mechanism ya utendaji kazi huo uchawi.

Mtu kama anaweza kupotea na kwenda popote kwa sekunde bila kuonekana, then hatutegemei mtu huyu awe ana lala njaa kwake.

Kuna stori kwamba wachawi wanakuja night kali kuloga kupitia kuta za nyumba, mezani unaweza kuwa umeacha kibunda cha maana na wakati huo wao makwao maisha magumu wamepika mlenda, lakini wao wanakuja kukukaba na kukukanda kanda na matako yao then wanasepa.

Ukiuliza watu wanaoamini hizi stori za uchawi wanakuambia kwenye ulimwengu wa kichawi pesa haina thamani ndio maana mchawi hachukui hizo hela.

Lakini mchawi huyo huyo aliyeacha hicho kibunda mezani kwako, eti anakuja kukuibia tena kwenye duka lako kupitia chuma ulete.

Na at the same time unaweza kutana na story kuwa fulani kanunua uchawi.

Sasa hapa mnatuacha njia panda. Hatujui ni muda gani katika ulimwengu wa kichawi pesa inakuwa na thamani na muda gani pesa ni hitaji la lazima.
Wachawi na watu wao wanaoamini uchawi wamejiwekea loopholes nyingi sana, mara waseme uchawi haufanyi kazi benki, mara uchawi haufanyi kazi kwa mtu usiyemjua, mara uchawi hauvuki maji na upuuzi mwingine mwingi tu, ni mental gymnastics tu.
 
Wachawi na watu wao wanaoamini uchawi wamejiwekea loopholes nyingi sana, mara waseme uchawi haufanyi kazi benki, uchawi haufanyi kazi kwa mtu usiyemjua, mara uchawi hauvuki maji na upuuzi mwingine mwingi tu, ni mental gymnastics tu.
kitambo sana wanasema huko benki wachawi wake ndo balaa sana 🤣
 
Wachawi na watu wao wanaoamini uchawi wamejiwekea loopholes nyingi sana, mara waseme uchawi haufanyi kazi benki, uchawi haufanyi kazi kwa mtu usiyemjua, mara uchawi hauvuki maji na upuuzi mwingine mwingi tu, ni mental gymnastics tu.
Tuanzie hapa labda watu kama free masons mchakato wao upoje mkuu , mana umesema maskini ndo wanaamini uchawi je hawa illuminate na hawa free masons imekaaje . Twende kwa hoja zaidi itapendeza
 
Tuanzie hapa labda watu kama free masons mchakato wao upoje mkuu , mana umesema maskini ndo wanaamini uchawi je hawa illuminate na hawa free masons imekaaje . Twende kwa hoja zaidi itapendeza
Sijawahi kusema masikini hawaamini uchawi, utakuwa umemsoma mtu mwingine akisema hivyo. Hata hivyo ni ukweli Imani za kichawi, uganga na ushirikina ziko kwa wingi zaidi katika jamii masikini, watu masikini na wenye elimu duni. Wapo matajiri na wasomi pia wanaomini mambo hayo kwa nguvu sana na hii inaweza kuwa inatokana na kukulia katika jamii ya namna hiyo inayowazunguka ambapo mambo hayo na mambo ya mungu yanaongelewa sana karibia kila siku.
 
Back
Top Bottom